Mdee,Mnyika,Slaa,Lema ndani uwanja sahara-mabibo leo

Mdee,Mnyika,Slaa,Lema ndani uwanja sahara-mabibo leo

. . . . Na kweli CHADEMA sero za polisi ni sebuleni kwetu, na magereza/jela ndio chumbani kwetu. Hadi kieleweke. Pamoja sana makamanda.
 
Acheni watu wafanye kazi, mnawapeleka watu kwenye maandamano, ikifika jioni nyie mnapokelewa na sukari na mkate NA WATOTO WENU, alafu sisi tunaingia nyumbani kwa kujificha na ukuta tukiwa tumechoka mpaka kitandani, huku nikiwaacha watoto wangu wakipiga miyao sebuleni wanamsubiri baba atoke kazini.

Umezoea ile mikutano ya ccm unayopewa kanga, T-sheti na kofia + buku tano na lifti ya lori!? Lazima watu wapate elimu ya ukombozi, watu wafanye kazi ipi wakati viwanda vimekufa, reli chali, bandari zimekufa imebaki ya Dar iliyojaa rushwa na urasimu na hadithi za gati, hukukitaa vijana wasomi hata sehemu ya field au ku-volunteer hawapati achilia mbili ajira au mikopo nafuu. Acha watu wafunguke na mfumo wa chama kiomoja kushika hatamu uishe. Chama tawala kimelala, au mwenzangu unaridhika na hali iliyopo? Au upo kwenye system?
 
Leo ni Idd siku ya kupumzika, Chadema mnafanya mikutano?.
 
Acheni watu wafanye kazi, mnawapeleka watu kwenye maandamano, ikifika jioni nyie mnapokelewa na sukari na mkate NA WATOTO WENU, alafu sisi tunaingia nyumbani kwa kujificha na ukuta tukiwa tumechoka mpaka kitandani, huku nikiwaacha watoto wangu wakipiga miyao sebuleni wanamsubiri baba atoke kazini.

hauna cha kuchangia zaid ya haya matapishi yako
 
....


Bravo Makamanda!!

......twanga hayo magamba!! namimi nayatwanga huku kijijini....
 
mnyika kalianzishe upya swala la kutekwa kwa dk,ulimboka,tumechoka na filamu za kova
 
Acheni watu wafanye kazi, mnawapeleka watu kwenye maandamano, ikifika jioni nyie mnapokelewa na sukari na mkate NA WATOTO WENU, alafu sisi tunaingia nyumbani kwa kujificha na ukuta tukiwa tumechoka mpaka kitandani, huku nikiwaacha watoto wangu wakipiga miyao sebuleni wanamsubiri baba atoke kazini.

kwani ulilazimishwa? Uziri cdm haibebi wa2 kwenye malori kuwapeleka mkutanoni so unawapenda thats y umeenda. Viva cdm
 
Inatia moyo kwa juhudi zinazoanza kufanyika Dar... Big up and keep it up makamanda Mnyika, Mdee na Kilewo... Tunataka hadi 2015, CDM Dar iwe kama Arusha...
 
​Kumbe Dar, CDM haiwezi kupata watu hata ifanyeje , dar ina wenyewe watakao kwenda pale ni wahamiaji wa mikoa ya kaskazini waliopo dar. Dar ina watu wanaojitambua, ndio maana humu JF wasio penda Amani hua wanailaumu dar kuwa inawaangusha.

Ingekuwa hivyo unavyosema tusingekuwa washindi wa Jimbo la Ubungo na Kawe
 
Back
Top Bottom