dawa nzuri sana,ntahakikisha anaharisha mpaka puru lichungulieJamani madhara ya kuharisha yanaweza kuwa makubwa kwenye mwili wa binadamu. Kuharisha kunasabisha mtu anapoteza electrolytes kwa haraka sana. Mwili ukikosa electrolytes unaweza kusababisha kifo cha ghafla, kidney failure au brain damage. Za kuambiwa changanya na zako.
sasa si unielekeze tu hapo, nimesoma nimetoka kapa, hujui kama mimi ni slow learnerRudia tena kusoma mada.