Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Filimbi imelia ccm leo inazikwa rasmi viwanja vya sahara mabibo kuanzia saa 9 mchana.
UPDATE
Watu wameanza kumiminika uwanjan natumia nokia E63 nifundishen namna ya kuapload picha.
UPDATE
Mkutano umeanza nawaona viongozi wa jimbo na mbunge mnyika na Henri kilewo wakina mdee,slaa na wengine bado hawajafika natafuta taarifa kamili kwann hawajafika.
Mnyika amevaa baraghashia
Henri kilewo anaongea sasa jukwaan anaongea juu yaliyojiri kukamatwa kwake.
Alihojiwa na makamanda sita wa polisi aliulizwa ni viongoz gani walikuwepo kwenye uchaguz wa igunga akawataja mkapa na magufuli polisi wakakataa kumsikiliza wakamjibu si hao tunataka utaje viongoz wa cdm sio wa ccm. Difenda 4 zilimpeleka uwanja wa ndege kwa siri interpol wakawakatalia polis wa tz kumsafirisha kilewo akiwa na pingu pamoja na bastola zao wakaamriwa wazisarende bastola zao watazikuta mwanza airport polisi wa tz wakataka kubisha interpol wakasimama kidete wakawaambia muiten mkubwa wenu yeyote yule lkn hatutawaruhusu kusafiri na bastola zenu na pingu. Anasema itafika mahali wakiua wananchi 10 nanyi ueni 100.Siku hz jela kwa cdm ni bedroom na polisi ni sitting room.
UPDATE
Mnyika kapanda jukwaan, John Heche mkiti wa bavicha anaingia ndani ya mkutano.
Mnyika anamnadi mgombea wa cdm wa'serikal ya mtaa wa mabibo sahara.
John Heche sasa jukwaan anamwaga sera. Anasema mnyika ni sawa na wabunge 100 wa ccm. Rais wa tz anapishana na wazungu angani yeye anatuletea net wazungu wanaondoka na dhahabu. Obama alikuja barabara zikapigwa deki na ommo. Nilikuwa sifahamu kama Mkiti wa Bavicha ana punch nzito kias hiki huyu jamaa kweli anafaa.
Picha zipo tatizo namna ya kuzupload ndo nashindwa
Mnyika anasema CCM wameleta muswada wa kisheria kwamba Rais amepewa mamlaka ya kuteua wabunge 166 kutoka katika asasi za kiraia na za kidini kuingia katika bunge la katiba.
Mnyika anasema akirudi bungen analianzisha tena suala kutekwa ulimboka maana kesi imeisha mahakaman. Kama samaki wa magufuli walikuwa ushahidi waligawiwa kwa watu ikiwa kesi bado ipo mahakaman kwann fedha za DECI zisirudishwe kwa wananchi wakati kesi ikiwa bado ipo mahakamani.
UPDATE
Spika alimwamuru mnyika apeleke muswada wake kwenye kamat ya chenge na alipofika kwa chenge. Chenge akamwamba mnyika hii kodi ya simu ni ndogo sana mnyika akakumbuka kuwa kumbe anaongea na mzee wa vijisenti wa bn 3.
Mkutano umefungwa rasmi.
Ni mimi Ripota wenu Jasho la damu kutoka Radio ya JF-Mabibo.
UPDATE
Watu wameanza kumiminika uwanjan natumia nokia E63 nifundishen namna ya kuapload picha.
UPDATE
Mkutano umeanza nawaona viongozi wa jimbo na mbunge mnyika na Henri kilewo wakina mdee,slaa na wengine bado hawajafika natafuta taarifa kamili kwann hawajafika.
Mnyika amevaa baraghashia
Henri kilewo anaongea sasa jukwaan anaongea juu yaliyojiri kukamatwa kwake.
Alihojiwa na makamanda sita wa polisi aliulizwa ni viongoz gani walikuwepo kwenye uchaguz wa igunga akawataja mkapa na magufuli polisi wakakataa kumsikiliza wakamjibu si hao tunataka utaje viongoz wa cdm sio wa ccm. Difenda 4 zilimpeleka uwanja wa ndege kwa siri interpol wakawakatalia polis wa tz kumsafirisha kilewo akiwa na pingu pamoja na bastola zao wakaamriwa wazisarende bastola zao watazikuta mwanza airport polisi wa tz wakataka kubisha interpol wakasimama kidete wakawaambia muiten mkubwa wenu yeyote yule lkn hatutawaruhusu kusafiri na bastola zenu na pingu. Anasema itafika mahali wakiua wananchi 10 nanyi ueni 100.Siku hz jela kwa cdm ni bedroom na polisi ni sitting room.
UPDATE
Mnyika kapanda jukwaan, John Heche mkiti wa bavicha anaingia ndani ya mkutano.
Mnyika anamnadi mgombea wa cdm wa'serikal ya mtaa wa mabibo sahara.
John Heche sasa jukwaan anamwaga sera. Anasema mnyika ni sawa na wabunge 100 wa ccm. Rais wa tz anapishana na wazungu angani yeye anatuletea net wazungu wanaondoka na dhahabu. Obama alikuja barabara zikapigwa deki na ommo. Nilikuwa sifahamu kama Mkiti wa Bavicha ana punch nzito kias hiki huyu jamaa kweli anafaa.
Picha zipo tatizo namna ya kuzupload ndo nashindwa
Mnyika anasema CCM wameleta muswada wa kisheria kwamba Rais amepewa mamlaka ya kuteua wabunge 166 kutoka katika asasi za kiraia na za kidini kuingia katika bunge la katiba.
Mnyika anasema akirudi bungen analianzisha tena suala kutekwa ulimboka maana kesi imeisha mahakaman. Kama samaki wa magufuli walikuwa ushahidi waligawiwa kwa watu ikiwa kesi bado ipo mahakaman kwann fedha za DECI zisirudishwe kwa wananchi wakati kesi ikiwa bado ipo mahakamani.
UPDATE
Spika alimwamuru mnyika apeleke muswada wake kwenye kamat ya chenge na alipofika kwa chenge. Chenge akamwamba mnyika hii kodi ya simu ni ndogo sana mnyika akakumbuka kuwa kumbe anaongea na mzee wa vijisenti wa bn 3.
Mkutano umefungwa rasmi.
Ni mimi Ripota wenu Jasho la damu kutoka Radio ya JF-Mabibo.