Nimependa jamaa alivyovunja kikao kisicho rasmi





!!

Hii ni riwaya kabisa inahitaji uchambuzi wa kina kuielewaNi wapi hujaelewa?
Tumekuwa wawili!Sijaielewa hii story kabisa ingawa nimesoma mpaka mwisho
Shost alimtahadharisha jamaa, angekuwa na akili njema angeanza kusali na kujifunika kwa damu ya Yesu kama ni Mkristu. Yeye aliyarudisha mazima.Bora huyo wakike,mimi kuna wanangu wawili walimkuta dem wa mshkaji wetu anajiuza pale meridian,ile kishkaji wana wakamchana mshkaji bwana dem wako sio mchunguze,lahaulaa...jamaa kaenda kwa dem kukiwasha dem akapindua meza,"unasikiliza maneno ya watu?huniamini?niambie waliokwambia la sivyo mimi na wewe basi"ikabidi jamaa anywe kila kitu
basi jioni moja tumekaa zetu grocery store ya pale mtaan dem kaja na kikosi kazi,suta sana washkaji kimyaa!!
siku zote,usimwambie mtu kitu chochote kuhusiana na mpenzi wake waswahili wanasema "usiku mrefu"![]()
Hivi wewe mama unafanya kazi saa ngapi?
Nb;aliyeelewa anieleweshe
Ulimi situmii, kuna mkia?