Mdahalo mkubwa Kimataifa wa Tundu Lissu na Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo

Idd Amini na Hitler ni viongozi wauwaji na madikteta, sifa ambazo ni kinyume kabisa na Lisu, labda unazungumzia utawala wa 2015-2020!
Siyo Lisu wala mimi ambao tumekataa kwamba hizo barabara na ndege, treni, siyo maendeleo! Tatizo ni vipaumbele, unawezaje kuacha kulipa watu stahiki zao ili kujenga miradi mikubwa? Kama angepandisha watu madaraja, kuongeza mishahara, kuajiri, basi hiyo miradi ingekua sawa. Lakini pia, nimevitaja hivyo vitu kukujibu kwamba, ukisema Lisu ni empty kichwani na hana sera, mbona ccm wanaimba ‘furayiova, barabara kiromita... ndege nk, kwa miaka yote mitano??! Ukianza kuona watu hawana akili, nao wataona ujinga wako pia! Na swala la kufungwa ufahamu, Wewe umefungiwa huko ccm pia!
Za kuambiwa changanya na zako, ulishuhudia idd Amin au Hitler akiua zaidi ya propaganda za wasioutaka utawala wao
Mara moja moja muwe mnaingia jamii interejensi muone mataifa makubwa yanavyokutafutia hila ili yakutoe kwenye uongozi kwa manufaa yao
 
Za kuambiwa changanya na zako, ulishuhudia idd Amin au Hitler akiua zaidi ya propaganda za wasioutaka utawala wao
Mara moja moja muwe mnaingia jamii interejensi muone mataifa makubwa yanavyokutafutia hila ili yakutoe kwenye uongozi kwa manufaa yao
Msichana mrembo kama wewe nikubishie?! Naukubali, za Hitler na Idd Amini, nachanganya na za kwako! 👏
 
Msichana mrembo kama wewe nikubishie?! Naukubali, za Hitler na Idd Amini, nachanganya na za kwako! 👏
Ndio hivyo bro kwa tuliyoyaona kwa Saddam Hussein nchini Iraq na kwa muamar Gaddafi nchini Libya
Wamewaachia matatizo matupu
 
TUNDU LISSU anafanya “mdahalo” na Rais wa Ghana kwa kidhugu

DUA bringing over 28 influential political parties across the continent to engage on the future of Democracy and Socio Economic Growth. Ideological clarity and Policy is key in delivering a future for Africans

MOja ya mambo ya kipuuzi munayotunga ili tu kuandika jina la Lissu. Akili hiyo itoke wapi kwa Lissu?
 
Tulieni dawa iwaingie. Hizo 15% ni za magufuli
The conduct of the upcoming elections in Tanzania has important consequences not only for Tanzania, but for the entire East African region. Tanzania’s history of peaceful multi-party elections stretching back 25 years has made it a model on the continent.

The United States government reaffirms unequivocally that it does not support any specific candidate or party in Tanzania’s upcoming elections. The United States supports the democratic process itself. We support a genuinely free, fair, transparent, and peaceful electoral process, before, during, and after election day. This includes ensuring the safety of all contestants, respect for the rule of law, and the absolute impartiality of the authorities in charge of managing the elections.

The United States, along with other democratic nations, will be paying close attention to actions of individuals who interfere in the democratic process or instigate violence against the civilian population before, during, or after the elections. We will not hesitate to consider consequences for those found to be responsible for election-related violence or undermining the democratic process.

We welcome the calls by the leading candidates for a peaceful and transparent electoral process, and we urge them and their supporters to take measures to decrease tensions and avoid inciteful rhetoric.

By U.S. Embassy Dar es Salaam | 1 October, 2020 | Topics: Press Releases
 
Swali moja tu! Mahaba haya yalitimia?
SOMA HII KWANZA ILI AKILI ZIKURUDIE
1601621671413.png
 
Ndio maana bado naendelea kuwaita WAPUMBAVU., hao wa mitandaoni wanaoongea na kusikiliza kiingereza hawapigi kura, badala ku deal na vitu vya maana mnawekeza kwenye ishu za kipuuzi Lissu akipata zaidi ya 15% October 28 akatambike.
Tulia wewe
 
Ndio maana bado naendelea kuwaita WAPUMBAVU., hao wa mitandaoni wanaoongea na kusikiliza kiingereza hawapigi kura, badala ku deal na vitu vya maana mnawekeza kwenye ishu za kipuuzi Lissu akipata zaidi ya 15% October 28 akatambike.
Bwege nazi
 
Ndio maana bado naendelea kuwaita WAPUMBAVU., hao wa mitandaoni wanaoongea na kusikiliza kiingereza hawapigi kura, badala ku deal na vitu vya maana mnawekeza kwenye ishu za kipuuzi Lissu akipata zaidi ya 15% October 28 akatambike.
 
Back
Top Bottom