mweeh...😋One day yes with my Dadii...😊.
Ngumu sana kukwepa mitego ya binamu......
View attachment 2116751
Nampigia binamu vipii, anaitika binamu njoo nimezidiwa....






Hajanifukuza nimemuaga japo alitaka niendelee kukaa kwake...
Usingizi umenizidia, hapa najiandaa kulala.
Maana sijalala usiku mzima, niliogopa kumchekea nyani..asubuhi hii ningejikuta nakula mabua.






Ilibidi akububune...anakuachajeeWeeh ulitaka niangushwage kimasihara tuu....😅.