SILENT ACtOR
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 627
- 181
Mgombea uongozi serikali ya wanachuo UDOM kutoka Social campus ambaye ni mdogo wa Hussein Bashe, ametimuliwa na wanachuo kitivo cha elimu na kushindwa kumalizia 'speech' yake. Amelazimika kupanda gari na kuondoka akiwa na wapambe wake wenye huzuni baada ya wanachuo kudai ataiweka serikali yao mikononi mwa Bashe, ambaye ni mwajiliwa wa RA.