Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,071
- 15,473
Jamani sio fair
Ngoja niitafute mchana huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani sio fair
Haahaaha.... Pole.Jamani sio fair
Ngoja niitafute mchana huu
Paka analiwa mbona nyamA yake Tamu Sana ka jarbu hutaacha mjombaWewe kula paka uwakomoe
Nashangaa kuna watu hawataki kula nguruwe.Paka analiwa mbona nyamA yake Tamu Sana ka jarbu hutaacha mjomba
Kwani lazima uchangie kila mada mkuu? Zingine mbona tunapita kimya kimya tu!Mada chonganishi
Mkuu, ukisema ushindane na wana JF utaumia bure. Sometimes watu wanaku provoke makusudi ili uropoke/utukane ule BAN NDEFU. Mada zingine kama hizi wala usiwe unazisoma kabisa. Pita kimya kimya!Asttaghafulilah, tusiharibiane swaum kwa kujadiri haramu mchana wa Ramadhani.
Ngoja nyuzi zako zifiatiliwe,kama ni tata,utatafutwa kwa hiyo namba ya simu ili usaidie vyombo vya usalama.hiyo 5,000/= ni kama utaenda kula pale pale. Order weka 0712 377 702
Mkuu ulinipa namba feki ya ustadhati siyo!!maswali na bei umepunguziwa mpaka 5,000/= kwa mwezi huu
Kwani lazima uchangie kila mada mkuu? Zingine mbona tunapita kimya kimya tu!
Msijaribu kupiga hii namba ni ya Mwajuma Ndalandefu..hiyo 5,000/= ni kama utaenda kula pale pale. Order weka 0712 377 702
Nenda kwa Rombo pub au liquid pale mjimwema. Ni nooomaNapat wapi kitimoto kigamboni
hii walahi sikupi nitakupa hii ukafaidi na familisema alihamdulilahi
Sent using Jamii Forums mobile app
hii walahi sikupi nitakupa hii ukafaidi na familisema alihamdulilahi
Sent using Jamii Forums mobile app