Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
Mkuu naanza na 50,000/=Mkuu unajua hii ni initiative yetu wenyewe na tunajipangia wenyewe. Kwa kuangalia karibu najua debate inatakiwa iwe mwezi wa 10. Maandalizi yanatakiwa mwezi wa nane yawe yaameanza na mengine yatataka fedha hivyo kwa mtizamo wangu ni kuwa by 15 September fedha zote ziwe zimepatikana ingawa itapendeza kama watu watatoa mapema ingalau walio wengi ili maandalizi yaweze kufanyika.
Tunachoitaji sana kwa sasa mpaka ni ahadi yako ili tuweze kujua kiasi gani tunaweza kusanya ili tujue tunachukua TV gani na debate ni ngapi. Kumbuka pia kuwa Tv cheap ni TBC according to data from Pasco so tunaweza kujikuta huko kwa uchache wa resources.
Shujrani kwa kuonesha nia