gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,204
- 5,780
Hii kitu safi sana aise.mimi nikiwa arusha kila weekend lazima nitie miguu pale star light bar mianzini nisuuze roho na hii kitu yakuchoma.ila kuna swali najiulizaga.kua hivi kwanini hivi vitu vilivyowekewa masharti na marufuku mengi kua tusivitumie huwa ni vitamu sana.Nadhani kuna siri kubwa hapa.