Mdahalo ni lazima sio hiari

Firigisi

Member
Feb 13, 2009
91
33
Tunataka mdahalo wa kina kuhusu masuala kitaifa tujue jinsi gani tutakaowapa dhamana wataendesha nchi
yetu , jinsi gani ilani zao zitatekelezwa, utamaduni huu ujengeke kwenye chaguzi zetu , tena sio tu kati ya wagombea urais wa vyama vya siasa , bali pia ndani ya vyama wakati wa mchujo (a.k.a kukatwa) , kama wenzetu wenye demokrasia imara wanavyofanya , wataokaoshiriki ndio tutawapima na ndio tukaowachagua , wasioshiriki midahalo inaashiria hawajiamini na sera zao hazitekelezeki, nachelea kusema ni "wasanii wa kisiasa"!

Hatutawamini bila kuwapima , jaribu kutafakari kama Donald Trump angekacha kwenye mdahalo wa Republican, au Obama wakati ule, Obama angekimbia , ingekuwaje ? Tujifunze kwa wenzetu , tuache kujitoa ufahamu kuwa hatujui umuhimu na mchango wa debates,ili tujenge demokrasia yetu iwe pana ,imara, ya uwazi , na ushirikishwaji wa wananchi.

Tume ya taifa ya uchaguzi pia iangalie ni jinsi gani hili linaweza kusimamiwa iwe ni lazima na sio hiari. Itoshe tu kusema , asiyeshiriki midahalo hana nia ya kujenga demokrasia yetu, na kwa maana hio hafai kupewa dhamana ya kuongoza nchi yetu, na hivyo ndugu zangu wasioshiriki tusione haya "kuwakata" tar 25 October !


Defiant Donald Trump dominates US Republican TV debate - BBC News
 
Donald Trump is the worst debater so far still he is leading all other candidates in the Republican side,you can see how less effective the debate can be in rallying the support behind you.People don't wanna hear sweet promises anymore, all they want to see happening is a change, that's it.
 
Wananchi wanachohitaji ni maendeo na siyo midahalo,kama Jk na wenzake mwaka 2010 walikacha midahalo na wakaweza kushinda hata wagombea wa UKAWA watashinda pasipo kuhudhuria mdahalo hata mmoja kwa kuwa wananchi tunawaamini kwa kuwa wanaweza.

Kama ni suala la kusikia sera zao kila siku tunazisikia na tunauhakika nazo,midahalo tumemuachia Magufuli na CCM wenzake kwa kuwa hawana imani na sera zao.
 
Wananchi wanachohitaji ni maendeo na siyo midahalo,kama Jk na wenzake mwaka 2010 walikacha midahalo na wakaweza kushinda hata wagombea wa UKAWA watashinda pasipo kuhudhuria mdahalo hata mmoja kwa kuwa wananchi tunawaamini kwa kuwa wanaweza.

Kama ni suala la kusikia sera zao kila siku tunazisikia na tunauhakika nazo,midahalo tumemuachia Magufuli na CCM wenzake kwa kuwa hawana imani na sera zao.

Ha ha ha ha ha ha ha ha mmepatikana nyie mafisadi na hilo fisadi lenu lazima asimame jukwaani atuambie atatufanyia nini vinginevyo tupa kure.
 
Tunataka mdahalo wa kina kuhusu masuala kitaifa tujue jinsi gani tutakaowapa dhamana wataendesha nchi
yetu , jinsi gani ilani zao zitatekelezwa, utamaduni huu ujengeke kwenye chaguzi zetu , tena sio tu kati ya wagombea urais wa vyama vya siasa , bali pia ndani ya vyama wakati wa mchujo (a.k.a kukatwa) , kama wenzetu wenye demokrasia imara wanavyofanya , wataokaoshiriki ndio tutawapima na ndio tukaowachagua , wasioshiriki midahalo inaashiria hawajiamini na sera zao hazitekelezeki, nachelea kusema ni "wasanii wa kisiasa"! Hatutawamini bila kuwapima , jaribu kutafakari kama Donald Trump angekacha kwenye mdahalo wa Republican, au Obama wakati ule, Obama angekimbia , ingekuwaje ? Tujifunze kwa wenzetu , tuache kujitoa ufahamu kuwa hatujui umuhimu na mchango wa debates,ili tujenge demokrasia yetu iwe pana ,imara, ya uwazi , na ushirikishwaji wa wananchi. Tume ya taifa ya uchaguzi pia iangalie ni jinsi gani hili linaweza kusimamiwa iwe ni lazima na sio hiari. Itoshe tu kusema , asiyeshiriki midahalo hana nia ya kujenga demokrasia yetu, na kwa maana hio hafai kupewa dhamana ya kuongoza nchi yetu, na hivyo ndugu zangu wasioshiriki tusione haya "kuwakata" tar 25 October !



Defiant Donald Trump dominates US Republican TV debate - BBC News

Mimi nimefurahishwa na andiko lako, ila limekaa inafiki sana, waliokataa midahalo ni watawala yani ccm, tangu uchaguzi uliopita, walipiga marufuku wagombea wao kushiriki midahalo, unakumbuka mchakato majimboni na Tido mhando, sasa ili twende sawa tufanye uchaguzi huu then uchaguzi ujao tuhimize midahalo kwa njia yoyote, lakini kwa mwaka huu labda sana tunaweza kuwa na mdahalo wa wagombea urais tena labda mmoja na uwe siku moja kabla ya uchaguzi na umeme usikatwe.
 
Tunataka mdahalo wa kina kuhusu masuala kitaifa tujue jinsi gani tutakaowapa dhamana wataendesha nchi
yetu , jinsi gani ilani zao zitatekelezwa, utamaduni huu ujengeke kwenye chaguzi zetu , tena sio tu kati ya wagombea urais wa vyama vya siasa , bali pia ndani ya vyama wakati wa mchujo (a.k.a kukatwa) , kama wenzetu wenye demokrasia imara wanavyofanya , wataokaoshiriki ndio tutawapima na ndio tukaowachagua , wasioshiriki midahalo inaashiria hawajiamini na sera zao hazitekelezeki, nachelea kusema ni "wasanii wa kisiasa"! Hatutawamini bila kuwapima , jaribu kutafakari kama Donald Trump angekacha kwenye mdahalo wa Republican, au Obama wakati ule, Obama angekimbia , ingekuwaje ? Tujifunze kwa wenzetu , tuache kujitoa ufahamu kuwa hatujui umuhimu na mchango wa debates,ili tujenge demokrasia yetu iwe pana ,imara, ya uwazi , na ushirikishwaji wa wananchi. Tume ya taifa ya uchaguzi pia iangalie ni jinsi gani hili linaweza kusimamiwa iwe ni lazima na sio hiari. Itoshe tu kusema , asiyeshiriki midahalo hana nia ya kujenga demokrasia yetu, na kwa maana hio hafai kupewa dhamana ya kuongoza nchi yetu, na hivyo ndugu zangu wasioshiriki tusione haya "kuwakata" tar 25 October !



Defiant Donald Trump dominates US Republican TV debate - BBC News

Kwanza nikuunge mkono kabisa kwa kupendekeza kuiga mambo mazuri ya wenzetu. Sasa ngoja nikuombe, tuanze na lipi kati ya haya?

  1. Tume huru ya uchaguzi, hii isingepaswa kuchaguliwa na kiongozi wa chama washindani kwani inatia shaka sana kuhusu uhuru wao.
  2. Viongozi wa serekali kushiriki kama wagombea wakati huo huo wanaendelea na nafasi zao serekalini. Mfano Rais wa zanzibar, na makamu wake, mgombea wa ccm ambaye ni waziri mpaka sasa. Na kwa ccm hili ni tatizo kubwa sana kwani wengi eneo hili ni tatizo
  3. Double standard katika sheria kati ya chama tawala na vile vya upinzani. Tukifanikiwa hapa hata midahalo yetu itakuwa na maana.
 
mimi kwa mawazo yangu mdahalo ni sawa ila kwa sasa mgombea wetu yupo busy kutafuta support kwa wazee na akina mama kwa sababu vijana wote numemkubali, sasa ushauri wangu kwa makamba ni kwamba mdahalo huu uwe kwa wenyeviti wa vyama vikuu MH. BOWE VS MH. KIKWETE ,,, NAPE VS MNJIKA ,,,,,,, HAPO PATACHIMBIKA.
 
inafurahisha sana lowasa kukimbia mdahalo.nadhani anaogopa atashindwa simama zaidi ya 30 minutes
sio dk tu mkuu anajua wanao mshobokea wote hawajitambui, pale hana hoja na hawezi kuongea akaeleweka anatumia uzuzu wa mijitu kuendelea kuwa mwana siasa hahaha
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha mmepatikana nyie mafisadi na hilo fisadi lenu lazima asimame jukwaani atuambie atatufanyia nini vinginevyo tupa kure.

Waliosema saaaaaana kwa miaka 54 sasa wametutendea nini Hadi sasa? Kama wangefanya cha nmaana zaidi ya ngonjera za kisanii basi mgombea wenu Magufuli asingetumia dakika nyingi kwenye jukwaa la kampeni KUSHANGAA tu!
 
kuna midahalo ya ubunge kwa majimbo inaendelea kule azam tv chini ya tido mhando..... wagombea wa ccm wanakimbia kama vichaa.... alianza wa segerea akamkimbia mtatiro, jana wa ccm kwa jimbo la kawe kamkimbia halima mdee sasa unajiuliza hawa watu wanataka mdahalo kweli au wanatishia kujamba wakat wanaharisha? wanabip wanapigiwa halafu hawapokei!!!!!

Tumewastukia, wanaccm wote wanataka mdahalo wa urais tu, hawataki wabunge wala udiwani. Sasa kama sio kutaka kutuuzia mbuzi kwenye gunia ni nini?
 
Chadomo bhana wakibanwa kwenye kona huwa wanakumbushia ya kale wao wakikumbishiwa zile nakala za kubenea au mbowe, mnyika , lissu kuhusu FISADI huja na msemo wao mavi ya kale hayanuki. haya vipi yananuka nini ? teh teh CHADOMO ni Sheeedah !
 
Back
Top Bottom