LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,496
- 3,388
Pole Bwana LiverpoolFC .
Nashukuru sana MSALANI na leo tumemhifadhi mzee wetu kwa uweza wake Mungu na kila kitu kimekwenda kama ilivyoratibiwa Mkuu!
Natambua Kheri zenu nyingi sana jamani na ninawashukuru sana tena sana!
PakaJimmy hakika nikupe shukurani nyingi ya jitihada zako pamoja na member wengi wa Arusha wing walioungana nami kwa namna moja ama nyingine mpaka hapa tulipofikia.
Copy kwa Mzee wa Rula Filipo Preta Arushaone Tonykp sweetlady Lily Flower Blaki Womani Crashwise Mungi Valentina TheDealer Jackbauer lane Lasikoki Yericko Nyerere Malila marejesho Dark City na bila kuwasahau wote waliojumuika nami kwa namna moja ama nyingine nawashukuruni sana bila kumsahau Ndugu yangu Pazi na Kaizer popote pale walipo.
Last edited by a moderator: