Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,034
- 144,387
Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Nchini(TAHLISO), leo wameandaa Mdahalo utakaofanyika katika Ukumbi wa Nkruma wa Chuo Kikuu cha Dar-es-salaam kujadili Hotuba ya Raisi aliyeito Bungeni hivi karibuni.
Mdahalo huo umepangwa kuanza saa 7:30 mchana mpaka saa 11:00 jioni ya leo na utarushwa live na Star tv pamoja na TBC1.
Wazungumzaji wakuu watakuwa ni Prof.Ngowi wa Mzumbe ambae ni Prof.wa uchumi, Dr.John Jingu wa UD na mzungumzaji mwingine atakuwa ni Mwanadiplomasia Balozi Christopher Liundi. Mdahalo huo utaongozwa na Dr. Ayoub Rioba wa Chuo Kikuu cha Dar-es-salaam.
Chanzo: Star tv
Mkutano huu nikiuangalia sitaki kabisa kuamini kuwa umeandaliwa na TAHLSO bali nahisi vinginevyo.
Update:
Mdahalo utaanza saa 8:30 mchana huu
Mdahalo huo umepangwa kuanza saa 7:30 mchana mpaka saa 11:00 jioni ya leo na utarushwa live na Star tv pamoja na TBC1.
Wazungumzaji wakuu watakuwa ni Prof.Ngowi wa Mzumbe ambae ni Prof.wa uchumi, Dr.John Jingu wa UD na mzungumzaji mwingine atakuwa ni Mwanadiplomasia Balozi Christopher Liundi. Mdahalo huo utaongozwa na Dr. Ayoub Rioba wa Chuo Kikuu cha Dar-es-salaam.
Chanzo: Star tv
Mkutano huu nikiuangalia sitaki kabisa kuamini kuwa umeandaliwa na TAHLSO bali nahisi vinginevyo.
Update:
Mdahalo utaanza saa 8:30 mchana huu