Mdahalo ITV Bila Profesa Lipumba Na Wengine, Kwanini?

Jamani tusimlaumu wala kumtukana Maggid, yuko Sahihi anaposema kuwa ule SIYO MDAHALO, na kwa kusema vile hamaanishi kwamba Slaa hakuongea mambo ya msingi, mdahalo ni baina ya pande mbili au zaidi ambazo zinapambana kwa hoja, sasa ukiangalia setup ile, ni dhahiri kwamba yale ni mahojiano.

Tusivikwe na upofu wa Mapenzi kwa Slaa hata tukasahau ukweli wa mambo na matumizi ya kweli ya maneno, kama kitu ni tunakiita mdahalo, basi kiwe mdahalo kweli, kama ni Mahojiano basi tuyaite mahojiano, otherwise tutaonekana hatukijui Kiswahili chetu vizuri halafu tuendelee kutamba kuwa ni lugha ya taifa.

Maggid ana hoja pale. tusimchukie kwa sababu ya kasumba tu ambayo tumeishaijenga hapa JF.
Watu wanaweza kudhani kwamba hili si jambo la msingi. lakini Matumizi ya maneno sahihi ni muhimu sana.
ule ulikua mdahalo...
 
Kina MWAKITWANGE wameamua kuandaa midahalo kwa mtindo wa mgombea MMOJAMMOJA na vyama vyote vimekaribishwa, CCM tu hawajajibu kama watashiriki.

LIPUMBA ni wiki ijayo. Huna hizo taarifa???

Kuna ndugu yangu mmoja amefail mara 2 Form four (baada ya ku reseat) na sasa tumemtafutia chuo cha UANDISHI WA HABARI angalau apate ki certificate and then Diploma. Nina Mashaka sana Maggid nae amepita kwa style hiyo.

Mwandishi gani mzembe na mvivu wa kufikiri namna hii??

Sorry kwa waandishi wa habari wa ukweli, sina nia mbaya!
 
Waliyaita mahojiano sio mdahalo na walitumiwa barua za mualiko wagombea wote JK hajajibu kuwa atashiriki au la Slaa alijibu fasta na kupangiwa tarehe wengine wanajishauri pia walitaka wayakusanye majibu toka kwa dr.slaa ili wakienda pale wa paste walicho copy kwa rais mteule. Lakini maswali tutayabadilisha kasoro la ufisadi tutatalipanua zaidi
 
Kuna ndugu yangu mmoja amefail mara 2 Form four (baada ya ku reseat) na sasa tumemtafutia chuo cha UANDISHI WA HABARI angalau apate ki certificate and then Diploma. Nina Mashaka sana Maggid nae amepita kwa style hiyo.

Mwandishi gani mzembe na mvivu wa kufikiri namna hii??

Sorry kwa waandishi wa habari wa ukweli, sina nia mbaya!
I find this post rather offensive and uncalled for my bro
 
Njilembera na Wengine,

Nimechokoza mjadala huu kwa nia njema kabisa. Tuwekane sawa, kwamba kuna tofauti ya embe na chungwa, kwa mwonekano na ladha pia. Kilichokuwa kikitangazwa kabla ya jana ni " Mdahalo". Tulichokiona si mdahalo, na sisi ni watu wazima. Wasije wajukuu zetu wakaja kutushangaa watakaposoma historia. Watahoji upeo wetu wa kufikiri . Kinachoonekana hapa ni ukweli, kuwa wa jana haukuwa mdahalo. Swali linabaki, jana tuliona nini? Mazungumzo, mahojiano au PR? Hivi set up ya mahojiano inatakiwa iweje ili yaitwe mahojiano? Na kwanini aliyeendesha shughuli ile alitambulishwa kama ' Mwenyekiti wa Mdahalo?". Hebu 'Great Thinkers ' tuumize vichwa tuweke hili sawa.

Bwana Maggid labda tungeanza kwanza kwa kuelewa nini hasa maana ya mdahalo ili tuweze kuhitimisha, kama ambavyo umeshafanya, kuwa wa jana ama ulikuwa au haukuwa mdahalo. Kwa kuwa mdahalo umenzia kwa wazungu ni vyema tukajua wao wanauelewa vipi mdahalo katika mapana yake.

Kwa mujibu wa kamusi ya "Oxford Advanced Learners" toleo la saba, iliyochapishwa na Oxford University Press, mdahalo au "debate" imeelezwa ifuatavyo:

Debate:
  • Noun
(i) a formal discussion of an issue at a public hearing or in a parliament. In a debate two or more speakers express oppossing views and then there is often a vote on the issue. e.g. a debate on abortion, the motion under debate (=being discussed)
(ii) an argument or discussion expessing different opinions

  • Verb
(i) to discuss something especially formally before making a decision or finding a solution e.g. politicians will be debating the bill this week
(ii) to think carefully about something before making a decision e.g. debate with yourself.

Kwa hiyo kwa mujibu wa wenzetu neno mdahalo (debate) linaweza kutumika kama Nomino (Noun) kuongelea majadiliano yanayofanyika ama bungeni ama kwenye mkutano mwingine wowote rasmi ambamo waongeaji ama wawili au zaidi wanaeleza maoni yao katika suala linalojadiliwa kwa lengo la kufikia muafaka ama kukubali kutofautiana. Kwenye bunge wanaishia kupiga kura lakini katika public hearing huwa hakuna kupiga kura. Lakini pia unaweza kutumia neno mdahalo (debate) kama kitenzi kumaanisha majadiliano katika mkutano/kikao rasmi kabla ya watu wanaojadili hawajafikia maamuzi wanayopanga kufanya au kitendo cha mtu binafsi kutafakari jambo kabla ya kufanya uamuzi. Kwa hili la mdahalo binafsi mtu hahitaji kuwa katika mkutano au kikao rasmi.

Kwa hiyo kama tulivyoona matumizi ya neno hili ni mapana sana na maana yake inatofautiana kutegemeana na muktadha (context) shughuli yenyewe inayofanyika. Sasa tunaweza kurudi kwenye mdahalo wetu wa sasa juu ya kama kilichofanyika jana ni mdahalo au siyo mdahalo. Naweza kusema kwa uhakika kabisa kuwa kilichofanyika jana ni mdahalo (debate) kwani unakidhi vigezo vilivyoainishwa na waasisi wa neno hilo kama tulivyoona hapo juu.

Vigezo ninavyovitumia kuhitimisha haya ni kama ifuatavyo:-

Mdahalo ni majadiliano rasmi (formal discussion) - jana kulikuwa na "formal discussion".
Lazima kuwe na suala linalojadiliwa kwenye majadiliano hayo (an issue) - jana kulikuwa na "issue" ya uchaguzi ujao inayojadiliwa.
Lazima majadiliano haya yafanyike kwenye mkutano wa jamii (public hearing) au bungeni (parliament) - jana kulikuwa na "public hearing".
Maranyingi (siyo mara zote) kunakuwa na kupiga kura ili kupata upande ulioshinda - jana hakukuwa na kura ya papo kwa hapo kwani ilikuwa ni "public hearing" na siyo "parliament". Lakini kutakuwa na kupiga kura tarehe 31 october.

Kimsingi mdahalo wa jana ulilenga kuanzisha midahalo binafsi (ambayo kimsingi inatamuliwa) kwa wapiga kura ili wafanye uamuzi wa nani watampigia kura itakapofika siku yenyewe.

Naomba kuwasilisha.
 
Maggid,
Kinachokusumbua wewe ni ufinyu wa akili yako. Kama kikwete alialikwa hakuja unataka Rosemary afanyaje??. Kilichofanyika jana ni mdahalo. Tulitaka Kikwete awepo amekataa. Hivyo basi maswali yote muulize kikwete na sio sisi.

Pia tunakushauri uache ujinga na badala yake ukae na ufikiri kabla hujakurupuka
 
Maggid,
Kinachokusumbua wewe ni ufinyu wa akili yako. Kama kikwete alialikwa hakuja unataka Rosemary afanyaje??. Kilichofanyika jana ni mdahalo. Tulitaka Kikwete awepo amekataa. Hivyo basi maswali yote muulize kikwete na sio sisi.

Pia tunakushauri uache ujinga na badala yake ukae na ufikiri kabla hujakurupuka


hapana mwenye ufinyu wa mawazo ni ww suali kwa nn wagombea wengine wa urais hawajaalikwa kama prof na vyama vyengine?

ujinga ni ww na upumbavu maana ww ni mpumbavu alau mjinga hutokana na kutokujua ila ww ni mpumbavu mwenye mapenzi yaliokupofua huoni wala husikii na hata uwezo wako wa kupambanua baina ya usiku na mchana umepoteza


kwa ufupi watu kama nyny ni wa kupewa pole
 
Kuna mdahalo hapa kwenye hii page ya kikwete kwenye facebook. anaogopa kujibu wala kujadili. na watetezi wake wanakosa hoja.
Watanzania wanamzabua hukohuko kwenye page yake bila uoga.
maggid, MalariaSugu et all angalieni hii kisha mkamshauri bosi wenu awajibu hawa watanzania waliomchoka

JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010's Profile
JAKAYA MRISHO KIKWETE FOR 2010 Tulizindua mpango wa "Chandarua Kila Kilipo Kitanda" ili kuongeze nguvu katika kupambana na ugonjwa wa malaria.Hizi ni juhudi zetu kama taifa na umuhimu wake uko wazi.Mpango huu unaendelea mpaka mwishoni mwa mwezi Desemba na baada ya hapo ni kufanya tathmini ya matokeo yake na nini zaidi kifanyike katika kuboresha mpango huu.Pamoja tunazidi kusonga mbele.

Friday at 10:32pm · Comment · LikeUnlike
  • 37 people like this.
  • 50 of 73

    • Dennis Makoi Yeah tunakubali hilo my friend!
      Pia naomba uwape support hao wafanyakazi wa hivyo viwanda coz wahindi wanawamaliza dada zetu kwa mfano kiwanda cha wamarekani cha kisongo du watu wanasuffer jamani! Mungu mbariki our Raisi.Friday at 11:27pm · LikeUnlike ·

    • Ismail Kalawa Looo! Kumbe mmbu wanaleta mararia ukilala tu itabidi nikeshe ili nising'atwe na mmbu mie neti sijapewa.Friday at 11:27pm · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Furaha Mbeyu mipango yako ni mizuri sana,ila jitahidi kwa kiasi kikubwa ili kuweza kupambana na hili tatizo la maralia manake net pekee cio suruhisho bali ni kutokomeza mazalia ya mmbu!Friday at 11:30pm · LikeUnlike ·

    • Robert Alexander ‎@Cacm msemo, hamna kitu kama hicho, je unajua mbu hata mmoja tu anaweza kukuambukiza malaria?Friday at 11:40pm · LikeUnlike ·

    • Tani Wa Tani ‎@Ismal, mbu jike, anofelesi anayeambukiza malaria anang'ata kuanzia saa tatu usiku na zaidi ni saa nane usiku, wewe kama unakesha saa nane usiku haitakuwepo kwako sawa, ujumbe sio mbu wote wanaambukiza malaria, pamoja tutashinda.... malariaFriday at 11:42pm · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Adelina John Massawe Robert,mpango huu ni mzuri au mbaya?Friday at 11:43pm · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Moses Kimathi Tani,nashukuru kwa somo.Mimi huwa naanza saa tisa.Friday at 11:46pm · LikeUnlike ·

    • Halima Kigoda Tuweni wenye busara jamani, katika nchi 50 maskini duniani Tanzania ni mojawapo, CCM wameongoza nchi hi kwa muda mrefu mpaka sasa hawajapata dawa ya umasikini, pls tuwaachie na watu wengine..kama CCM wanaweza muda wote huo wangeishatutoa kwny dimbwi la umaskini...Friday at 11:54pm · UnlikeLike · 1 personLoading... ·

    • Al Abry Abdallah ‎@halima imaichukua marekani maka zaidi ya 200 kua marekani uayoiona sasa na zaidi ya marais 45 iwe miaka 50 unataka tuwe matajiriYesterday at 12:01am · LikeUnlike · 3 peopleLoading... ·

    • Cacm Msemo ‎@robert kumbuka uktaka kufanya chochote unaanza na 1 hii n mwanzo subr pcha zma mwakanYesterday at 12:05am · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Ahmad Rasheed ‎@al abry.hawa wenzetu hawana hoja ni ubishi wa kijinga.hata huku marekani kuna maskin wengi na homeless people.mwananchi lazima ujitahidi mwenyewe binafsi kujikimu kimaisha.Yesterday at 12:07am · LikeUnlike ·

    • Adelina John Massawe Abry lmao!!!Mi nacheeeeeeeeka!!!Jamani hivi Lipumba hachoki kuwa mwenyekiti CUF?Yesterday at 12:07am · LikeUnlike ·

    • Cacm Msemo ‎@zoka bush alpokuja kikwete hakwenda arusha ucdanganye na kile kiwanda wamejenga wamerekan kwa msaada wa serikal yao kwahyo bush alienda kukagua msaada alyoipa tanzania inafanyika au changa la macho sawa....Yesterday at 12:08am · LikeUnlike ·

    • Mtanzania Mwaminifu ‎@Msemo unajua ujenzi wa kiwanda unachukua muda gani?.Kwani malaria imeanza leo?.Okay, kiwanda kinajengwa kwa fedha za nani?.Yesterday at 12:09am · LikeUnlike ·

    • Cacm Msemo ‎@mtanzania fedha ni za ndan na nje ndo znazojenga kiwanda, kuhusu muda co zaid ya miaka 3, na kwa kultambua hilo serkal imeagza dawa kwanza ili kuanza kuharbu mazali ya mbu pia kutoa vyandarua kwa kua mbu tayar wapo na elimu kwa wananch ya jinc gan ya kupambana na mbu pa1 na mazalia yake ikiwa ni pa1 na kuweka mazngra saf, unataka kikwete akusafshie kwako huku we mwenyew ndo unaechafua.....Yesterday at 12:19am · LikeUnlike ·

    • Robert Alexander ‎@ahmad rasheed, usiseme mtu atajiletea maendeleo mwenyewe hii inaonesha watu wa ccm mna uelewa mdogo, na ni aibu kwa chama bora usichangie ukae kimya. hujui enzi za mwl. Watu walichapa kazi? Wazururaji walikamatwa, baa zilifunguliwa saa 6 mchana? Unatia aibu.Yesterday at 12:30am · LikeUnlike ·

    • Robert Alexander ‎@al abry, unafkiri hao marais wa marekani walikua kama jk, no, hakuna hata mmoja! Na hata hivyo hata miaka Kabla ya uhuru wao marekani hawakua kama tznia kwa hiyo ni upuuz kulinganisha. Hata tukiipa ccm miaka 2000 tznia haiwezi kua marekani.Yesterday at 12:35am · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Robert Alexander ‎@Al abry, marekani haikuendelea kwa kutegemea misaada, rais kua omba omba huku na huko, ni kwa matumizi mazuri ya rasimali zao na uwajibikaji na huo uwajibikaji ulisimiwa na viongoz wazuri.Yesterday at 12:48am · LikeUnlike ·

    • Ismail Kalawa ‎@TANI raisi amesema kila kuliko na kitanda, hao mmbu wa kike wanafuata vitanda tu? Ni bora nikikimbie kitanda kuliko kukutana na hao wadudu bila kujali watakuja muda gani.Yesterday at 12:49am · LikeUnlike ·

    • Revo Alexandria Jr ama kweli JK aishi vituko,hivi kweli neti zitaondoa maralia? hivi pale ikulu kweli waheshimiwa wanalalia neti kweli? kwanza watanzania wamejikatia tamaa maisha sio BORA kama walivyohaidiwa, hawawezi kununua vitanda,magodoro bei gari sasa sijui hizo net zitafungwa wapi? afu kuweka neti bila kuua mazalia ya mbu kazi bure mzee wetu cha msingi inabidi mjipange kabla ya kutoa matamko mbalimbaliYesterday at 1:14am · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Revo Alexandria Jr BREAKING NEWS
      Adelina John Massawe ateuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Nkasi wakati swhiba wake mkubwa Mohamed Mishkaki kumradhi Miashkoki kuwa mkuu wa mkoa mpya wa Katavi,hii ni kufuatia kuwa watetezi wazuri wa JK kupitia fbYesterday at 1:29am · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Zoka Paul ‎@cacm msemo.wewe hivi ukoloni mamboleo unatendwa&nam2 mmoja?na nkwafaida ya mmoja?kwan huo msaada Bush katoa hela imetoka mfukoni kwake?nahicho kiwanda kimejengwa Ni cha bush binafsi?acha ujnga hayo yote n mabadlshano ya serikali kwa serikali nyonyaji&nyonywaji'KIKWETE hakwenda kwa sura kwa moyo alikwenda& sahihi,&maagizo yalitoka kwako?wawakilish walimwakilisha nan?unajua kwa niaba maana yake=na m2 huyo ktk vyote viwakilishwavyo,wale n vivuli.usitee wizi mbaya.umekuwa Adelina?Yesterday at 1:30am · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Issa Mikidadi asante kiongozi, tupo pamoja nawe ili kuhakikisha unatimiza malengo yako, tutashirikiana nawe bega kwa bega mpaka unaingia IKULU.23 hours ago · LikeUnlike ·

    • Issa Mikidadi Hahaaa...wafuasi wa JK msiwe na shaka, mnapoona wapinzani wanakuwa wakali na wachungu katika maneno yao na kupandwa na jazba waonapo rangi za CCM msishangae kwani tayari wanajua kuwa wameshashindwa...tatizo ni kwamba ukweli wa kushindwa ni mchungu na mgumu kuumeza. JAKAYA FOR PRESIDA23 hours ago · LikeUnlike ·

    • Al Abry Abdallah ‎@revo thanx for good news tutakupa kaimu mkuu wa wilaya22 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading... ·

    • Al Abry Abdallah ‎@robert sisi tupo third world country but wewe upo fourth hukoo zimbabwe22 hours ago · LikeUnlike ·

    • Gabriely Mbwille HONGERA SANA Rais kwa jitihada zako za kuleta maendeleo kwa watu wako, naomba tuwaulize hao wanao kebei mbona wanatumia jitihada zako kujipamba na kama sio sera nzuri na bora za ccm wangesema wapi hayo maneo mbona mnasahau maneno ya wahenga usisahau msaada.............msahala upoitao22 hours ago · LikeUnlike ·

    • Robert Alexander ‎@Al abry, hakuna 4th world, umefundishwa madrasa al sul? Kwa taarifa yako zimbabwe iko juu kuliko tznia, bora mi niko zmbwe we uko wapi? Get lost you cheap commodity!22 hours ago · LikeUnlike ·

    • Issa Mikidadi at first nilimuona Dr Slaa kama ni mshindani halisi ambae anamtazamo chanya kuhusu uongozi wa nchi.lakini ilipofikia lazima tukubali kwamba kuna tofauti kubwa kati ya kufichua wahalifu wa nchi(wabadhilifu) na kuongoza nchi.Ukweli ni kwamba ...Slaa hana IDEA nchi inaendeshwa vipi na inapata wapi pesa.UKWELI HAKUNA NCHI INAYOWEZA KUTOA ELIMU BURE,AFYA BURE,MSAMAHA WA KODI KWENYE VIFAA VYA UJENZI,KUSHUSHA BEI ZA VIFAA VYA UJENZI KWA 60% KULIPA MADENI YA EAST AFRICA KWA WAZEE VYOTE KWA WAKATI MMOJA NA STILL NCHI IENDELEE KUWA STABLE.Slaa angalia vizuri Ahadi unazotoa,kifupi kwa wasomi sera zako hazitekelezeki na hata mtaalam wa uchumi aliebobea PROF LIPUMBA hawezi Kutoa ahadi kama hizo kwa vile anajua haziwezekaniki.See More
      22 hours ago · LikeUnlike ·

    • Kamachumu Keca Robert unakuja kupiga kura au unapiga blahblah. Nisalimie Muya once I voted for him22 hours ago · LikeUnlike ·

    • Issa Mikidadi at first nilimuona Dr Slaa kama ni mshindani halisi ambae anamtazamo chanya kuhusu uongozi wa nchi.lakini ilipofikia lazima tukubali kwamba kuna tofauti kubwa kati ya kufichua wahalifu wa nchi(wabadhilifu) na kuongoza nchi.Ukweli ni kwamba ...Slaa hana IDEA nchi inaendeshwa vipi na inapata wapi pesa.UKWELI HAKUNA NCHI INAYOWEZA KUTOA ELIMU BURE,AFYA BURE,MSAMAHA WA KODI KWENYE VIFAA VYA UJENZI,KUSHUSHA BEI ZA VIFAA VYA UJENZI KWA 60% KULIPA MADENI YA EAST AFRICA KWA WAZEE VYOTE KWA WAKATI MMOJA NA STILL NCHI IENDELEE KUWA STABLE.Slaa angalia vizuri Ahadi unazotoa,kifupi kwa wasomi sera zako hazitekelezeki na hata mtaalam wa uchumi aliebobea PROF LIPUMBA hawezi Kutoa ahadi kama hizo kwa vile anajua haziwezekaniki.See More
      22 hours ago · LikeUnlike ·

    • Issa Mikidadi at first nilimuona Dr Slaa kama ni mshindani halisi ambae anamtazamo chanya kuhusu uongozi wa nchi.lakini ilipofikia lazima tukubali kwamba kuna tofauti kubwa kati ya kufichua wahalifu wa nchi(wabadhilifu) na kuongoza nchi.Ukweli ni kwamba ...Slaa hana IDEA nchi inaendeshwa vipi na inapata wapi pesa.UKWELI HAKUNA NCHI INAYOWEZA KUTOA ELIMU BURE,AFYA BURE,MSAMAHA WA KODI KWENYE VIFAA VYA UJENZI,KUSHUSHA BEI ZA VIFAA VYA UJENZI KWA 60% KULIPA MADENI YA EAST AFRICA KWA WAZEE VYOTE KWA WAKATI MMOJA NA STILL NCHI IENDELEE KUWA STABLE.Slaa angalia vizuri Ahadi unazotoa,kifupi kwa wasomi sera zako hazitekelezeki na hata mtaalam wa uchumi aliebobea PROF LIPUMBA hawezi Kutoa ahadi kama hizo kwa vile anajua haziwezekaniki.See More
      22 hours ago · LikeUnlike ·

    • Kepha Dickson HILI NDILO JAMBO LINALO WAANGUSHA VIONGOZI WA CCM SIKU ZOTE kuchanganya siasa na mikakati ya maendeleo ya nchi UKIONGELEA SWALA LA MAENDELEO YA NCHI NA WATU WAKE WEKA SIASA PEMBENI KAMA MLIKUWA HAMFAHAM HILI BASI NIMOJA YA VITU VILIVYO CHANGIA KUDIDIMIA KWA NCHI TANZANIA hivi NCHI YA TANZANIA HAINA SILABAS YA MAENDELEO tofauti na hii ya barabara shule na hospitali viwanja vya ndege meli kubwa ?????21 hours ago · LikeUnlike ·

    • Robert Alexander ‎@Isa mikidadi, pole sana maana kinana alitia aibu! Kawa yule ndio kichwa kuliko wote ccm anaongea matope basi sina haja ya kubishana nawe! Mana mawazo yako na kinana sawa sawa, madrasa al sul!!21 hours ago · LikeUnlike ·

    • Martin Nyambala weka Ch.rua Mzee,ila jua wa2 wanaingia na maralia ndan ya hy c.rua, wanatoka nayo, wanaugua na na kufa kwayo.TAFAKARI21 hours ago · LikeUnlike ·

    • Revo Alexandria Jr TATIZO LA MASWA LIPO WAZI NI VIDONDA VYA KURA ZA MAONI ZA CHAMA CHAO. CHADEMA NI CHAMA CHA AMANI NA KINAONGOZWA KIDPLOMASIA ZAIDI. UKIWA NA AKILI NZURI HUPASWI KUJIULIZA.20 hours ago · LikeUnlike ·

    • Zuberi Msisi Umefanya kazi kubwa sana kaka J K tunakupongeza kwa hilo watanzania wenye macho tunaona na bado tunakuamini, tunakuombea mungu akupe nguvu uendeleze kazi uliyoianza. Bado tunakuhitaji sana kwa maendeleo ya nchi yetu Tanzania hasa katika kipindi hiki sio kipindi cha kubahatisha, your development curve is +ve brother, all the best20 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Fadhili Machela ‎@Zoka Paul naomba sana kaka kabla ya ku comment jitahidi sana kuongea vitu vinavyohusiana na mada husika na pia uwe na ufahamu navyo sio kurusha maneno tu. Unazungumzia kuhusu uranium kwa vyandarua je una ushahidi kwa wamarekani wamechimba...? Bush kapewa eneo kubwa Arusha ni kweli? Kama ni kweli basi ndiyo wawekezaji tunaowataka wajenge viwanda watu wapate ajira na kama ulivyosema watanunua malighafi za ndani ndiyo faida kwa wakulima wetu. Kuhusu kudhibiti malaria serikali inatumia mbinu mbalimbali inafanya Indoor Residual Spray kwa awamu ya kwanza mikoa ya Kagera,Mwanza na Mara kisha itafuatia mikoa mingine nchi nzima, ina mpango poa wa kumwaga dawa katika mazalia ya mbu nchi nzima, inatoa dawa ya SP kwa mama wajawazito wote katika wk za awali kama kinga kwao na watoto waliotumboni, inatoa dawa za ALU bure katka zahanati, HC na Hosp zote za serikali na mwisho inatoa vyandarua bure kwa wananchi wote nchi nzima. Zaidi ya hayo ifanye nini ije kufyeka majani na uchafu unaozalisha mbu nyumbani kwako? Ikiwa kusafisha nyumba yako ni jukumu lako unataka serikali ikusafishie. Tuipongeze serikali ya Kikwete kwa juhudi zake tusiiponde. KIKWETETHongera sana tupo nyuma yakoSee More
      20 hours ago · LikeUnlike · 2 peopleLoading... ·

    • Zoka Paul ‎@fadhil.wewe unataka ushahd unataka nin?hzo malighafi hujui zitanunuliwa kwa bei ya kutup?kama wanavyo nunua kahawa gunia elfu80 halafu wanaenda kuuza soko la dunia zaid ya 170000'tsh.wewe u cropoke najua&nauhakika na chokisema.uctetee dhambi utachomwa moto.19 hours ago · LikeUnlike ·

    • Zoka Paul ‎@Fadhili.mbona una weka like mwenyewe?huo unafki.omba msaada unapotaka kujua ukweli'mada inaingiliana sababu vi2 vina link'kwa hyo ukisaidiwa kwa msaada huhuo ukaibiwa 2seme msaada2 bila hasara?ka angalie dar9tmr uone mabadlishano yanavyokuwa.acha uvuvuzela.uc take kuonekana kwa ujnga"19 hours ago · LikeUnlike ·

    • Juma Mabakila Tunakutakia kila ra heri, na sisi wananchi tupo pamoja na wewe katika jitihada za kukuza elimu kwa kujenga shule kwenye kila kata nchi nzima ni mafanikio makubwa sana kwa nchi zetu masikini.pia tunakupa PONGEZI KWA kujenga chuo kikuu cha Do...dama ambacho nikubwa barani Afrika. Maendeleo ya kweli yataletwa na wanachi waliona elimu kuanzia vijijini mpaka mjini. Tunaamini kwamba utashinda kwa zaidi ya asilimia 85 KWANI KWANI UMEWEZA kutimiza ahadi ulizotoa kwa zaidi ya asilimia 90. Pia tunakupa pongezi kwa kutanga nchi yetu Abroad na kutafuta investors ambayo nchi za afrika zinawaitaji kutokomeza Umasikini. mfano Umefanikisha World economy FORUM and Afika Economy FORUM ambayo Wadau wote dunia walikuja Tanzania kudiscuss jinsi ya kutekeleza Mradi wa Kilimo KWANZA. kwahiyo wanachi wote inabidi tutumie nafasi hii kutekeleza kilimo kwanza kwa maendeleo yetu. kwakeli Muheshimiwa Rais Your Man of action. Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Afrika Muenzeshe Rais Wetu amalize kipindi chake cha miaka mitano.See More
      18 hours ago · LikeUnlike ·

    • Igobeko Nyanda Dr Slaa live on ITV. Sikilizeni sera zinavyomwagwa! Kabaaa))))16 hours ago · LikeUnlike ·

    • Given Amon NI MAAAAAFA KUENDELEA KUWA NA CCM MADARAKANI,SI SAWA JAMANI.14 hours ago · LikeUnlike ·

    • Cha Thomas WILBROD SLAA IS THE REINCARNATION OF JULIUS NYERERE, KWA LUGHA YETU NI KWAMBA; WILBROD SLAA NI NYERERE MPYA14 hours ago · LikeUnlike · 1 personLoading... ·

    • Maziku E. Eliasa jakaya fanya mdahalo na wewe..........tuone udhifu wako laivu12 hours ago · LikeUnlike ·

    • Bilishanga Zegeli mheshimiwa presdaa pambana na mazalia ya mbu that will be the solution12 hours ago · LikeUnlike ·

    • Brighton Kajeri Mzee Kikwete kura yangu kwa Kwako na chama.12 hours ago · LikeUnlike ·

    • Caissy Massoud Well done kikwete am on ua side u have my kura9 hours ago · LikeUnlike ·

    • Harryson Vericig VYEMA NA HAKI LAKINI NISAIDIE UNIJIBU.. MRADI WA MALARIA HAUKUBALIKI HAUKUA WA SERIKALI BALI WA JOSEPH MBILINYI(SUGU AKA MR.2) NADHANI UNANIPATA BUT KAUJANJA JANJA KA RUGE NA WENZAKE KAMRADIKAKAFIAK KWAKO... UNASEMAJE JUU YA HILI MAANA HATA TUHUMA ZA RUGE NA TU KUFIKIA KUTISHIANA ZIKO MAHAKAMANI NA UNAIJUA VIZURI ALBUM YA ANTIVIRYS NAIMANabout an hour ago · LikeUnlike · 1 personHarryson Vericig likes this. ·

    • Starman Mtimkavu malaria nayo ni ugonjwa hamjawa makini tuu tatizo kila mtu anaongoza serikali haonekani mkubwa ni nani sasa huyu kasema na huyu kasema halafu huyu naye kasema yake nyie waongo sana mnataka mpigiwe kura ili mrudishe hela zenu mnazotumia kwenye kambeni hampati kura ng`o na mtafilisika mpaka muone kazi kung`ang`ania madaraka tuu47 minutes ago · LikeUnlike ·

    • Kaka Gano Kama mafisadi 100 wanakwapua fedha za umma ndani ya mwezi mmoja kwa nini ishindikane kulipa wastaafu EAC, elimu bure, kushusha gharama za ujenzi na kuondoa kodi zisizo na kichwa wala miguu within 100 days?
      Wenye fikra mgando wanadhani maish...a haya magumu tyliyopewa na ccm ni tunu kutoka mbinguni. Inabidi tujue waht is our priority na tufocus huko tuachana na ahadi zinazojirudia.
      Wamezalisha mbu pale jangwani na vile vibanda wameviondoa na watu wanaambukizwa malaria sugu sasa. halafu uniambie nilalie chandarua? Angamiza chanzo cha mazalia ya mbu na siyo kubembeleza wawekezaji wa vyandarua. OMG

      Kura yangu siri yangu lakini ccm safari hii walie tu.

kuna points humo ambazo naamini hata jeikei wenyewe akizisoma atajiona hajasoma shule
 
Maggid sasa naona either uzee unaingia au nguvu na passion ya chama ni kubwa sana katika akili yako mpaka uwezo wa kufikiri unapungua sasa. Wacha tusubiri uchaguzi labda we will have 'our Maggid back again'.

Huitaji kuwa na akili ya ajabu sana kukumbuka kuwa JK amekataa kuhudhuria midahalo yoyote ile na kibaya zaidi kuwa amewakataza wagombea wake wote wa CCM hasa baada yule wa Ubungo kuchakazwa na Mnyika. Mimi nilifikiri hili ndo lingekuwa ni swali lako, kwa nini JK anakimbia midahalo? Katika siasa za nchi yoyote ile angeonekana ni mtu wa ajabu sana na ingekuwa ni sababu mojawapo kubwa sana ya kumtoa katika urais. Rais unaogopa nini midahalo? Una nini la kuficha? Lakini watanzania kama wewe bdao hili hawalioni they are just carried away na CHAMA. Pole ewe Tanzania, wasomi wako they are letting you down.

Hivi nambie kuna mamntiki gani katika politics kukutanisha vyama vya upinzani bila ya chama tawala? Hivi hata ile midahahlo ya TBC si imepungua ladha? Wote wanapingana na JK na siasa zake za chama chake. Sisi tulimtaka JK awepo mbona anakimbia?

Wadanganyika sijui vipi jamani, mtu anakimbia midahalo halafu bado mnampa vigelegele tuuuu, hata kampeni zake zimejaa miziki tuu.


NB. Copy and paste hii pia katika blog yako kwani nimegundua kuwa huwa unapaste zile za uande wako tu, wanaopingana na wewe huweki.
 
Ndugu Zangu,
Jana tumesikiliza mdahalo, au labda mazungumzo au mahojiano kati ya Dr Slaa ( CHADEMA) na Rosemary Mwakitwange. Mahojiano yaliyoruhusu wengine kuchangia kwa njia ya simu pia.
Tunawapongeza walioshiriki kufanya jitihada zile. Ilitoa fursa kwa sisi wapiga kura kumsikiliza Dr Slaa. Hata hivyo, pungufu kubwa kabisa lililoonekana ni namna waandaaji walivyoandaa mdahalo wa upande mmoja bila kuwashirikisha wagombea wengine wa Urais waliopitishwa na NEC. Maana, ni vema pia tukatofautisha maana ya mdahalo na mahojiano. Kama yale ya jana yalikuwa ni mahojiano tu, hakuna tatizo kwa mgombea mmoja tu kuhojiwa. Lakini kama unaitwa mdahalo, basi, tujadili maana ya mdahalo.

Kama ni mdahalo, basi, ingekuwa ni vema na busara kwa wagombea wengine wa Urais kushiriki. Bila shaka, wagombea wengine nao wana haki za msingi za kupewa nafasi ya kuelezea sera zao na kujibu maswali ya wapiga kura. Hata kama chama tawala, CCM kimeweka wazi kuwa mgombea wao hatashiriki mdahalo, lakini hatujasikia vyama vingine vitoa misimamo kama hiyo.

Wengi wetu tungependa kuona wagombea wengine wa Urais nao wakialikwa, hivyo basi, kupewa fursa ya kuelezea sera za vyama vyao na kuulizwa maswali. Kungetoa fursa ya wagombea hao kushindana kwa hoja pia. Labda kama kuna maelezo ya kuwa wagombea hao walialikwa lakini hawakuitikia mwaliko wa kwenda studioni. Au kuwa gharama za muda wa kurusha hewani mdahalo ziligharamiwa na chama cha mgombea aliyefika kwenye mdahalo/mahojiano. Kama sivyo, basi, waandaaji watakuwa hawakuwatendea haki wagombea na wapiga kura kwa ujumla wao.

Maana, tukianza sasa kujenga tabia ya kubagua wagombea itakuwa ni jambo la hatari sana. Ikumbukwe, tangu Uchaguzi Mkuu wa 1995, tulianza kujenga misingi mizuri ya wagombea kupewa fursa sawa. Kwenye uchaguzi wa mwaka 1995 wagombea wote wa Urais walialikwa kwenye mdahalo uliofanyika kwenye iliyokuwa Kilimanjaro Hotel. Kama inavyoonekana pichani, kulikuwa na Profesa Lipumba, Augustino Mrema, Benjamin Mkapa na Bwana Cheyo. Historia ni mwalimu mzuri. Tujifunze.

Maggid,
Iringa, Jumapili, Oktoba, 24, 2010

Heshima kwako Maggid,

Mkuu jana taifa lilipata bahati ya kumsikiliza mmoja wa wagombea urais Ndugu Dr W Slaa akimwaga sera na kujibu maswali mbali mbali,natumaini wagombea wengine watapewa nafasi ya kufafanua mambo mbvali mbali kama iliyofanywa kwa mgombea wa CHADEMA.

Mkuu mazingira ya sasa ni tofauti kidogo ukilinganisha na ilivyokuwa mwaka 1995 wagombea wote wa nafasi ya urais walikutanishwa pamoja kuelezea sera na mikakati yao ya kulikomboa taifa.Inafahamika wazi ITV na waandaaji wa mdahalo au vyovyote utakavyopenda kusema hawangeweza kukutanishwa pamoja kwakuwa sote tunajua wagombea wa CCM walishakatazwa kushiriki kwenye midahalo.Lawama ambazo unajaribu kuwarushia waandaaji pengine ungemlaumu Makamba na CCM kwa kutengeneza mazingira mabovu ambayo yanazidi kuwatenga wagombea wao na wananchi.Mambo yakienda kombo najua Makambo na wahuni wenzake[watendaji makao makuu] watabebeshwa lawama za kutosha.

Mwisho tuwapongeze waandaaji kwa kutoa fursa kwa wagombea badala ya kukimbilia kulaumu au kutafuta kasoro zisizo na tija kwa taifa.
 
Ndugu Zangu,
Jana tumesikiliza mdahalo, au labda mazungumzo au mahojiano kati ya Dr Slaa ( CHADEMA) na Rosemary Mwakitwange. Mahojiano yaliyoruhusu wengine kuchangia kwa njia ya simu pia.
Tunawapongeza walioshiriki kufanya jitihada zile. Ilitoa fursa kwa sisi wapiga kura kumsikiliza Dr Slaa. Hata hivyo, pungufu kubwa kabisa lililoonekana ni namna waandaaji walivyoandaa mdahalo wa upande mmoja bila kuwashirikisha wagombea wengine wa Urais waliopitishwa na NEC. Maana, ni vema pia tukatofautisha maana ya mdahalo na mahojiano. Kama yale ya jana yalikuwa ni mahojiano tu, hakuna tatizo kwa mgombea mmoja tu kuhojiwa. Lakini kama unaitwa mdahalo, basi, tujadili maana ya mdahalo.

Kama ni mdahalo, basi, ingekuwa ni vema na busara kwa wagombea wengine wa Urais kushiriki. Bila shaka, wagombea wengine nao wana haki za msingi za kupewa nafasi ya kuelezea sera zao na kujibu maswali ya wapiga kura. Hata kama chama tawala, CCM kimeweka wazi kuwa mgombea wao hatashiriki mdahalo, lakini hatujasikia vyama vingine vitoa misimamo kama hiyo.

Wengi wetu tungependa kuona wagombea wengine wa Urais nao wakialikwa, hivyo basi, kupewa fursa ya kuelezea sera za vyama vyao na kuulizwa maswali. Kungetoa fursa ya wagombea hao kushindana kwa hoja pia. Labda kama kuna maelezo ya kuwa wagombea hao walialikwa lakini hawakuitikia mwaliko wa kwenda studioni. Au kuwa gharama za muda wa kurusha hewani mdahalo ziligharamiwa na chama cha mgombea aliyefika kwenye mdahalo/mahojiano. Kama sivyo, basi, waandaaji watakuwa hawakuwatendea haki wagombea na wapiga kura kwa ujumla wao.

Maana, tukianza sasa kujenga tabia ya kubagua wagombea itakuwa ni jambo la hatari sana. Ikumbukwe, tangu Uchaguzi Mkuu wa 1995, tulianza kujenga misingi mizuri ya wagombea kupewa fursa sawa. Kwenye uchaguzi wa mwaka 1995 wagombea wote wa Urais walialikwa kwenye mdahalo uliofanyika kwenye iliyokuwa Kilimanjaro Hotel. Kama inavyoonekana pichani, kulikuwa na Profesa Lipumba, Augustino Mrema, Benjamin Mkapa na Bwana Cheyo. Historia ni mwalimu mzuri. Tujifunze.

Maggid,
Iringa, Jumapili, Oktoba, 24, 2010

Ungeanza na 'premis' inayojisimamia ndipo ufanye 'conclusion' kuwa ni upungufu mkubwa. Sasa unafanya 'conclusion' halafu ndipo uje uulize ni kwa nini wengine hawakuwepo? Wewe ndiye ingebidi utueleze kuwa hao wagombea wengine walikataliwa kwenye huo 'mdahalo' na kumchagua Dr Slaa peke yake. Kwa hiyo, unaona huo ni upungufu mkubwa. Naomba wadau tuwe na data. Tusijadili kitu kwa hisia tu au kudhania. Kama una data hizo, naomba unisahihishe. Kwa taarifa nilizo nazo wagombea wamekuwa 'approached' na wale walionesha kuitikia wito ndio walioombwa kuhudhuria mdahalo au maohojiano. Kwa upande mwingine, nimeambiwa wa CCM walikataa na Prof Lipumba atahojiwa 29/10/2010 kama ratiba haitabadilika. Sasa wewe una information gani kuhusu progamu yenyewe?
 
As a seroius blooger kwa nini usitusaide kutupa majibu ya maswali unayotuuliza.

  • Je Huyu Lipumba ,kikwete na wengine hawakualikwa?
  • Je sababu za msingi za chama tawala kukataa kushiriki midahalo
  • nk
Usijishushie hadhi kwa kuhoji maswali mepesi ambayo sisi "non-bloggers" tunajiuliza . wewe Maggid unatakiwa kwenda hatua moja mbele kaka . Wewe uliktakiwa kuwa na majibu ya haya maswali na kutoa changamoto kukosoa au kusifia.
 
Tangu lini umekuwa na nia njema kwa Rais Mtarajiwa Dr Slaa na Chadema? Wajukuu wetu watafahamu kwamba Kikwete aliingia mitini baada ya makamba na chama chake kumzuia kushiriki kwa kujua Dr Slaa angemgaragaza vibaya sana. Shuhudia Kikwete na thithiem watavyochomoa pale watapoambiwa mdahalo wa October 29 uwashirikishe pia akina Lipumba na Rais Mtarajiwa Dr Slaa. Kwa kifupi kama hujui jana tuliona nini basi una matatizo makubwa ya kuweza kuangalia kipindi kwa masaa mawili na kushindwa kuhitimisha kipindi kile ulichoangalia kwa masaa mawili kilikuwa ni kitu gani.

Makamba alitumia ujanja wa kujidai amezuia ili kumuepusha boss wake na aibu!!

Ndugu yetu Maggid wala hakuona hilo ni tatizo wala hakuchokoza mada kama anavyojiadai leo, hakuuliza iweje CCM izuie wagombea wake kuingia kwenye midahalo. Lakini kwa kuwa Dr. Slaa kafanya mdahalo yeye anataka kujua maana ya mdahalo eti hilo ndo kaona ni agenda ya kuchokoza ... Thats Crappish Bull shit !!

Maggid pumzika tu...
 
Njilembera na Wengine,

Nimechokoza mjadala huu kwa nia njema kabisa. Tuwekane sawa, kwamba kuna tofauti ya embe na chungwa, kwa mwonekano na ladha pia. Kilichokuwa kikitangazwa kabla ya jana ni " Mdahalo". Tulichokiona si mdahalo, na sisi ni watu wazima. Wasije wajukuu zetu wakaja kutushangaa watakaposoma historia. Watahoji upeo wetu wa kufikiri . Kinachoonekana hapa ni ukweli, kuwa wa jana haukuwa mdahalo. Swali linabaki, jana tuliona nini? Mazungumzo, mahojiano au PR? Hivi set up ya mahojiano inatakiwa iweje ili yaitwe mahojiano? Na kwanini aliyeendesha shughuli ile alitambulishwa kama ' Mwenyekiti wa Mdahalo?". Hebu 'Great Thinkers ' tuumize vichwa tuweke hili sawa.

Kwa hiyo, unachotaka tujadili ni whether yesterday's event was debate, session or discussion?
 
Kuna mdahalo hapa kwenye hii page ya kikwete kwenye facebook. anaogopa kujibu wala kujadili. na watetezi wake wanakosa hoja.
Watanzania wanamzabua hukohuko kwenye page yake bila uoga.
maggid, MalariaSugu et all angalieni hii kisha mkamshauri bosi wenu awajibu hawa watanzania waliomchoka

kuna points humo ambazo naamini hata jeikei wenyewe akizisoma atajiona hajasoma shule

Hiyo fb ya kikwete inawezekana password anayo Ridhwani. na 90 % naamin hata JK hajui latest post iliyowekwa kwenye account yake. Na sidhani kama hao kina kina January na Ridhwan wanamfikishia constructive criticism zinazo wakilishwa na wadau.
 
By the way, Oct 29th same time at 19hrs, lipumba atakuwa itv just like Mh Dr Slaa, so who ever want to hear his music pls dont forget to turn on yr screen on itv. God bless poor TZ.
 
hapana mwenye ufinyu wa mawazo ni ww suali kwa nn wagombea wengine wa urais hawajaalikwa kama prof na vyama vyengine?

ujinga ni ww na upumbavu maana ww ni mpumbavu alau mjinga hutokana na kutokujua ila ww ni mpumbavu mwenye mapenzi yaliokupofua huoni wala husikii na hata uwezo wako wa kupambanua baina ya usiku na mchana umepoteza


kwa ufupi watu kama nyny ni wa kupewa pole
once again, the shallowest who alwasy call others with different opinion wapumbavu anaonyesha mapungufu zaidi

Lazima uelewe context ya ule mdahalo, pia ni vyema ujue aliyeitisha na pia maudhui yake... huna hizo details umekremu tu kwamba ni lazma wawepo na wengine na na yule wako asiyeuzika apate promo

You are very disappointing indeed
 
Back
Top Bottom