hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,604
- 73,981
Jamaa kasingiziwa kiboya sana. .ndio akome kuendekeza genye. .Daah aibu sana
Msije mkamdanganya kuwa mtoto ni wake. Mtoto anayezaliwa na miezi saba atakuwa hajakomaa (premature au njiti). Kwa maelezo yako ni kwamba mtoto amezaliwa na afya njema. Hii ni kusema mimba ilitungwa kabla ya mwezi Desemba 2018 (kwa vyovyote vile ni mwezi Novemba au hata kabla). Huyo shemeji yenu aongee vizuri.