Za uzinduzi wa vyooWala hujalazimishwa kumsikiliza, wewe wakati wenzako tunamsikiliza tafuta hotuba za polepole uzisikilize
Ataje tuone. Napita kwenye ka kiosk kake kila siku kafunga.Mshanza kuweweseka mara hii acha hawataje mnafikiri mdude Sawa na kina mo hyo kidume haswaa
Mkuu kwani umemuona yeye ni mbumbumbu hajui anachokifanya? Yeye ndio kaamua kuzungumza kaenui kimya msubiri, ongeeni akisha ongea. Mkuu na wewe mkatrend kweli kweli.Wewe dumuzi kweli - tunamtahadharisha asiongozwe na hisia na hasira
Awe na hakika kwa kile asemacho
Atazunguuuka weee ila kuwataja kwa majina hatoweza japo ndio kiu yetu kubwa.....naweza sema atatupotezea muda tu.wabongo hawana ujasiri huo
Subira huvuta kheri - anapaswa kufikiri kila hatua ya matendo yake
Lakini anajua kuna mazwazwa yatamwaminiJamaa aliposema alipoteza fahamu hajui kilichoendelea kajikuta porini siku ya ngapi tangu kutekwa nikajua tu hii ni namna ya kukwepa kueleza ukweli.
Kama alifanyiwa mambo ya kigiriki ni kwamba hajui kitu.
Walichomtendea jamaa hawezi kuelezea ukweli halisi. Ataleta hadithi za wenzie wote waliopitia tukio kama lake. Hawezi kuwataja wazi wazi ni nani.
Tushukuru karudi mzima mengine anajua yeye na watesi wake.
Hofu tupuSubira huvuta kheri - anapaswa kufikiri kila hatua ya matendo yake
Hofu tupu
Hana cha kupoteza Lkn watekaji wanacho,tunaishi mara moja kufa ni zawadi
Tukumbuke tukio lililompata awali aliwataja wahusika japo sio kwa majina....lkn kesi alifungua dhidi ya jeshi la polisi na iko mahakamaniJamaa aliposema alipoteza fahamu hajui kilichoendelea kajikuta porini siku ya ngapi tangu kutekwa nikajua tu hii ni namna ya kukwepa kueleza ukweli.
Kama alifanyiwa mambo ya kigiriki ni kwamba hajui kitu.
Walichomtendea jamaa hawezi kuelezea ukweli halisi. Ataleta hadithi za wenzie wote waliopitia tukio kama lake. Hawezi kuwataja wazi wazi ni nani.
Tushukuru karudi mzima mengine anajua yeye na watesi wake.
Kuukimbiza upepo sio rahisiSuala la kufa kila mmoja hulijuwa vema - issue ni kabla ya kifo umetimiza sehemu ya ndoto zako?
Huaga mkishafanya huo unyama wenu mnaanza kujiwahi na vimaneno utaona..."atakua amekula pesa za watu,Mara oh itakua wamechukuliana mke,Mara aangalie wagomvi wake"mkibanwa mkakosa hoja mtasikia kajiteka,mkibanwa Sana mkalegea kwa kukosa utetezi ndo hua mnakiri Mara oh yeye si kazoea kutukana viongozi!" Mkiambiwa semeni hayo matusi Basi mnakimbia uzi.hamna jipya nyie.ila haya Mambo nyie chekeni Kama mazuri tu,uko wakati nawaambiaHa ha ha - hofu kwa mdude, mdogo kama pilitoni kiongozi
Huyo ni kama marehemu kambona na zitto walivyotuahidi kutaja watu wenye account tukajazana kwenye mkutano hakuna la maana walilolisema. Kijana wameshamuharibu bora Nondo aliwahi kuachiwa akiwa na akili zake huyu ni msukule tayariHawezi kuongea chochote japo tunajua yanayo endelea ila hato taja
Huaga mkishafanya huo unyama wenu mnaanza kujiwahi na vimaneno utaona..."
Huyu apelekwe nje ya nchi kwa matibabu na uchunguzi zaidi.Huyu afanyiwe uchunguzi zaid ya damage kutokana na kipigo.
Tunaweza kumpoteza, asifikirie kuwa amepona hasa kipigo cha kichwa.Huyu apelekwe nje ya nchi kwa matibabu na uchunguzi zaidi.
Tanzania shall never be the same again.