Mdude Nyagali aachiwa huru kwa dhamana

Mdude Nyagali aachiwa huru kwa dhamana

Taarifa ikufikie popote ulipo usiku huu kwamba , Yule kijana Mzalendo na mpigania Rasirimali za Taifa , sumu ya nyigu , anayefahamika kwa jina la Mdude Nyagali , ameachiwa huru kwa dhamana ya Polisi .

Kabla ya hapo Shujaa Mdude aligoma kupekuliwa nyumbani kwake na jeshi la Polisi kwa vile Jeshi hilo haliaminiki na kuna Ushahidi kwamba liliwahi kumbambika Mdude madawa ya kulevya ili kumkomoa na kumfurahisha Dikteta Magufuli (Mahakama ilithibitisha)

Hatimaye Shetani ameshindwa tena .

View attachment 2691454
Utawala bora wa sheria.Angekuwa nchi nyingine,angeozea huko.
 
Ahhh, Mdude! Nilifikiri Mdada- nilisoma vibaya kichwa cha habari. Kama mdude sina neno, maana jina tu linamharibia CV yake.
 
Oooh kumbe afadhali,

Nafurahi kusikia hivyo.

Kumbe utekelezaji wa taarifa kutoka Tume ya Haki Jinai mapendekezo yameanza kufanyiwa kazi kwa vitendo ,

Vizuri sana.
Haya ni makashkash ya kujitakia. Unamtukana Rais, huku al8shasema yeye hatojali lakini machawa wake watajali: ndiyo hawo. Are you saying mdude anaweza kumtukana hata Peter Msigwa mlambwa wenziye, let alone Mr Tundu au ultimately Mr Mbowe mwenyewe? On your nelly! Subutu!! He got what he deserved mwambieni asirudie.
 
Haya ni makashkash ya kujitakia. Unamtukana Rais, huku al8shasema yeye hatojali lakini machawa wake watajali: ndiyo hawo. Are you saying mdude anaweza kumtukana hata Peter Msigwa mlambwa wenziye, let alone Mr Tundu au ultimately Mr Mbowe mwenyewe? On your nelly! Subutu!! He got what he deserved mwambieni asirudie.
wewe ndio wa kumuonya Mdude ?
 
Back
Top Bottom