Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,164
- 13,556
Ni shugamami wako nini anakutunza ndo maana unakuja Hapa kumtetea?Dogo kwanza umepata kazi na hukai dada tena?
Kwanza hujui majira ya Sky Eclat yanatofautina na yako.
Pili unashindwa kuelewa si kila mtu anafanya kazi kwa mikono yake, wengine wanapanga kazi ya wiki kilichobaki ni usimamizi au kupokea ripoti.
Mwisho huyu amewahi kuomba chochote kwako au jf?
Fanya mambo yako achana na mrembo huyu
Au ndo gia za kutongoza kujifanya unatetea ili baadae inreturn upewe kitumbua? Fala sana we jamaa!!