Shikamooni wadau
Napenda kujitambulisha kuwa mimi ndo memba mdogo kuliko wote wa Jamii forums lakini nabamba kwenye chati za siasa,teknolojia na jukwaa la lugha.Na juzi tu nimepata promotion kuwa senior member
Shikamooni wadau
Napenda kujitambulisha kuwa mimi ndo memba mdogo kuliko wote wa Jamii forums lakini nabamba kwenye chati za siasa,teknolojia na jukwaa la lugha.Na juzi tu nimepata promotion kuwa senior member
1.walimu wako wa chekechea wengine wapo hapa na wanakuona umekacha class leo,ole wako ukirudi shule ni bakora tu.
2.My god, we mwana wee usije ukawa umeingia na kile chumba chaaaaa sijui wanaita ........la wakubwa.
Shikamooni wadau
Napenda kujitambulisha kuwa mimi ndo memba mdogo kuliko wote wa Jamii forums lakini nabamba kwenye chati za siasa,teknolojia na jukwaa la lugha.Na juzi tu nimepata promotion kuwa senior member