Mdude CHADEMA umejitakia mwenyewe

Mdude CHADEMA umejitakia mwenyewe

Two different situations

Nchambi ni known wildlife profiteer and abuser

It was the matter of time

Mdude ni critic wa serikali,known worldwide,na ni known hashughuliki na madawa ya kulevya

Prosecution ya Mdude ni politically motivated!

Thats the fact!
Sasa kamtetee mahakamani nafikiri kwa hoja hizo anatoka kesho.
 
Waliochezesha hilo picha ndio vituko zaidi.. wanatumia nyundo kuua sisimizi.
kweli kabisa ni uboya na ushamba,kodi yetu imechezewa,imetumika kumsafirisha huyo malaya Arusha to mbeya plus Mdude kala 1.7 M
 
Ukiwa mwanaharakati unayepingana na serikali unatakiwa uoe haraka sana ili just in case something happen basi uwe umeacha japo katoto.

Ukiwa mwanaharakati unayepingana na serikali unatakiwa uachane kabisa na mademu wa mitandaoni au kufanya appointment na watu usiowajua, au uwafanyie thorough assessment kwanza kabla hujakutana nao.

Huyu jamaa kama kweli kashikwa kizembe hivyo atakiwa amewaangusha makamanda wenzie. Utakuwaje mwanaharakati mwenye njaa na papuchi?
Unforgetable

Sent using Jamii Forums mobile app
uko sahihi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kamtetee mahakamani nafikiri kwa hoja hizo anatoka kesho.

Haitaji msaada wangu

Yupo well taken care of

Tatizo ni wenye madaraka badala ya kufanya kazi ya maendeleo,wao wapo busy kuwekea watu madawa ya kulevya ili wawafunge kwa uonevu!

Which shows kuna watu hawajui wajibu wao sawasawa!

Shame on these lunatics!
 
Haitaji msaada wangu

Yupo well taken care of

Tatizo ni wenye madaraka badala ya kufanya kazi ya maendeleo,wao wapo busy kuwekea watu madawa ya kulevya ili wawafunge kwa uonevu!

Which shows kuna watu hawajui wajibu wao sawasawa!

Shame on these lunatics!
Unadhani ni vibaya unapokuwa unanenepesha ng'ombe kumuondolea kunguni, viroboto na kupe?
 
Back
Top Bottom