Huyu anatega tu. Mtu akiingia kichwakichwa akadhani amelewa akamkokota kumpeleka guest anamlamba kila kitu halafu anaishia. Watoto wa mjini ndo wanavyoibia watu. hajalewa wala nini hapo!!
View attachment 30285 mbona hii hapo juu picha kama anacheka? wanatafuta umaarufu tu kwa kujidhalilisha!! Hizi picha za maigizo maana angekua amelewa kweli hata kiatu angekua ameshatoa!
mbona hii hapo juu picha kama anacheka? wanatafuta umaarufu tu kwa kujidhalilisha!! Hizi picha za maigizo maana angekua amelewa kweli hata kiatu angekua ameshatoa!
huyu alikuwa anajifanyaa..yeyee ni 4 by 4,mutoto ya mujini..kumkomoa mlungaa sasaa yeyee kajikomoa,ana bahati angekuwa pande za ngaleloo kisimu kushneiiiii...na puuuu anachezea.