Mdoli wa NGONO!!

I think those are creative ppl and they know how to make money... I am impressed....
 
hawa wanatengeneza kama tiba ya wanume wapweke wanaokumbwa na mifadhadaiko ya mara kwa mara baada ya kupigwa vibuti na mademu.

hebu fikiri kama mademu yasingekuwa dili ngumu, nanani angekumbuka doli au sabuni?

mademu nayo yamezidi kupenda mno hela matokeo yake wanume masikini huogopa hata kujaribu bahati yao ila wenye fedha hubadili mademu watakavyo. ngoja nimalize shule, nikipata fweza mtanikoma, walahi miaka kumi ya mwanzo ni magwaride tu hadi nikinai ndo naoa.

sasa mlishindwa kushangaa kushamiri kwa mastabasheni mnashangaaje hili? yete mawili sababu yao ni mija, masister acheni kupenda fedha, jalini utu, khaa!
hahha i am speechless... hivi kumbe mademu ni dili ngumu? Poleni jamani
 
hawa wanatengeneza kama tiba ya wanume wapweke wanaokumbwa na mifadhadaiko ya mara kwa mara baada ya kupigwa vibuti na mademu.


mademu nayo yamezidi kupenda mno hela matokeo yake wanume masikini huogopa hata kujaribu bahati yao ila wenye fedha hubadili mademu watakavyo. ngoja nimalize shule, nikipata fweza mtanikoma, walahi miaka kumi ya mwanzo ni magwaride tu hadi nikinai ndo naoa.

Hapa hakuna swali la wanaume maskini ndugu! Kumbuka hilo Doll limetengenezwa kwa gharama ya paundi 4000 - karibu milioni 9 ya kitanzania.
Huyo maskini unayempigania ana ubavu?
Hapa ni swala la kukubuhu kwa ukengeufu wa mwanadamu na kutaka kupindukia yake yaliyo kinyume na mwenendo wa kimaumbile.

Tumia fedha zako kwa uangalifu , vinginevyo zitakushusha kwenye 6 FT under.
 
yes why not. natamani uje tanzania haraka mtakoma kuringa na hii ndio dawa ya ukimwi
 
Hiyo itakuwa safi sana kwa Tanzania katika swala zima la kupinguza maambukizi ya VVU.
...Hiyo itakuwa nzuri kwa wale wadada wanaopenda kupiga mizinga mara nataka nguo ya sikukuu, mara sijui kodi imekwisha watanifukuza nilikopanga. Nadhani hapo hutahitaji condom...Mh! lakini si kama kupiga puli tu??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom