Wakuu habari zenu, najua tunapitia mengi ila ni afadhali tunapumua...
Unajua hizi siku 90 za JF kupigwa ban na TCRA, Jana nilikaa nikawaza sana😂… nikasema
siwezi kabisa kukaa TZ kimya bila JF. Hivyo jana usiku ikanibidi nifanye safari ya ghafla kwenda
Poland kwa jamaa yangu mmoja hivi 😂😂.
Huku Poland JF haisumbui, inafunguka fasta na roho yngu inatulia… damu yangu sasa imechemka kama mwanzo 😂. Yaani jana tu nilikuwa Mbeya kwenye Kampeni Leo
Poland
Vp wewe mdau, we uko nchi gani muda huu? Au bado umekwama Bongo bila JF kwako fresh tuu 😂😂😂
View attachment 3467445