Mdahalo: Tuwapime Magufuli na Lowassa

Mdahalo: Tuwapime Magufuli na Lowassa

Hatutaki maneno, tumeyachoka, kila siku maneno, maneno. Mi kura yangu nampa mwenye sura nzuri kuliko mwenzie, ndo uamuzi mgumu kabisa katika maisha yangu, hutaki kajinyonge.
#sifa yangu kubwa kwa mgombea uraisi wa JMTZ sura nzuri, vigezo na masharti kuzingatiwa.
 
Lowassa ndiye anafaa anaedisitiza Elimu nchi bado inahitaji wataalamu wa fani mbalimbali kabla ya viwanda utatengeneza viwanda vitakufa kwa kukosa wataalam wa kuviendesha ELIMU KWANZA
 
Ahadi za lowasa zinatekelezeka hata kwa short-run, viwanda vya magufuli inakuwa ngumu make nishati za kuendesha mitambo ya viwanda haipo, kama nishati ya kumulikia taa za nyumbani hivyo viwanda vitakula loss ya hatari kwa huu mgao wa umeme.

Mkuu tambua kwamba gas ikiingizwa kwenye grid ya taifa, upungufu wa umeme utakuwa historia. Tunayo gas ya kutosha, ni muda tu.
 
Hatutaki maneno, tumeyachoka, kila siku maneno, maneno. Mi kura yangu nampa mwenye sura nzuri kuliko mwenzie, ndo uamuzi mgumu kabisa katika maisha yangu, hutaki kajinyonge.
#sifa yangu kubwa kwa mgombea uraisi wa JMTZ sura nzuri, vigezo na masharti kuzingatiwa.

Mjadala huu ni wa elimu na viwanda. Mambo ya sura hayapo. Jadili mada
 
mungu atusaidie tupate iyo elimu ILI TUWEZE KULA KWA KALAMU ninavyojuwa wa Tanzania wakipata elimu safi mama yangu wa NIGERIA WATAKUWA WATOTO WA WATANZANIA MAANA KUNA BAADHI YA WA TANZANIA WANAELIMU NDOGO ILA NI HATARI
 
Elimu tushapewa kinachoitajika sasa ni ajira

Viwanda ndio mpango mzima
 
mungu atusaidie tupate iyo elimu ILI TUWEZE KULA KWA KALAMU ninavyojuwa wa Tanzania wakipata elimu safi mama yangu wa NIGERIA WATAKUWA WATOTO WA WATANZANIA MAANA KUNA BAADHI YA WA TANZANIA WANAELIMU NDOGO ILA NI HATARI

Unamaanisha watanzania wakipata elimu yenyewe yenyewe yenye ujazo wa kutosha, utapeli utaongezeka duniani??
 
Lowassa kipao mbele chake namba moja Elimu, namba mbili Elimu na namba tatu elimu.

Magufuli yeye kipao mbele chake Viwanda, Viwanda Tanzania nzima.

Wote hao juu wanaomba kazi kwetu, sisi ndio mabosi wao. Wametuambia watatufanyia hayo tukiwapa ridhaa ya kutuongoza.

Sasa tujadili yupi kati ya hao atakaye weza kutuvusha. Je Elimu itawezekana? Viwanda vitawezekana?

Nondo zenu zitasaidia sana kutushawishi sisi ambao bado atujaamua tumpigie kura nani.

Karibuni kwa mjadala wa maslai mapana ya Tanzania yetu. Mungu ibariki Tanzania, Ibariki Africa



Mwamko unaouona leo ni kwa sababu ya elimu. Kuna viwanda vingi vimekufa kwa sababu zisizo na msingi.


Katika Nchi yenye umeme wa kusuasua ingawa kuna vyanzo vingi vya Uzalishaji wa nishati mf. Makaa ya mawe, Gesi, Mabwawa, Maporomoko, Mito,Nidhati asilia ya Jua, Vyura wa Kihansi, n.k hatuwezi kuviendesha Viwanda hivi.(Vilivuokufa na vinavyodhaniwa kujengwa.

Leo hii Tanzania bado ina magonjwa ya mlipuko ya uchafu! Ni Nchi hii hii yenye kuwa nawananchi wasiojua haki zao na kudhani ni fadhila wanayolipa! Elimu yetu tumeichezea.
 
SERA YA MAGUFULI YA VIWANDA INA KASORO KUBWA SANA, NA KAMWE HAIWEZI KUTEKELEZEKA KWA SABABU.

1/Magufuli anasema serikali yake itajenga viwanda vingi.
Hii kitu haiwezekani kabisa kwa kuwa Sera na mfumo wa sasa wa dunia na nchini kwetu ni soko huria na serikali haiwajibiki kufanya biashara. Serikali kazi yake ni Kutunga sera kutoa huduma, kusimamia sheria, kukusanya kodi. Ujenzi Wa viwanda ni suala la kibiashara kabisa.

2/Magufuli anasema atafufua viwanda vingi vilivyokufa.
Hili nalo ni la kisiasa kabisa. Viwanda vingi vimekufa na kuzikwa kabisa(Hata Magofu hayapo tena), vipo vilivyokufa kwa sababu za kiuchumi(soko la bidhaa) vingine vimekufa kwa sababu ya ushindani wa kibiashara, vingine vimekufa kwa sababu ya technolojia ya kizamani, Uhaba wa malighafi, management mbovu nk. Sasa unafufua kipi na unaacha kipi?

3/Magufuli anasema atavirudisha viwanda vyote vilivyobinafsishwa na vikashindwa kuendelezwa. Hii nayo haiwezekani(kwa sababu wamiliki walivinunua kihalali hivyo kuvirudisha serikalini inabidi upatane nao na sio kuvipora) na kama ikiwezekana itakuwa ni hasara kubwa sana kwa serikali(kwa sababu vingi havina chochote kile cha kuzalisha, vina madeni balaa, ni magofu matupu)

4/Magufuli anasema atajengwa uchumi wa Viwanda. Hii nayo haiwezekani kabisa. Uchumi Wa viwanda ni matokeo ya kufanya mambo mengine ya kiuchumi na Sio kujenga viwanda vingi. Kujenga viwanda ni jambo moja tena rahisi, lakini kuviendesha viwanda ni jambo lingine tena gumu sana. Kuna mambo kadhaa yanafaa kwanza kufanyika kwanza kiuchumi ili kuzaa uchumi Wa viwanda. Kwa mfano Nishati ya Uhakika na nafuu, SOKO la uhakika na pana, TECHNOLOGIA ya Uhakika na kisiasa, WATAALAMU bora na wakutosha, KODI zikusanywe kwa uhakika kwa bidhaa zinazoingizws nchini ili kulinda viwanda vya ndani, MALIGHAFI nyingi na ya uhakika nk.
 
Elimu tushapewa kinachoitajika sasa ni ajira

Viwanda ndio mpango mzima

Je elimu tuliyo nayo itaweza kutufanya tujisimamie kwenye hivyo viwanda. Kwa nini tulivibinafsisha??
 
Afadhali mwenye elimu kwa sabab hyo hyo elimu itatusaidia kuongeza wataalamu wa kuviendesha hvyo vwanda 2. Tukifanya vwanda 2taishia kuajiri 2 wataalamu kutoka nje kama ilivyo uwanja wa taifa na c ndan ya nchi na watanzania watakuwa kama ma day worker 2

Sasa na hao wadini waliopo mitaani wa fani mbalimbali hawawezi?
 
Elimu Kwanza. Wasomi watakaopatikana wataanzisha hivyo viwanda. Serikali iandae tu mazingira mazuri ya uwekezaji wa ndani.
Mchango wangu....
Tayari tuna wasomi na wajasiria mali ambao wanaweza kuanzisha viwanda wakiwezeshwa kama anavyosema Magufuli.. Mazingira ya viwanda yapo.. Angalia machungwa na machenza yanavyoozea mashambani kule Muheza na kwingineko..inahitaji kipaumbele na mtaji kuyasindika kutoa juice au kuyaweka ndani ya mabox yahiharibike. Ni sera Inawezekana!
 
Unajua monduli shule hakuna za kutosha mzee akahisi ni Tanzania nzima hakuna shule, elimu ashafanya kazi kubwa mno JK ata lowasa anajua hilo kwa sasa ni sisi tunahitaji ajira
 
Afadhali mwenye elimu kwa sabab hyo hyo elimu itatusaidia kuongeza wataalamu wa kuviendesha hvyo vwanda 2. Tukifanya vwanda 2taishia kuajiri 2 wataalamu kutoka nje kama ilivyo uwanja wa taifa na c ndan ya nchi na watanzania watakuwa kama ma day worker 2

Hivi jiulize...leo hii hatuna wasomi wa kufanya kazi viwandani?jiulize..tatizo kubwa la vijana leo ni ajira inayotatuliwa kwa viwanda.
 
SERA YA MAGUFULI YA VIWANDA INA KASORO KUBWA SANA, NA KAMWE HAIWEZI KUTEKELEZEKA KWA SABABU.

1/Magufuli anasema serikali yake itajenga viwanda vingi.
Hii kitu haiwezekani kabisa kwa kuwa Sera na mfumo wa sasa wa dunia na nchini kwetu ni soko huria na serikali haiwajibiki kufanya biashara. Serikali kazi yake ni Kutunga sera kutoa huduma, kusimamia sheria, kukusanya kodi. Ujenzi Wa viwanda ni suala la kibiashara kabisa.

2/Magufuli anasema atafufua viwanda vingi vilivyokufa.
Hili nalo ni la kisiasa kabisa. Viwanda vingi vimekufa na kuzikwa kabisa(Hata Magofu hayapo tena), vipo vilivyokufa kwa sababu za kiuchumi(soko la bidhaa) vingine vimekufa kwa sababu ya ushindani wa kibiashara, vingine vimekufa kwa sababu ya technolojia ya kizamani, Uhaba wa malighafi, management mbovu nk. Sasa unafufua kipi na unaacha kipi?

3/Magufuli anasema atavirudisha viwanda vyote vilivyobinafsishwa na vikashindwa kuendelezwa. Hii nayo haiwezekani(kwa sababu wamiliki walivinunua kihalali hivyo kuvirudisha serikalini inabidi upatane nao na sio kuvipora) na kama ikiwezekana itakuwa ni hasara kubwa sana kwa serikali(kwa sababu vingi havina chochote kile cha kuzalisha, vina madeni balaa, ni magofu matupu)

4/Magufuli anasema atajengwa uchumi wa Viwanda. Hii nayo haiwezekani kabisa. Uchumi Wa viwanda ni matokeo ya kufanya mambo mengine ya kiuchumi na Sio kujenga viwanda vingi. Kujenga viwanda ni jambo moja tena rahisi, lakini kuviendesha viwanda ni jambo lingine tena gumu sana. Kuna mambo kadhaa yanafaa kwanza kufanyika kwanza kiuchumi ili kuzaa uchumi Wa viwanda. Kwa mfano Nishati ya Uhakika na nafuu, SOKO la uhakika na pana, TECHNOLOGIA ya Uhakika na kisiasa, WATAALAMU bora na wakutosha, KODI zikusanywe kwa uhakika kwa bidhaa zinazoingizws nchini ili kulinda viwanda vya ndani, MALIGHAFI nyingi na ya uhakika nk.

LIKE
za kutosha mkuu
 
Elimu kwanza. viwanda baadae.bila elimu hivyo viwanda utaviendeshaje pia tuacheni ushabiki lowassa.niyo anafaa kuingia ikulu.

Hujui unachosema...hivi hukusikia vijana wenye degree 800 walijitokeza kwenye interview ya uhamiaji kupata wafanyakazi kama 50 hivi?tatizo kubwa letu leo sio wasomi wa kuwaajiri bali ajira za wasomi hao, viwanda ndio jibu kwa sasa.
 
Hatupepesi macho hapo LOWASA anamwacha mbali Magufuli!

MAGUFULI - Anavyosema viwanda hakuna serikali inayojengwa viwanda karne hii ila inavutia uwekezaji binafsi sasa mwekezaji kama anaona fursa yenyewe inamlipa ndipo huwekeza. Sera zetu toka enzi za Mkapa ziko wazi juu ya uwekezaji hivyo lugha ya viwanda kila mkoa ni ya kutafutia kura tu. Kumbuka kuwa hv sasa serikali inakusanya kodi toka wawekezaji na si kujenga viwanda.

LOWASSA - Anavyonadi elimu bure kuanzia chekechea hadi chuo kikuu inawezekana kwa kuwa hapo kinachofanyika ni kuziba mianya ya utoroshaji wa kodi ambao hulitia hasara taifa. Kupunguza baraza la mawaziri na naibu waziri na kupunguza ununuzi wa magari ya kifahari.
 
Back
Top Bottom