Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 5,868
- 10,354
Nipo jamaica,najifunza kilimo cha bang
Daaah usikute hujawahi fika hata mpakani 🤣Yes nimefunga naenda Sudan!View attachment 3467530View attachment 3467530
We acha tu Mdau Sirikali itatufanya tufike huko tu.Daaah usikute hujawahi fika hata mpakani 🤣
Nipo Mauritius hapa mambo ni mazuri.Wakuu habari zenu, najua tunapitia mengi ila ni afadhali tunapumua...
Unajua hizi siku 90 za JF kupigwa ban na TCRA, Jana nilikaa nikawaza sana😂… nikasema siwezi kabisa kukaa TZ kimya bila JF. Hivyo jana usiku ikanibidi nifanye safari ya ghafla kwenda Poland kwa jamaa yangu mmoja hivi 😂😂.
Huku Poland JF haisumbui, inafunguka fasta na roho yngu inatulia… damu yangu sasa imechemka kama mwanzo 😂. Yaani jana tu nilikuwa Mbeya kwenye Kampeni Leo Poland
Vp wewe mdau, we uko nchi gani muda huu? Au bado umekwama Bongo bila JF kwako fresh tuu 😂😂😂
View attachment 3467445
Toka Twitter imefungwa tunaona kawaida saivTukimbizane tuu hii miezi mitatu
Ya kweli hayaWapoland hawataki wageni..... wakikushika nchini kwao unan'gaa n'gaa macho wanakurudisha ndani ya sekunde
Nipo Stockholm Sweden nakula upepo wa bahari hapaWakuu habari zenu, najua tunapitia mengi ila ni afadhali tunapumua...
Unajua hizi siku 90 za JF kupigwa ban na TCRA, Jana nilikaa nikawaza sana😂… nikasema siwezi kabisa kukaa TZ kimya bila JF. Hivyo jana usiku ikanibidi nifanye safari ya ghafla kwenda Poland kwa jamaa yangu mmoja hivi 😂😂.
Huku Poland JF haisumbui, inafunguka fasta na roho yngu inatulia… damu yangu sasa imechemka kama mwanzo 😂. Yaani jana tu nilikuwa Mbeya kwenye Kampeni Leo Poland
Vp wewe mdau, we uko nchi gani muda huu? Au bado umekwama Bongo bila JF kwako fresh tuu 😂😂😂
View attachment 3467445
Kwa akina Mwakipesile au,Mwalubyale!Tukuyu ndanindani huku mkuu
Tukuyu pekeyake ni ndanindani,sasa hiyo ndanindani sijui Niko wapi aisee🥴