COMPLICATOR2011
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 253
- 35
Hii midahalo mi naona mwishoni magamba wataipiga chini, kwani inawadhalilisha jana Tyson alichemka kwa mh. Mbowe akabaki kutaka kupigana.
Haya ngoja niandae dizel yangu mapema ili Ngeleja akifanya mambo yake niwashe ka tiger kangu.
Asante kwa taarifa mkuu, muda ni saa ngapi?
Haya ngoja niandae dizel yangu mapema ili Ngeleja akifanya mambo yake niwashe ka tiger kangu.
Asante kwa taarifa mkuu, muda ni saa ngapi?