Mdogo wangu kapigwa juju

Mdogo wangu kapigwa juju

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
13,214
Reaction score
20,988
Ni dada yangu wa mwisho katika familia ya wanaume 7 wasichana wawili.

Alikuwaga mzima na mwaka huu alitegemewa kuwa form 2 ila kuna watu wabaya wamemtupia vitu vya ajabu kiasi kwamba huwa anapandisha na akipandisha anasema shule hataki.

Sasa hivi yuko nyumbani tu na akipandisha huwa ni mateso makubwa kwake. Tumejitahid kumpeka hospitali, kwa waganga, kanisani ila hakuna nafuu yeyote hatujui tufanye nini kwakweli.

Kwa wenye exprience na haya mambo ushauri tafadhalini.
 
Ni Dada yangu wa mwisho ktk familia ya wanaume 7 wasichana wawili....Alikuwaga mzima NA mwaka huu alitegemewa kuwa form ii ila kuna watu wabaya wamemtupia vitu vya ajabu kias kwamba huwa anapandisha NA akipandisha anasema shule hataki.....Sasa hiv yuko nyumban tu na akipandisha huwa ni mateso makubwa kwake....Tumejitahid kumpeka hospitali,Kwa waganga,kanisani ila hakuna nafuu yeyote hatujui tufanye nn kwa kwel....Kwa wenye exprience na haya mambo ushaur tafadhalini
tatizO MLIANZA KUTEGEMEA WAGANGA MUDA MREFU! MKATENGENEZA NJIA YA KULOGWA!
 
Ayo mambo yapo sana katika mazingira yetu tunayoishi.solution, tafuta kanisa LA kiroho na atapona.usiende kwa matapeli kama ......!
 
Wazungu wanaita Multiple Personality Disorder,sijui tiba yake nini ,labda ufanye research
Kuna movie nilishawahi kuangali sijui inaitwaje...Ila Mwisho wa siku ilokuja kujulikana kuwa binti ana multiple personality Disorder.
 
kweli mna uhakika karogwa? na kama ni kweli msipende kukimbilia kwa kila mganga mtakayeambiwa atawasaidia wengi siku hizi matapeli hata makanisa mengi ya wanaojiita manabii ni hivyohivyo siyo ya kuyaamini..
 
Hivi makanisa ya kiroho ndo yepi hayo..??
Yapo mengi,kwa nilipo mkoani yapo,nayajua vema.sababu tatizo kama ilo lilimpata mtoto wa rafiki yangu tena hao maruhani wako walikuwa wanataka vitu(Pete) vya thamani zaidi mil 2,hauwezi kuamini ayo makanisa ya walokole ndio yamemsaidia.
 
Yapo mengi,kwa nilipo mkoani yapo,nayajua vema.sababu tatizo kama ilo lilimpata mtoto wa rafiki yangu tena hao maruhani wako walikuwa wanataka vitu(Pete) vya thamani zaidi mil 2,hauwezi kuamini ayo makanisa ya walokole ndio yamemsaidia.
Sijaelewa hapa, yaani mtumishi alipewa vitu vya milioni 2 au maruhani yalihitaji vitu hivyo?
..kwa hiyo baada ya kuvipata vitu hivyo alipona. Aisee
 
Ni Dada yangu wa mwisho ktk familia ya wanaume 7 wasichana wawili.

Alikuwaga mzima na mwaka huu alitegemewa kuwa form ii ila kuna watu wabaya wamemtupia vitu vya ajabu kiasi kwamba huwa anapandisha na akipandisha anasema shule hataki.

Sasa hivi yuko nyumbani tu na akipandisha huwa ni mateso makubwa kwake. Tumejitahid kumpeka hospitali,Kwa waganga,kanisani ila hakuna nafuu yeyote hatujui tufanye nn kwa kwel.

Kwa wenye exprience na haya mambo ushauri tafadhalini.

jichawi, Mtu mzito na mshana jr! Check na hawa watu.
 
Dah...Kabla hajaanza kupandisha na kuanza kusema hataki shule maendeleo yake huko nyuma shuleni yalikuwaje? Alikuwa anataka kuwa nani maishani mwake? Mna biashara kubwa au mali nyingi ya kifamilia yenu? Ana boyfriend? Je nyie kaka zake mna familia? dada yake pekee ana familia? Baba na mama wanamtreat vipi binti yao wa mwisho????? Angalia isije kuwa anawapiga change la macho tuu😉

cc Prof mshana jr
 
Yapo mengi,kwa nilipo mkoani yapo,nayajua vema.sababu tatizo kama ilo lilimpata mtoto wa rafiki yangu tena hao maruhani wako walikuwa wanataka vitu(Pete) vya thamani zaidi mil 2,hauwezi kuamini ayo makanisa ya walokole ndio yamemsaidia.
Weka maelezo vizuri...

Ngoja labda niweke hivi...
Nachouliza ni kuna makanisa ya kiroho au kuna watu wanao enenda kwa matakwa ya Roho Mtakatifu..??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom