Mdomo ulimponza rafiki yangu ukweni

Mdomo ulimponza rafiki yangu ukweni

Duh kiswahili kigumu....
Sky Eclat yawezekana wanaosema hawajaelewa hayo sijui mawifi,shemeji,shosti,Dada wa mume wa shosti na mengine hapo juu yanawachanganya...
Ungetumia majina feki ya watu ungerahisisha kazi...
 
Endeleeni kutiririka na mimi nielewe, nimeachwa solombe...
 
Bora huyo wakike,mimi kuna wanangu wawili walimkuta dem wa mshkaji wetu anajiuza pale meridian,ile kishkaji wana wakamchana mshkaji bwana dem wako sio mchunguze,lahaulaa...jamaa kaenda kwa dem kukiwasha dem akapindua meza,"unasikiliza maneno ya watu?huniamini?niambie waliokwambia la sivyo mimi na wewe basi"ikabidi jamaa anye kila kitu

basi jioni moja tumekaa zetu grocery store ya pale mtaan dem kaja na kikosi kazi,suta sana washkaji kimyaa!!

siku zote,usimwambie mtu kitu chochote kuhusiana na mpenzi wake waswahili wanasema "usiku mrefu"
 
Mwanamke wa hivyo yaani anaweza kukwambia 'Njoo' ukajibu 'Nipe dakika tano' akakwambia 'Sawa mi si mjinga ndiyo maana unachelewa kuja' kisha akienda kushtaki anasema 'Nilivyomuita akasema mi ni mjinga hawezi kuja haraka haraka'

Wanakuaga miyeyusho si kipolepole.
 
Sijaelewa yaani ni kama unamhadithia mtu anayeijua story andika vizur
 
hii stori bila kua mbeya huwez kuielewa, naamin hata wanaume waloielewa ni makaka du tu...
 
Bora huyo wakike,mimi kuna wanangu wawili walimkuta dem wa mshkaji wetu anajiuza pale meridian,ile kishkaji wana wakamchana mshkaji bwana dem wako sio mchunguze,lahaulaa...jamaa kaenda kwa dem kukiwasha dem akapindua meza,"unasikiliza maneno ya watu?huniamini?niambie waliokwambia la sivyo mimi na wewe basi"ikabidi jamaa anywe kila kitu

basi jioni moja tumekaa zetu grocery store ya pale mtaan dem kaja na kikosi kazi,suta sana washkaji kimyaa!!

siku zote,usimwambie mtu kitu chochote kuhusiana na mpenzi wake waswahili wanasema "usiku mrefu"
Shost alimtahadharisha jamaa, angekuwa na akili njema angeanza kusali na kujifunika kwa damu ya Yesu kama ni Mkristu. Yeye aliyarudisha mazima.
 
hii stori bila kua mbeya huwez kuielewa, naamin hata wanaume waloielewa ni makaka du tu...
 
Dogo kwanza umepata kazi na hukai dada tena?
Kwanza hujui majira ya Sky Eclat yanatofautina na yako.
Pili unashindwa kuelewa si kila mtu anafanya kazi kwa mikono yake, wengine wanapanga kazi ya wiki kilichobaki ni usimamizi au kupokea ripoti.
Mwisho huyu amewahi kuomba chochote kwako au jf?
Fanya mambo yako achana na mrembo huyu
Hivi wewe mama unafanya kazi saa ngapi?

Nb;aliyeelewa anieleweshe
 
Back
Top Bottom