Kwani mnamlinda Warioba dhidi ya ccm,kwani yy chama gani!
kwani hayati kolimba alikuwa chama gani?
Makonda na kundi lake apigwe marufuku kuhudhuria mdahalo huo!
safari hii akijaribu lazima tuimbe mapambio...
Wewe kilaza jilinde wewe kwanza nyinyi wapuuzi chedema kazi yenu kuongea nyuma ya computer.Kama kweli wewe kidume weka picha yako namba ya simu
Makonda na kundi lake apigwe marufuku kuhudhuria mdahalo huo!
CHAMVIGA Nimesoma tena leo comment yako, Asante kwa kua hatimaye unaanza kuuona ukweli. Nawaita akina MANI na zumbemkuu na Mohamedi Mtoi wakupe pongezi. Inaelekea mazungumzo yako na Muddy kipindi kile yamezaa matunda. Bado lusungo na Chabruma nao wanamwelekeo mzuri tu tatizo lao kubwa ni mmoja yuko Team Maembe na Mwingine Team Loh-hasa
Mbona huyo mmoja ni makonda?
Nitakuwepo, Makonda tukutane..
Atakachoongea warioba nahisi machozi yatakua yananitoka ninaumia kuona mzee kama warioba akitetea maoni yangu yaingie kwenye katiba kweli naamini mungu anamuona mzee huyu anachokisimamia ni kuwakomboa wanyonge mjaze nguvu aweze kutupa ukweli kwani sauti yako inachoma masikio ya watu wenye nia mbaya na taifa hili
Taarifa hii ameitoa polepole muda huu,live ITV Je jaji warioba atakuwepo na walinzi wangapi siku hiyo? Wote karibuni ubungo plaza
===========
Nitakuwepo Ubungo Plaza. Olewake mjinga yeyote atakaetaka kumdhuru mzee Warioba au kuharibu mazingira.
Na nan? Kasome ibara ya 21 ya katiba ya 1977!