Mdude Chadema awaanika waliomteka

Mdude Chadema awaanika waliomteka

Na leo tunachanganya Kiswahili na kizungu ilimradi tuonekane tumekwenda shule.

Kwenda shule siyo hoja. Hoja ni kuelimika na hivyo kustaarabika. Kuelimika ni kuwa rational, objective na kuheshimu raia wenye mtazamo tofauti. Kuchanganya lugha haiwezi kuwa issue. Kuandika kizungu peke yake ambayo nayo ni laugha rasmi ya nchi hii si mtasema ni usaliti? Je, viongozi wetu wakuu wanaowasiliana na wananchi moja kwa moja mubashara wanapochanganya wanajionyesha kuwa hwajaenda shule?
 
nilisikia kama akili yake bado haijakaa vizuri, kutokana na kupigwa kichwani damu ikavilia kwenye ubongo. naomba tu Mungu wasiwe walimambaruti, hilo hatakuja kulisema hata akiulizwa. ni kama ndugu yake Roma na ulimboka.
 
Back
Top Bottom