Waleed Waleed
Member
- Aug 18, 2008
- 12
- 2
kwa mtazamo wangu midahalo kama hii hutayarishwa na vituo vya tv kibiashara zaidi,
wao wanatumia muda wa prime time kwa sababu ya kutazamwa na wengi. Makampuni
yanayopenda kutangaza bidhaa zao huvutika zaidi katika vipindi kama hivyo na muda
kama huo ili bidhaa zao ziweze kufahamika na wengi.
hiyo imekaaje: Oct, 2010??