Mdude CHADEMA umejitakia mwenyewe

Mdude CHADEMA umejitakia mwenyewe

For whatever reason,mkosoaji ni mkosoaji!

Ana haki zake sawia

Siwezi kua hapa nashabikia pure uonevu kutoka kwa oppressing govt kwa innocent victims

Instead the same govt inatakiwa ilinde haki za wakosoaji hao hao

Sad ni kinyume!

Hii stupid move ya uonevu by this oppressing govt imeichafua na chuki level imeongezeka against it,next level!

Sijui akili mnaweka wapi?

Kazi zenu za kuendesha hii nchi ni kubwa maajabu mnapata muda wa kuonea powerless critics who are doing their job
Mbona hamjamtetea Nchambi?
 
Mbona hamjamtetea Nchambi?

Two different situations

Nchambi ni known wildlife profiteer and abuser

It was the matter of time

Mdude ni critic wa serikali,known worldwide,na ni known hashughuliki na madawa ya kulevya

Prosecution ya Mdude ni politically motivated!

Thats the fact!
 
huyo binti kama ana Akili ahame nchi
Ahame nchi aende wapi? Yaani Askari amkimbie civilian. Iyo ni akili? Kuweni makini,unaanzaje kutongoza dem kwenye social media? Umekosa manzi ofisin kwenu, mtaani, kanisani hata bar mpaka ukatongoze mdada wa mtandaoni? Huo ni ushamba uliopitiliza. Nilidhani Mdude ni mwelewa kumbe ana IQ ndogo. Kama n kweli, Basi mwamba hafai hata kuwa Mwenyekiti wa mtaa.
 
Ahame nchi aende wapi? Yaani Askari amkimbie civilian. Iyo ni akili? Kuweni makini,unaanzaje kutongoza dem kwenye social media? Umekosa manzi ofisin kwenu, mtaani, kanisani hata bar mpaka ukatongoze mdada wa mtandaoni? Huo ni ushamba uliopitiliza. Nilidhani Mdude ni mwelewa kumbe ana IQ ndogo. Kama n kweli, Basi mwamba hafai hata kuwa Mwenyekiti wa mtaa.
mkuu unaamini anayetongoza demu mtandaoni ana IQ ndogo ?
umejuaje kama mdude ndiye ametongoza je kama ametongozwa ? alafu huyo binti sio TISS ni mdangaji tu ametumiwa bila yeye kujua ametumwa na TISS
 
KAMANDA 'MDUDE' SIO SIRI UMEJITAKIA MWENYEWE

Hivi hukumuona mwezako Roma Mkatoliki, alivyokimbilia nchini Marekani baada ya kunusurika kuuawa alipotekwa na watu wasiojulikana?

Hivi hukuwaona wenzako akina Maria Sarungi, Ansbert Ngurumo, Evarist Chahali, Mange Kimambi na Kigogo 2014 wanavyoikosoa Serikali huku wakiwa nje ya Tanzania?

Hivi Mdude hakujifunza kwa Ben Saanane au hakujifunza pale alipotekwa kwa mara ya kwanza?

Hivi ulipata ujasiri gani kuanza kuikosoa Serikali ya CCM kila kukicha mtandaoni huku ukiwa unaishi hapahapa nchini? Kwani akina Kigogo, Ngurumo, Chahali na Mange Kimambi uliona ni wajinga walipoamua kukimbilia ughaibuni?

Ndio maana nasema kuwa, Mdude Nyagali Chadema umeyataka mwenyewe, ila shukuru tu kwamba utaendelea kuwa hai gerezani hata kwa muda wa miaka 10, kuliko kama ungetekwa tena na watu wasiojulikana.

Bai bai 'SUMU YA NYIGU'

Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana huyu amekuwa katika mikono ya watu wasiojulikana mara mbili,ameteswa vilivyo.Huyu hakuwa hata mtu wa kumchukulia seriously kwani ni wazi mateso aliyopitia yalimfanya aathirike kisaikolojia.Mtu huyu alikuwa anatakiwa close monitoring ili asije akafanya jambo baya.Hata hivyo huyu ni binadamu na hatujui mwisho wake utakuwaja lakini ifike mahali tupime kauli zenye athari na zisizo na athari na wenye mamlaka wajifunze kupuuuza.
 
KAMANDA 'MDUDE' SIO SIRI UMEJITAKIA MWENYEWE

Hivi hukumuona mwezako Roma Mkatoliki, alivyokimbilia nchini Marekani baada ya kunusurika kuuawa alipotekwa na watu wasiojulikana?

Hivi hukuwaona wenzako akina Maria Sarungi, Ansbert Ngurumo, Evarist Chahali, Mange Kimambi na Kigogo 2014 wanavyoikosoa Serikali huku wakiwa nje ya Tanzania?

Hivi Mdude hakujifunza kwa Ben Saanane au hakujifunza pale alipotekwa kwa mara ya kwanza?

Hivi ulipata ujasiri gani kuanza kuikosoa Serikali ya CCM kila kukicha mtandaoni huku ukiwa unaishi hapahapa nchini? Kwani akina Kigogo, Ngurumo, Chahali na Mange Kimambi uliona ni wajinga walipoamua kukimbilia ughaibuni?

Ndio maana nasema kuwa, Mdude Nyagali Chadema umeyataka mwenyewe, ila shukuru tu kwamba utaendelea kuwa hai gerezani hata kwa muda wa miaka 10, kuliko kama ungetekwa tena na watu wasiojulikana.

Bai bai 'SUMU YA NYIGU'

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kesi haina mvuto ... saaana naona kesi hii imepata huruma ya jamii huruma ambayo ni sehemu ya mtaji wa upinzani October 2020

Mapambano dhidi udhalimu hayana kujitakia wala hayana lawama ila yana cheo cha ushujaa

Twende na hoja mezani kubambikiana kesi veeeeepe!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu unaamini anayetongoza demu mtandaoni ana IQ ndogo ?
umejuaje kama mdude ndiye ametongoza je kama ametongozwa ? alafu huyo binti sio TISS ni mdangaji tu ametumiwa bila yeye kujua ametumwa na TISS

Ni mwanafunzi wa chuo flani Arusha.

Dah! inakatisha tamaa na kuogopesha kwa sie tunaopenda kula tunda kimasihara..yani kimasihara unashushiwa mvua ya mawe
 
Ni mwanafunzi wa chuo flani Arusha.

Dah! inakatisha tamaa na kuogopesha kwa sie tunaopenda kula tunda kimasihara..yani kimasihara unashushiwa mvua ya mawe
😂nimecheka sana
ila binti huyo ni mpuuzi ona sasa ameshaanikwa na watu wanamjua leo nimeona wanapanga wampeleke kwa Muddy achunge sana atafanyiwa mbaya
ila naamini mdude atatoka Mwaka huu maana Meko harudi Ofisini hata tukimpambanisha na Le mutuz
 
😂nimecheka sana
ila binti huyo ni mpuuzi ona sasa ameshaanikwa na watu wanamjua leo nimeona wanapanga wampeleke kwa Muddy achunge sana atafanyiwa mbaya
ila naamini mdude atatoka Mwaka huu maana Meko harudi Ofisini hata tukimpambanisha na Le mutuz

Hahahah aisee....

Ila huyo binti kama ni kweli wazee walimtumia wamlinde bhana, maana wahuni sio watu wazuri.
 
KAMANDA 'MDUDE' SIO SIRI UMEJITAKIA MWENYEWE

Hivi hukumuona mwezako Roma Mkatoliki, alivyokimbilia nchini Marekani baada ya kunusurika kuuawa alipotekwa na watu wasiojulikana?

Hivi hukuwaona wenzako akina Maria Sarungi, Ansbert Ngurumo, Evarist Chahali, Mange Kimambi na Kigogo 2014 wanavyoikosoa Serikali huku wakiwa nje ya Tanzania?

Hivi Mdude hakujifunza kwa Ben Saanane au hakujifunza pale alipotekwa kwa mara ya kwanza?

Hivi ulipata ujasiri gani kuanza kuikosoa Serikali ya CCM kila kukicha mtandaoni huku ukiwa unaishi hapahapa nchini? Kwani akina Kigogo, Ngurumo, Chahali na Mange Kimambi uliona ni wajinga walipoamua kukimbilia ughaibuni?

Ndio maana nasema kuwa, Mdude Nyagali Chadema umeyataka mwenyewe, ila shukuru tu kwamba utaendelea kuwa hai gerezani hata kwa muda wa miaka 10, kuliko kama ungetekwa tena na watu wasiojulikana.

Bai bai 'SUMU YA NYIGU'

Sent using Jamii Forums mobile app
SUMU ya NYIGU atatoka tu,nani alikwambia Maria Srungi yupo nje ya nchi? Njoo bahari beach umuone kajaa tele!! Mbona Fatma Karume naye yupo TZ? Mdude atatoka kuendeleza MAPAMBANO.
 
Ukiwa mwanaharakati unayepingana na serikali unatakiwa uoe haraka sana ili just in case something happen basi uwe umeacha japo katoto.

Ukiwa mwanaharakati unayepingana na serikali unatakiwa uachane kabisa na mademu wa mitandaoni au kufanya appointment na watu usiowajua, au uwafanyie thorough assessment kwanza kabla hujakutana nao.

Huyu jamaa kama kweli kashikwa kizembe hivyo atakiwa amewaangusha makamanda wenzie. Utakuwaje mwanaharakati mwenye njaa na papuchi?
Unforgetable

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni kichwani! Hajawahi kusoma novel za kijasusi, hajawahi kusoma magazeti ya maana. Akipewa likes JF anatafuta urafiki! Mmmmhh!
 
Alikuwa anafanya Jambo la hatarii sanaa...! Alitakiwa awe nchi za nje huko wakati anafanya hayaa lakini duu kajichanganyaa mzeee...huruma sana atafungwa mpaka mzee baba amalize muda wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu angekulaje tunda kimasihara kama angelikuwa nje ya nchi.

Sema mdude harakati alizidisha +lugha za kuuzi kwa viongozi, hawa viongozi wanapaswa kukosolewa lakini tutumie lugha isiyo hudhi ukizingatia nao pia binadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom