BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,748
- 4,257
Dah, Mkuu Kuna Gharama gani kulea mimba zaidi ya Nauli ya kwenda clinic?Asante mkuu kwa maneno. Ila sio ukoo, nimeandika ni familia tu. Suala hili ni dogo kwako ila limeumiza hisia, limepotezea muda, gharama n.k.
Huyo dogo si alishamuacha huyo demu? Alipomuacha wenzie walimmega akapata mimba, it's simple amuache tena km alivofanya mwanzo!
Kwa taarifa yako ukiachana na demu km Bado anakupenda Mara nyingi Sana Huwa anatafuta mtu haraka Sana amle Mzigo ili kupunguza stress na maumivu ya kuachwa!