mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,631
- 8,417
Sio mizee tuu! hata vijana wa chama bado wanakuwa na mawazo mgando tuu! sijajua tatizo ni nini!
Mafuta ya mwenge na mzimu wa nyamrunda mwanangu.
Nilisahau na usheeyahaya!
Sio mizee tuu! hata vijana wa chama bado wanakuwa na mawazo mgando tuu! sijajua tatizo ni nini!
mkuu hilo tusi kubwa saana utapewa bun, yaani mwenzio anaakili za kishogashoga na usagajisagaji, MKUU HILI TUSI KUBWA MWOMBE MSAMAHA BWANA! yaani hana cha kufikiri zaidi ya hayo!akili ni nywele mkuu. kila mtu ana zake.
na wewe hizo ndiyo akili zako mkuu
kishogashoga na usagajisagaji
CCM very conservative kuna watu ilibidi wawe wanakula pension kwa sasa ila bado wamo tuu na akili zao mgando