figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
naona wameanza kutoelewana na mic mbovu.
ukiweza kuwa repoter, huku ngeleja na malima wanaenjoy kale ka trilioni na ushee
mzee wa bastola naye yumo.
mdahalo unaboa sana. kwanza siyo live.
pili wanaonekana ni kama wamerekodia shimoni hivi.
kitu pekee kizuri ni kwamba ndani ya ukumbi yupo Mtoto wa Kigoma.
kitu kibaya ni kwamba anayeitwa Dokta Kafumu anadangaya mdahalo na kakubali ulimi umeteleza.