Na mimi sina namba yako...hebu niDIPU kama wewe unayo yangu!...la sivyo huna iweke kwenye PM FASTA!Pole sana swahiba. Nasikitika ndo naiona hii habari. Mungu aendelee kuwapa moyo wa subira. Tafadhali nifikishie salamu za rambirambi kwa shemeji yetu.
Roho ya marehemu ipate rehema kwa Mungu, apumzike kwa amani. Amina.