Mdude Nyagali aachiwa huru kwa dhamana

Mdude Nyagali aachiwa huru kwa dhamana

Taarifa ikufikie popote ulipo usiku huu kwamba , Yule kijana Mzalendo na mpigania Rasirimali za Taifa , sumu ya nyigu , anayefahamika kwa jina la Mdude Nyagali , ameachiwa huru kwa dhamana ya Polisi .

Kabla ya hapo Shujaa Mdude aligoma kupekuliwa nyumbani kwake na jeshi la Polisi kwa vile Jeshi hilo haliaminiki na kuna Ushahidi kwamba liliwahi kumbambika Mdude madawa ya kulevya ili kumkomoa na kumfurahisha Dikteta Magufuli (Mahakama ilithibitisha)

Hatimaye Shetani ameshindwa tena .

View attachment 2691454
Sawa
 
Taarifa ikufikie popote ulipo usiku huu kwamba , Yule kijana Mzalendo na mpigania Rasirimali za Taifa , sumu ya nyigu , anayefahamika kwa jina la Mdude Nyagali , ameachiwa huru kwa dhamana ya Polisi .

Kabla ya hapo Shujaa Mdude aligoma kupekuliwa nyumbani kwake na jeshi la Polisi kwa vile Jeshi hilo haliaminiki na kuna Ushahidi kwamba liliwahi kumbambika Mdude madawa ya kulevya ili kumkomoa na kumfurahisha Dikteta Magufuli (Mahakama ilithibitisha)

Hatimaye Shetani ameshindwa tena .

View attachment 2691454
Kwani kosa la mdude ilikua nini mpaka achiwa kwa dhamana,? Nchi inaelekea pabaya
 
Keshapigwa bao mbili tatu na bwana wake nyapara huko mahabusu sasa kipiru kimetulia maana alikuwa na hamu sana ndio maana akawa haishi vurugu mtaani ili mradi apelekwe kwa bwana ake.
 
Sitaki kusema neno maana maisha ni yetu na mdude na wakili ni jamaa zangu wa kitambo sana nikiwa mbeya mabatini Hongera Sana Philiipo kijana wa Ilboru 2003
 
Back
Top Bottom