pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
Nilijua tu huyu jamaa watakuja 'kum'bambikizia' kesi ya uhujumu uchumi au madawa ya kulevya na kweli imekuwa hivyo.
Vijana mshikeni Mungu ili muwe na Amani,
Usikubali Kwa namna yoyote Ile kutumiwa na Chama ukapenda kupewa like mitandaoni na kichwa kikavimba, ukasahau kuwa maisha bora unayo mikononi mwako
Acheni mihemko isiyo na tija
yule anawageza akina mange na kigogo wakati wenzie wamijifacha.Kumbe unajua kilicho nyuma ya pazia.jiwe muhuni kama wahuni wengine.
Mkuu, hivi siasa bila kutimia vijana kufanya propoganda haziendi eeeh!!😂Maneno ya busara sana haya.
Kati ya watu waliokuwa na mihemko na haya mambo basi mm nilikuwa mmoja wapo ila baadae mzee wangu alinifuata na kunikataza haya mambo ya mihemko na yeye ni mwanasiasa tena mwenye kijinafasi serikalini.
Now nimetulia zangu naangalia anavyowatumia vijana wengine katika siasa zake na wakati huo vijana wake tukiwa tunakula kuku kwa mrija.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hivi siasa bila kutimia vijana kufanya propoganda haziendi eeeh!!![]()
Inawezekana kuwa polisi inawabambikia makosa wananchi, lakini kosa akibambikiwa mwanaccm ni halali yake sio mwanachama wa chama kingine.Nyie wajinga sana. Hivi yule Mbunge wa CCM mbona mlishangilia na hamkusema kesi ya kutunga??
Uncivilized society,a failure state always deal with minor things.Siri imefichuka ni mbinu za kishamba sana
Toka lini polisi wakamkamata mccm labda tu Kama ameingia 18 za mkoloniInawezekana kuwa polisi inawabambikia makosa wananchi, lakini kosa akibambikiwa mwanaccm ni halali yake sio mwanachama wa chama kingine.
Akiuwawa wa ccm ni haki
Akibomolewa wa ccm ni haki
Inji hii inaitwa Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa si wanaharakati. Mi wasaliti na ni majasusi wanaotumiwa ma mabeberu na nchi maadui wa Tanzania (majirani wetu wengi ndo maadui wetu namba wani)
Maneno wanayongea ukiangalia vizuri sio ya mtu mwenye mapenzi na nchi yake.
Ona wanaharakati wa zamani na wenye mapenzi na nchi kama kina sheikh shariff hamad, James mbatia na wenzie. Hata wakikosoa nchi yani unasikiliza na unajiuliza.
Hawa wengine ni vibaraka wa mabeberu. Siku hizi majasusi sio lazima wawe na mafunzo ya kijeshi.
Humu kwenye mitandao kuna vita kubwa sana ya kijasusi. Wengine wanatumbukia kwenye hili dimbwi kiujinga tu kutokana na chuki zao za siasa. Ambazo mabeberu wanzichukulia ndo udhaifu wao na wanatumia hiyo kuwateka kifalsafa.
Angalia huyu jasusi wa kichina aliekimbilia Australia jinsi alivyodumbukia kwenye ujasusi bila kujijua
Sent using Jamii Forums mobile app
Suppose wamekutana Bar au lodge kisha mdada anaweka baasha juu ya meza anakuambia anaenda dukani au mapokezi au counter kisha wazee hao wanakukuta na bahasha yako a heroin.Kosa lake ni kumkaribisha nyumbani kwake. Zipo sehemu nyingi sana za watu kukutana
Sent using Jamii Forums mobile app
Keshapewa dhamana au laa?Nyie wajinga sana. Hivi yule Mbunge wa CCM mbona mlishangilia na hamkusema kesi ya kutunga??
Keshapewa dhamana au laa?Nyie wajinga sana. Hivi yule Mbunge wa CCM mbona mlishangilia na hamkusema kesi ya kutunga??
Toka lini polisi wakamkamata mccm labda tu Kama ameingia 18 za mkoloni
MduKAMANDA 'MDUDE' SIO SIRI UMEJITAKIA MWENYEWE
Hivi hukumuona mwezako Roma Mkatoliki, alivyokimbilia nchini Marekani baada ya kunusurika kuuawa alipotekwa na watu wasiojulikana?
Hivi hukuwaona wenzako akina Maria Sarungi, Ansbert Ngurumo, Evarist Chahali, Mange Kimambi na Kigogo 2014 wanavyoikosoa Serikali huku wakiwa nje ya Tanzania?
Hivi Mdude hakujifunza kwa Ben Saanane au hakujifunza pale alipotekwa kwa mara ya kwanza?
Hivi ulipata ujasiri gani kuanza kuikosoa Serikali ya CCM kila kukicha mtandaoni huku ukiwa unaishi hapahapa nchini? Kwani akina Kigogo, Ngurumo, Chahali na Mange Kimambi uliona ni wajinga walipoamua kukimbilia ughaibuni?
Ndio maana nasema kuwa, Mdude Nyagali Chadema umeyataka mwenyewe, ila shukuru tu kwamba utaendelea kuwa hai gerezani hata kwa muda wa miaka 10, kuliko kama ungetekwa tena na watu wasiojulikana.
Bai bai 'SUMU YA NYIGU'
Afadhali huyu kuliko waliozaliwa binadamu kumbe ng'ombe wasio na nyama wala maziwa. Hivi wewe unaona Bashite aendelee kuteka na kuua tu. Na yule muoga aliye chato aendelee kutuma mbwa zake kufungulia kesi za kughushi watu wasio na hatia. Mdude na wengineo ndio wakombozi na wazalendo halisi wa nchi hii. Pray for MDUDE. Cursings to Magufuli makonda and co--
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole yakeKichwa kidogo kimeponza kichwa kikubwa
Unanikumbusha kale kawimbo kanakosema; UMEYATAKA MWENYEWEE.. NDINDI !!!!!!!!!!!!KAMANDA 'MDUDE' SIO SIRI UMEJITAKIA MWENYEWE
Hivi hukumuona mwezako Roma Mkatoliki, alivyokimbilia nchini Marekani baada ya kunusurika kuuawa alipotekwa na watu wasiojulikana?
Hivi hukuwaona wenzako akina Maria Sarungi, Ansbert Ngurumo, Evarist Chahali, Mange Kimambi na Kigogo 2014 wanavyoikosoa Serikali huku wakiwa nje ya Tanzania?
Hivi Mdude hakujifunza kwa Ben Saanane au hakujifunza pale alipotekwa kwa mara ya kwanza?
Hivi ulipata ujasiri gani kuanza kuikosoa Serikali ya CCM kila kukicha mtandaoni huku ukiwa unaishi hapahapa nchini? Kwani akina Kigogo, Ngurumo, Chahali na Mange Kimambi uliona ni wajinga walipoamua kukimbilia ughaibuni?
Ndio maana nasema kuwa, Mdude Nyagali Chadema umeyataka mwenyewe, ila shukuru tu kwamba utaendelea kuwa hai gerezani hata kwa muda wa miaka 10, kuliko kama ungetekwa tena na watu wasiojulikana.
Bai bai 'SUMU YA NYIGU'
Sent using Jamii Forums mobile app
Lini aliwahi kuikosoa serikali?KAMANDA 'MDUDE' SIO SIRI UMEJITAKIA MWENYEWE
Hivi hukumuona mwezako Roma Mkatoliki, alivyokimbilia nchini Marekani baada ya kunusurika kuuawa alipotekwa na watu wasiojulikana?
Hivi hukuwaona wenzako akina Maria Sarungi, Ansbert Ngurumo, Evarist Chahali, Mange Kimambi na Kigogo 2014 wanavyoikosoa Serikali huku wakiwa nje ya Tanzania?
Hivi Mdude hakujifunza kwa Ben Saanane au hakujifunza pale alipotekwa kwa mara ya kwanza?
Hivi ulipata ujasiri gani kuanza kuikosoa Serikali ya CCM kila kukicha mtandaoni huku ukiwa unaishi hapahapa nchini? Kwani akina Kigogo, Ngurumo, Chahali na Mange Kimambi uliona ni wajinga walipoamua kukimbilia ughaibuni?
Ndio maana nasema kuwa, Mdude Nyagali Chadema umeyataka mwenyewe, ila shukuru tu kwamba utaendelea kuwa hai gerezani hata kwa muda wa miaka 10, kuliko kama ungetekwa tena na watu wasiojulikana.
Bai bai 'SUMU YA NYIGU'
Sent using Jamii Forums mobile app