Mdee,Mnyika,Slaa,Lema ndani uwanja sahara-mabibo leo

Mdee,Mnyika,Slaa,Lema ndani uwanja sahara-mabibo leo

ccm wameshindwa ugaidi,na wameshindwa vita ya udini sasa wanatapatapa
 
Kuna ukweli wa hili kamanda ulio post hii kitu, niko shambani siunajua leo sijui 88.. nichomoke huku nikalishwe maneno yenye matumani au unadanganya??

Pls Tumaini Makene akikisha hii kitu.
 
Acheni watu wafanye kazi, mnawapeleka watu kwenye maandamano, ikifika jioni nyie mnapokelewa na sukari na mkate NA WATOTO WENU, alafu sisi tunaingia nyumbani kwa kujificha na ukuta tukiwa tumechoka mpaka kitandani, huku nikiwaacha watoto wangu wakipiga miyao sebuleni wanamsubiri baba atoke kazini.

kababu acha wivu ndugu yangu.
Siasa ni kazi sio starehe, wananchi wanaokwenda kwenye hiyo mikutano wako katika kazi za ujenzi wa nchi yao na maisha yao ya sasa na baadaye.
Mikutano hiyo ni zaidi ya Elimu ya darasani, hiyo ni mikutano ya kutoa Elimu ya maisha na maendeleo ya mtanzania.

Lakini pia ujue watanzania wengi hatuna Sebure na pia hatuna vitanda bali tunalala kwenye mikeka na virago tu.
 
Last edited by a moderator:
waelezeni ukweli na wafungueni wanawadar kutoka ktk kifungo cha magamba,
 
​Kumbe Dar, CDM haiwezi kupata watu hata ifanyeje , dar ina wenyewe watakao kwenda pale ni wahamiaji wa mikoa ya kaskazini waliopo dar. Dar ina watu wanaojitambua, ndio maana humu JF wasio penda Amani hua wanailaumu dar kuwa inawaangusha.

Hao mateja na vibaka au kuna wengine! Umevulugwa.
 
Acheni watu wafanye kazi, mnawapeleka watu kwenye maandamano, ikifika jioni nyie mnapokelewa na sukari na mkate NA WATOTO WENU, alafu sisi tunaingia nyumbani kwa kujificha na ukuta tukiwa tumechoka mpaka kitandani, huku nikiwaacha watoto wangu wakipiga miyao sebuleni wanamsubiri baba atoke kazini.

Wapelekwa na CHADEMA? kwa maroli au? Mkuu hawapelekwi CHADEMA ni CCM na Serikali yake kwa kuyafanya maisha kuwa magumu na ufisadi uliopitiliza.

Wanataka kusikia maneno ya matumaini kwa viongozi wanaowapenda wakisubiri kufanya mabadiliko 2015 kupitia sanduku la kura.
 
kababu
acha wivu ndugu yangu.
Siasa ni kazi sio starehe, wananchi wanaokwenda kwenye hiyo mikutano
wako katika kazi za ujenzi wa nchi yao na maisha yao ya sasa na baadaye.

Mikutano hiyo ni zaidi ya Elimu ya darasani, hiyo ni mikutano ya kutoa
Elimu ya maisha na maendeleo ya mtanzania.

Lakini pia ujue watanzania wengi hatuna Sebure na pia hatuna vitanda
bali tunalala kwenye mikeka na virago tu.




ulichokisema inawezekana kweli kwasababu hivisasa mnajitahidi sana KANYIM kuwashawishi watu kwa maneno ya kusadikika, ila kwa mshangao Watanzania wengi wamewashutukia. vipi M/K safari hii hakwenda Zimbabwe kama alivyofanya Kenya?
 
Last edited by a moderator:
Filimbi imelia ccm leo inazikwa rasmi viwanja vya sahara mabibo kuanzia saa 9 mchana.
UPDATE
Watu wameanza kumiminika uwanjan natumia nokia E63 nifundishen namna ya kuapload picha.

em tafuta mtu akufundishe kutuma mms. na hiyo mms itume kwenye namba nakutumia kwenye PM sasa ivi. maelezo mengine ya ziada tuma kama meseji kwenye hiyo namba. on a minute to minute basis nitakusaidia.
 
jitaidini kuwa makini...maana hila za polis ni mbaya sana kwa wana chadema.
 
tusingelipenda kusikia tena dam za waTZ zikimwagika mahala hapo.
 
Magamba wakisikia ivo na wao wataanda mkutano wao na kuleta watu toka pwani kwa malior
 
Filimbi imelia ccm leo inazikwa rasmi viwanja vya sahara mabibo kuanzia saa 9 mchana.
UPDATE
Watu wameanza kumiminika uwanjan natumia nokia E63 nifundishen namna ya kuapload picha.
UPDATE
Mkutano umeanza nawaona viongozi wa jimbo na mbunge mnyika na Henri kilewo wakina mdee,slaa na wengine bado hawajafika natafuta taarifa kamili kwann hawajafika.
Mnyika amevaa baraghashia
Henri kilewo anaongea sasa jukwaan anaongea juu yaliyojiri kukamatwa kwake.
Alihojiwa na makamanda sita wa polisi aliulizwa ni viongoz gani walikuwepo kwenye uchaguz wa igunga akawataja mkapa na magufuli polisi wakakataa kumsikiliza wakamjibu si hao tunataka utaje viongoz wa cdm sio wa ccm. Difenda 4 zilimpeleka uwanja wa ndege interpol wakawakatalia polis wa tz kumsafirisha kilewo akiwa na pingu pamoja na bastola zao. Siku hz jela kwa cdm ni bedroom na polisi ni sitting room.
Hao ni "Wapiga Domo Combine".
Washaurini waende Arusha kurudisha amani, mabilionea wao wanauana kule.
 
Tusingelipenda kusikia tena dam za waTZ zikimwagika mahala hapo.
 
Acheni watu wafanye kazi, mnawapeleka watu kwenye maandamano, ikifika jioni nyie mnapokelewa na sukari na mkate NA WATOTO WENU, alafu sisi tunaingia nyumbani kwa kujificha na ukuta tukiwa tumechoka mpaka kitandani, huku nikiwaacha watoto wangu wakipiga miyao sebuleni wanamsubiri baba atoke kazini.

Nani kapelekwa....?
 
Back
Top Bottom