Engineermsuya
Member
- May 23, 2011
- 32
- 7
I think Masaburi should resign mpaka hapo uchunguzi utakapo kamilika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Mbona mimi siwalewi? Yaani mnaletewa ukweli kupitia Tv bure badala ya kununua magazeti kila siku kwa gharama kubwa kupta habari hiyo hiyo. Wakati mwingine tunanunua habari za uwongo.
Nduka whether unaongea kishabiki au vyovyote vile lakini nafikiri kwa hili una hojaHawa Vox Media nao wanatumia masaburi kufikiri, suala hili sasa hivi linachunguzwa na TAKUKURU na kamati ya bunge, kuendelea kulijadili hadharani ni kuingilia uchunguzi. Nadhani woote walioandaa huu mdahalo hawana hata chembe ya uelewa wa sheria ya kupambana na kuzuia rushwa.
Hawa Vox Media nao wanatumia masaburi kufikiri, suala hili sasa hivi linachunguzwa na TAKUKURU na kamati ya bunge, kuendelea kulijadili hadharani ni kuingilia uchunguzi. Nadhani woote walioandaa huu mdahalo hawana hata chembe ya uelewa wa sheria ya kupambana na kuzuia rushwa.
Idd simba mbona hamjamualika?riz one naye atakuwepo?inafanyika lini?