Tayari kuna Facebook group kuhusiana hili. Kwa zaidi hapa: Campaign for Presidential Debate in Tanzania 2010
:crying:Wapendwa,
Kwa TZS 100,000 watu 100 JF tunaweza kuandaa mdahalo wa urais.
Muda wa kupiga domo umekwisha je? Tunataka na mwaka huu kusiwe na mdahalo kama 2010? Je unadhani kuna mtu mwingine wa kuanzisha hili swala zaidi ya JF? Mimi nadhani haiwezekani. Basi kama unaona hili jambo ni zuri na uaweza support basi orodhesha jina lako hapa ili tuwape moyo viongozi wetu wa huu mtandao waweze kufanya mambo makubwa. Kama kuna chama hakitashiriki basi ni kivyao vyao
Tafadhari siitaji matusi na kejeli ukiona hili wazo halifai nenda kwenye topic zingine.
1. Shalom TZS 200,000 (ameshatoa 100,000!)
2. Nyani Ngabu $500 (TZS 750,000)
3. Invisible TZS 300,000/=
4. De Novo TZS 200,000/=
5. Lusajo L.M TZS 50,000/=
6. Mchukia Fisadi TZS 50,000/=
7. Mtu wa Pwani TZS 1,000,000/=
8. Chakaza TZS 100,000/=
9. Ntemi Kazwile 50,000/=
10. Natasha Ismail 50,000
11. MC 50,000 (Ametoa yote!)
12. Nyambala ($100) 150,000
13. Selous 50,000
14. Kisoda2 50,000 (Ametoa yote!)
15. Chesty 50,000
16. Ndege ya Uchumi 50,000
17. Mzee Mwanakijiji (atatoa ahadi)
18. Misonge 50,000
19 Mtwa 200,000
20. Steve Dii 80,000
21. Acid 200,000
22. Masanilo a.k.a Shalom au Mzee wa Texas 50,000
Jumla ya ahadi so far ni TZS 3,730,000. Cash so far 200,000 Thanks wazalendo kwa kuwa tayari kutengeneza historia!
Jamani mimi naomba kutoa hoja, hivi ni kwa nini maswala mengine watu hata mkichangia kwa sababu yanatolewa na watu fulani na wameshayafanyia maamuzi, haujibiwi, concerns zako haziwi addressed, na swala lile linasonga mbele kama vile hakukuwa na hoja mbadala, juu yake. Huu ni mfano mmojawapo, kuna wengine tuliuliza swali ya kwamba kwa nini JF wa re invent the wheel wakati hii initiative imeshaanzwa na watu wengine? na tukauliza hizo hela zinazochangishwa ni kwa ajili ya nini? ni air time, ni allowance ya participation ama nini? Hivi mtatumia strategy gani kwa mfano kuhakikisha mgombea wa CCM ambaye yuko very sensitive na mambo kama hayo, kukubali? so far hakuna reporter aliyewahi kwenda nae live kwenye Q & A, si local wala international, hata Shaka Salli alikataliwa live show aliishia kuulizana nae peke yake bila kupokea simu. Hakuna jibu watu bado wako kwenye changia hela utatoa ngapi, I personally find this to be very cheap, na naomba mnishawishi kwamba kuna strategy ya kufanikisha hilo this time. Hapa naona a very complex issue imefanywa so simple na kama vile obstacle pekee ni pesa, kitu ambacho sio kweli. Sasa hata kama comments zetu za kijinga, tusafisheni tu macho kuonekana hapa kuna dialogue na sio matumizi ya jukwaa kupitisha mnachokitaka kwa sababu hiki kinaonekana ni cha ki alinacha
Jamani mimi naomba kutoa hoja, hivi ni kwa nini maswala mengine watu hata mkichangia kwa sababu yanatolewa na watu fulani na wameshayafanyia maamuzi, haujibiwi, concerns zako haziwi addressed, na swala lile linasonga mbele kama vile hakukuwa na hoja mbadala, juu yake. Huu ni mfano mmojawapo, kuna wengine tuliuliza swali ya kwamba kwa nini JF wa re invent the wheel wakati hii initiative imeshaanzwa na watu wengine? na tukauliza hizo hela zinazochangishwa ni kwa ajili ya nini? ni air time, ni allowance ya participation ama nini? Hivi mtatumia strategy gani kwa mfano kuhakikisha mgombea wa CCM ambaye yuko very sensitive na mambo kama hayo, kukubali? so far hakuna reporter aliyewahi kwenda nae live kwenye Q & A, si local wala international, hata Shaka Salli alikataliwa live show aliishia kuulizana nae peke yake bila kupokea simu. Hakuna jibu watu bado wako kwenye changia hela utatoa ngapi, I personally find this to be very cheap, na naomba mnishawishi kwamba kuna strategy ya kufanikisha hilo this time. Hapa naona a very complex issue imefanywa so simple na kama vile obstacle pekee ni pesa, kitu ambacho sio kweli. Sasa hata kama comments zetu za kijinga, tusafisheni tu macho kuonekana hapa kuna dialogue na sio matumizi ya jukwaa kupitisha mnachokitaka kwa sababu hiki kinaonekana ni cha ki alinacha