Mdahalo: Kids Vs Spouses

1. The best thing a dad can do for his children is to love his mother biblically
2. The best thing a mother can do for her children is submit to her husband biblically
3. The best thing parents can do for their children......the best way to love their children.....is to make a solid biblical home and to have them faithfully
devoted to god.

really??
 
Kama kungekuwa na kitufe cha thanks ningekugongea hapa Asante kwa hili na ndio ukweli wenyewe................lakini ukija kuangalia nadharia ya maisha halisi wengi hawawezi tekeleza hayo labda uwe mcha/hofu ya Mungu hasaa.
Unajua Chauro wakati naendelea kusoma comment za wengine nilipoangalia hii signature yako "Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4)." nikagundua inaleta maana nyingi na mojawapo ni hiyo niliyoiandika hapo juu
 
Mimi leo mshiki sina ujanja, nimeloa kwa kijasho! At least hiyo bold hapo nimepumua LOL

Hahahaha....nyumba ndogo zinatafutiwa justifications wallah khaa!

Hhahahaha...pole babu!!

Acha kufananisha mapenzi ya mzazi kwa mtoto na ya mwanamke na mwanaume utaona hicho kijasho kikikauka bila hata taulo!!!
 
Hapo kuna mjadala mwingine

As a kid hata unipe material things kiasi gani kama najua unamchukia mama yangu itakuwa ngumu kukupenda.

Following that line of reasoning then one can conclude kuwa watoto wanampenda mama kuliko baba.

Poleni wababa lakini habari ndiyo hiyo.

Hapo kwenye second line unadhani kwa nini wametumia neno submit na si love??
1. The best thing a dad can do for his children is to love his mother biblically
2. The best thing a mother can do for her children is submit to her husband biblically
3. The best thing parents can do for their children......the best way to love their children.....is to make a solid biblical home and to have them faithfully
devoted to GOD.
 
1. The best thing a dad can do for his children is to love his mother biblically
2. The best thing a mother can do for her children is submit to her husband biblically
3. The best thing parents can do for their children......the best way to love their children.....is to make a solid biblical home and to have them faithfully
devoted to GOD.

...wewe the finest kasome proverb 21:9, halafu 21:19, kisha malizia na proverb 25:23...

..."the woman of a noble character, who can find..."
Listen, am not perfect nor was my wife but nakushauri
Uoe kwanza ndipo uje na maandiko..
 
nyumba kubwa embu nieleweshe labda mie ni mwanamke wa tofauti hawezi kuniweka aside halafu nikawa proud tu anawapenda na kujali watoto wake ndio anaonyesha upendo kwangu pia .............what if ukawa kwenye abusive relationship lakini baba huyo huyo anahakikisha mahitaji muhimu ya watoto wake yapo nyumbani still utakuwa proud mwenzi wako anakupenda sababu anajali wanao............labda ukiuliza maswali yeyote jibu utaloambulia kuna ambacho hupati ..............................

Afu kama umeshachunguza story za wamama wengi; utasikia wanakwambia "mume wangu umwambii kitu kuhusu watoto wake"

Kila mwanamke anajisikia furaha saaana akiwa na mwanaume anayewapenda watoto; and will never complain eti mume wangu anawapenda watoto kuliko mimi; tunafurahi sana tukiona waume zetu wana muda na watoto; kwa maana kuwa tuna share kitu tunachokipenda; watoto. Na ndoa za baba anayependa watoto huwa nyingi zina furaha kwani lazima utabasamu ukiona mumeo anacheza na watoto muda mwingi.
 
Let me write in bold.... like kware

Asprin

In life we all ahve loved at least five times, and every love was preced by some special moment until we grew this old!!! na katika kila kupenda kuna kuzidiana.... i love my wife, and i have said this in JF more than sevral times, but nothing can beat my love for my kids, Mbu did put it perfect... coz he ended with the word period!!!

Love has no "what if"... and by you just adding kwamba kama nisingekua na watoto, then umeweka what if" and i respect that one coz hayo yote ni majaaliwa ya mungu, na hata leo mungu akiwachukua sintamlaani mungu kwa namna yoyote ile

secondly, before getting married, we have had moments where we felt so special and never expected to part witht he previous love.... but guess what, we ended up getting married na watu tuliokutana nao at a right time... wewe Asprin ulikua unashinda pale kwa akina Naki bize unawinda, kwani umemuoa Naki??? ahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

haya tuyaache hayo.... love is crazy, love stinks, love is special and love sometimes sucks

But my specail love for my kids, doesnt hvae all that, at least at the moment, nangoja wakikua wakianza kunitesa, labda mama yao atawaovateki tena kwena love, BUT AT THE MOMENT, SHE CANT BEAT MY LOVE FOR DEM KIDS, COZ THEY HAVE SHOWED ME SOMETHING DIFFERENT

............KUNA MTU KANILETEA CHA aRUSHA NGOJA NIKAMALIZIE KIPISI
Agemate........ I Rest My Case! Am planning for revenge........ As from Today My Kids are going to be Number One! (Kidding)........

The Truth is: No one, I repeat No one will overtake my darling wife and take Number One as far as Love is Concerned!

Halafu Ishu za Naki zimekujaje hapa wakati unajua ulichonitenda? Tusikumbushane ubabe hapa bana!
 
Unajua Chauro wakati naendelea kusoma comment za wengine nilipoangalia hii signature yako "Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4)." nikagundua inaleta maana nyingi na mojawapo ni hiyo niliyoiandika hapo juu
good quote.... but once again iko biased kwenye dini moja
 
Labda weye utaweza nipa matumaini........... hawa kina Nyumba Kubwa, Lizzy, Blaki Woman and co wamenimaliza kabisa aisee! Kumbe ningekuwa sijaoa ningeoa mgumba! lol (Mungu pitisha mbali, just kidding)

Kwanza nikupe pole kwa sababu mimi ndo nataka nikumaliza mazima...

Mapenzi ya Mama kwa mtoto ni bond inayoanzia mbali sana...

Kuanzia mama anakamata ujauzito... mimba inakua, wanashea blood, heartbeat, hata emotions... kumbuka all this time mama anakuwa ana-communicate na mtoto kwa njia mbali mbali... (hapo worry ya mama inakuwa "Eeh Mungu, sijui nimebeba kiumbe gani tumboni"

Mtoto anazaliwa, very innocent and vulnerable... anahitaji protection na love (ambayo inaongezeka yenyewe with every moment unapomuona)
Akilia kidogo, unasikia uchungu mwingine wa kuzaa japo huna mimba, mtoto akiwa mchanga akalia mama anatamani kufa maana hajui ni nini kinamliza...

Then mama anapata worry nyingine, sijui ataona... sijui atasikia.... sijui atatembea.... Eeh Mungu msaidie mwanangu...

anapozidi kukua, hata mama akimchapa, anarudi tena kwa mama ambembeleze... kwa sababu kwa mtoto ni 2nd God, ndo tegemeo lake pekee

mama siku zote anaona kwamba bado huyo mtoto anahitaji protection, mama anaona kwamba ingawa amekuwa lakini anaweza kudhurika...

Sasa babu, bond ya mama na mtoto ni kubwa sana anaijua Mungu pekee... May be we are over protective... lakini wewe kama mume, kwanza ni jibaba lakini kwa mama yako bado atakuuliza "umekula mwanangu" tena mbele ya Mama Matesha... Mbona unakonda, inaonekana huli vizuri...

Mapenzi ya mume (ambaye sina..lol) ni tofauti... mtoto ni faraja sana..., they are angels...

Huo ni mtazamo wangu tu
 
Agemate........ I Rest My Case! Am planning for revenge........ As from Today My Kids are going to be Number One! (Kidding)........

The Truth is: No one, I repeat No one will overtake my darling wife and take Number One as far as Love is Concerned!

Halafu Ishu za Naki zimekujaje hapa wakati unajua ulichonitenda? Tusikumbushane ubabe hapa bana!
..ooopps, did i say that??

sirudii tena!!! lakini si hata mimi badae alinitosa mkuu??
 
nyumba kubwa embu nieleweshe labda mie ni mwanamke wa tofauti hawezi kuniweka aside halafu nikawa proud tu anawapenda na kujali watoto wake ndio anaonyesha upendo kwangu pia .............what if ukawa kwenye abusive relationship lakini baba huyo huyo anahakikisha mahitaji muhimu ya watoto wake yapo nyumbani still utakuwa proud mwenzi wako anakupenda sababu anajali wanao............labda ukiuliza maswali yeyote jibu utaloambulia kuna ambacho hupati ..............................
halafu wewe..........

endelea tu kuchunguza wanaume, usije ukawa unataka kuleta povu home tu
 
Watoto si kuwa tunawependa tu ni wafariji wa hajabu kwa kila mama. Huwa napenda kufanya mazoezi asubuhi na wakati nafanya hivyo huwa nawawazia wanangu najisemea NK fanya mazoezi ili usije ukafa na ma BP na kuwaacha hawa lovely kids bila mama. They are the reason for my living.

Asante sana kwa hilo.Huwezi kukwepa ukweli.Mimi huwa nawaza siku nitakapokufa nani atanikosa zaidi ya hawa makinda?
Watoto una uhakika ni wa kwako.
Pia mara nyingi wanajaribu kufanya kila kitu ambacho kitakufurahisha.
Baba yao nampenda ila nafikiri watoto wananihitaji zaidi yake.
 
Kwanza nikupe pole kwa sababu mimi ndo nataka nikumaliza mazima...

Mapenzi ya Mama kwa mtoto ni bond inayoanzia mbali sana...

Kuanzia mama anakamata ujauzito... mimba inakua, wanashea blood, heartbeat, hata emotions... kumbuka all this time mama anakuwa ana-communicate na mtoto kwa njia mbali mbali... (hapo worry ya mama inakuwa "Eeh Mungu, sijui nimebeba kiumbe gani tumboni"

Mtoto anazaliwa, very innocent and vulnerable... anahitaji protection na love (ambayo inaongezeka yenyewe with every moment unapomuona)
Akilia kidogo, unasikia uchungu mwingine wa kuzaa japo huna mimba, mtoto akiwa mchanga akalia mama anatamani kufa maana hajui ni nini kinamliza...

Then mama anapata worry nyingine, sijui ataona... sijui atasikia.... sijui atatembea.... Eeh Mungu msaidie mwanangu...

anapozidi kukua, hata mama akimchapa, anarudi tena kwa mama ambembeleze... kwa sababu kwa mtoto ni 2nd God, ndo tegemeo lake pekee

mama siku zote anaona kwamba bado huyo mtoto anahitaji protection, mama anaona kwamba ingawa amekuwa lakini anaweza kudhurika...

Sasa babu, bond ya mama na mtoto ni kubwa sana anaijua Mungu pekee... May be we are over protective... lakini wewe kama mume, kwanza ni jibaba lakini kwa mama yako bado atakuuliza "umekula mwanangu" tena mbele ya Mama Matesha... Mbona unakonda, inaonekana huli vizuri...

Mapenzi ya mume (ambaye sina..lol) ni tofauti... mtoto ni faraja sana..., they are angels...

Huo ni mtazamo wangu tu
Baada ya kusoma haya, ngoja niende kule kwenye sredi ya Nyumba ndogo! Hapa sina changu! Watoto wanatunyang'anya mapenzi yetu kwa mama zao.......Soooo veeeeery unfair!!!
 
Thanks honey, lakini dah! Nimekuwa kama shem wangu AshaDii kwenye thread ya Nyumba ndogo........... kwishney!
Pole babu komaaa tu nakuaminia,kinachofurahisha ni kwamba huu uzi unawaforce watu kuyatoa yaliyo moyon ambayo hayaongeleki kwengine kokote isipokuwa humu jamvin!
 
...wewe the finest kasome proverb 21:9, halafu 21:19, kisha malizia na proverb 25:23...

..."the woman of a noble character, who can find..."
Listen, am not perfect nor was my wife but nakushauri
Uoe kwanza ndipo uje na maandiko..
Hahaha!!! Mbu well i am not saying we are perfect and it's not that easy to find someone perfect but (hapa kwa wasio wakristu mtaniwia radhi) It is not a matter of "priority" as much as it is a matter of living biblically. When we live biblically, I don't see where these responsibilities really conflict. As I have said, the best thing a father can do for the children is love the mother biblically, as Christ loved the church. The best thing a husband can do for his wife his love her biblically and love the children biblically. I simply do not see the conflict that everyone else sees. And the best thing a father can do for his family is have them actively involved in the body of Christ, which will be around long after all these little piddly things like earthly families and teen conflicts are gone.
 
Kupenda watoto ni kweli kunajumlisha kuwa provider.

Sasa kuwa na abusive husband but loving daddy ni issue nyingine na ni very rare; abusive husbands wengi huwa hawana mapenzi kwa watoto.

Ila nakubali kuwa wapo watu ndoa ziliwashinda sababu ya differences ambazo zaweza zisiitwe 100% abusive; ila kwa kuwa ex ana mapenzi bado na watoto hao watu wanabaki kuwa life time friends. That includes my dad and mum. Mama mpaka kesho ahachi kumsifia baba kuwa ni perfect dad na anadiliki hata kututambia kuwa hakuna aliyepata mume mwenye mapenzi na watoto kama baba yetu; which is true.

It is strange kuwa wote wawili baba na mama hawaishi kusifiana japo wameachana; ila nimegundua we are connecting them; they are good friends because we are their heart beats.

nyumba kubwa embu nieleweshe labda mie ni mwanamke wa tofauti hawezi kuniweka aside halafu nikawa proud tu anawapenda na kujali watoto wake ndio anaonyesha upendo kwangu pia .............what if ukawa kwenye abusive relationship lakini baba huyo huyo anahakikisha mahitaji muhimu ya watoto wake yapo nyumbani still utakuwa proud mwenzi wako anakupenda sababu anajali wanao............labda ukiuliza maswali yeyote jibu utaloambulia kuna ambacho hupati ..............................
 
Chauro,mwanaume mfujaji lazima atawafuja na watoto,sisi wanaume huwa na mtazamo wa kuwaweka kundi moja mama na watoto,so mfujaji anakua na tatizo la ubinafsi wa kupindukia!
 
Back
Top Bottom