kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,244
Lowassa kipaumbele chake namba moja Elimu, namba mbili Elimu na namba tatu elimu.
Magufuli yeye kipaumbele chake Viwanda, Viwanda Tanzania nzima.
Wote hao juu wanaomba kazi kwetu, sisi ndio mabosi wao. Wametuambia watatufanyia hayo tukiwapa ridhaa ya kutuongoza.
Sasa tujadili yupi kati ya hao atakayeweza kutuvusha. Je Elimu itawezekana? Viwanda vitawezekana?
Nondo zenu zitasaidia sana kutushawishi sisi ambao bado atujaamua tumpigie kura nani.
Karibuni kwa mjadala wa maslahi mapana ya Tanzania yetu. Mungu ibariki Tanzania, Ibariki Afrika
Magufuli yeye kipaumbele chake Viwanda, Viwanda Tanzania nzima.
Wote hao juu wanaomba kazi kwetu, sisi ndio mabosi wao. Wametuambia watatufanyia hayo tukiwapa ridhaa ya kutuongoza.
Sasa tujadili yupi kati ya hao atakayeweza kutuvusha. Je Elimu itawezekana? Viwanda vitawezekana?
Nondo zenu zitasaidia sana kutushawishi sisi ambao bado atujaamua tumpigie kura nani.
Karibuni kwa mjadala wa maslahi mapana ya Tanzania yetu. Mungu ibariki Tanzania, Ibariki Afrika