mbona apo kindoroko kwa mbele tu kuna chimbo la maana panaitwa killtime pub kuna wamama wana shona pajama za kizungu kwa mbeleOk ngoja nielekee hapo nikapate nipo hapa kindoroko
Rost mboga mbogaRosti shata shata.. Rosti mboga mboga au kavu.. Embu tupe ujuzi wako mdau..Vipi kuhusu viungo.. Unapenda iwekewe viungo au unataka ule ikiwa na ladha yake tukufu?
nenda maeneo ya darajani kuna sehemu panaitwa kwa dick safi sana apoNapat wapi kitimoto kigamboni
kuna chimbo kariakoo sema lipo jirani na muuusiiikiiitiii naona kipindi cha mfungo inapukutika sana mida ya kimbilimbili night muuza kila nikimuambia aniwekee utasikia imebaki kidogo nikagundua napo enda kuweka oda napishana na watu wenye ndevuuu nyingi huku zimenona kiweseRosti shata shata.. Rosti mboga mboga au kavu.. Embu tupe ujuzi wako mdau..Vipi kuhusu viungo.. Unapenda iwekewe viungo au unataka ule ikiwa na ladha yake tukufu?
NAOMBA LOCATION YA HILO CHIMBO MKUU.. MANA MM NI MDAU WA KARIOKOR KWA SANA...kuna chimbo kariakoo sema lipo jirani na muuusiiikiiitiii naona kipindi cha mfungo inapukutika sana mida ya kimbilimbili night muuza kila nikimuambia aniwekee utasikia imebaki kidogo nikagundua napo enda kuweka oda napishana na watu wenye ndevuuu nyingi huku zimenona kiwese
Malumbano kivipi?Mbona mnakuwa wajinga mada za kitimoto na wenzenu wamefunga mnataka kuchokoza malunbano ama
Hahaaaa tusipokula ban kwenye hii thread sijuihahaha, suna sio mbaya
mbona apo kindoroko kwa mbele tu kuna chimbo la maana panaitwa killtime pub kuna wamama wana shona pajama za kizungu kwa mbele
Udenda umetoka na nikasikia kiharufu chake daah..Kavu kavu