Mdahalo ITV Bila Profesa Lipumba Na Wengine, Kwanini?

Mdahalo ITV Bila Profesa Lipumba Na Wengine, Kwanini?

Kwa mtu ambaye amekosa kuliona lile tukio la jana amepitwa na kitu muhimu. Jamani ukweli ulio wazi Slaa ndiye rais wetu hata kama wataiba kura. Maggid na wewe andaa mdahalo wa Jk na Makamba. Nina imani CCM hawakupata usingizi ndio maana wameanza kuwatuma akina tambwe hiza wao tamka maggid
CRAP!
Kama kawaida yako.
Hoja zilizoongelewa siyo za msingi mpaka lipumba awepo?
Unatuuliza sisi hapa jukwaani kwani ndio tulioandaa huo mdahalo?
MAGGID umefilisika unasahau hata namna ya kusaka chanzo cha taarifa. watafute walioandaa uwaulize huo upupu wako kisha uje hapa jukwaani kueleza walivyokujibu.
Mbona husemi kwamba kwa nini kila siku kwenye channel ten kunakuwa na nusu saa ya kumnadi KIKWETE baada ya taarifa ya habari? hiyo kwako sio ishu bali ishu ni Dr. Slaa kuandaliwa mdahalo?
Wewe ni mvivu wa kufikiri na nilishasema kwamba HUNA UTAIFA na ni MTU HATARI SANA KWA USALAMA WA NCHI. naongea kwa nia njema na si kuwa nakuchukia bali nachukia the way ulivyo MTUMWA wa watawala wasio na uwezo wa kuongoza nchi.

Lakini muda haujaisha, andaa mdahalo kwa wagombea wengine tusikilize wanavyonadi sera zao. chukua hatua unapoona mambo hayaendi sawa siyo unabaki kulalama kama chekechea

 
Maggid nashukuru kama ulikaa kwenye ITV kusikiliza, Mafisadi wengi wamekasilika. Ninamashaka nawe pia kama ni Fisadi mdogo. Subiri tuone tarehe 31/10/2010.
 
huyu jamaa karudi tena??? Lol!! Jana usiku hawakulala hawa wamemwambia jamaa usiku usiku aanze kusambaza sumu ila sisi tushakujua maggid kaandike huko kwenye kiblog chako au kwenye fb ya jk,
 
Non sense!! Maggid usifanye maisha yako kuwa magumu. Take note, jukwaa hili si pahala pa watu wa kushikiwa akili. Find out kwanini hao unaowataka hawakushiriki kisha urudi hapa jukwaani ukiwa umejiandaa na hoja za msingi. Mambo ya kukariri inakuwa shida tupu ktk real life. Unataka kujadili na nani kuhusu maana ya mdahalo? Kajielimishe kwanza wewe kisha utajua kuwa mahojiano ni sehemu ya mdahalo. Nikukumbushe pia kuwa thread hii inazungumzia uchaguzi 2010.
 
nasikia hapa JF sasa hizi ukiandika neno CRAP unaweza kula ban, ila kitu kama mtu kamwaga CRAP sijui itabidi tutumie neno gani tena manake ukiandika neno CRAP unaweza ukawa na hali mbaya
 
Kaka Majid,lakini si nimesikia kwamba wagombea wengine wataitwa pia ili KUMWAGA sera zao,manake ule sio MDAHALO ki ukweli,lakin fursa nzuri kwa wagombea kusikika watatufanyia nini, Jana mwanawane Dr. WAUKWELI katema vitu mpaka nikawa naona muda hautoshi,acha tumsikie Dr. KINANA nae atawaambia nini wananchi ikifika zamu yake.

Inamaana ikifika zamu ya CCM ataenda Dr. Kinana? wapi Kikwete?
Sasa si bora wangemsimamisha kinana?
 
Njilembera na Wengine,

Nimechokoza mjadala huu kwa nia njema kabisa. Tuwekane sawa, kwamba kuna tofauti ya embe na chungwa, kwa mwonekano na ladha pia. Kilichokuwa kikitangazwa kabla ya jana ni " Mdahalo". Tulichokiona si mdahalo, na sisi ni watu wazima. Wasije wajukuu zetu wakaja kutushangaa watakaposoma historia. Watahoji upeo wetu wa kufikiri . Kinachoonekana hapa ni ukweli, kuwa wa jana haukuwa mdahalo. Swali linabaki, jana tuliona nini? Mazungumzo, mahojiano au PR? Hivi set up ya mahojiano inatakiwa iweje ili yaitwe mahojiano? Na kwanini aliyeendesha shughuli ile alitambulishwa kama ' Mwenyekiti wa Mdahalo?". Hebu 'Great Thinkers ' tuumize vichwa tuweke hili sawa.

Tangu lini umekuwa na nia njema kwa Rais Mtarajiwa Dr Slaa na Chadema? Wajukuu wetu watafahamu kwamba Kikwete aliingia mitini baada ya makamba na chama chake kumzuia kushiriki kwa kujua Dr Slaa angemgaragaza vibaya sana. Shuhudia Kikwete na thithiem watavyochomoa pale watapoambiwa mdahalo wa October 29 uwashirikishe pia akina Lipumba na Rais Mtarajiwa Dr Slaa. Kwa kifupi kama hujui jana tuliona nini basi una matatizo makubwa ya kuweza kuangalia kipindi kwa masaa mawili na kushindwa kuhitimisha kipindi kile ulichoangalia kwa masaa mawili kilikuwa ni kitu gani.
 
Ndugu Zangu,
Jana tumesikiliza mdahalo, au labda mazungumzo au mahojiano kati ya Dr Slaa ( CHADEMA) na Rosemary Mwakitwange. Mahojiano yaliyoruhusu wengine kuchangia kwa njia ya simu pia.
Tunawapongeza walioshiriki kufanya jitihada zile. Ilitoa fursa kwa sisi wapiga kura kumsikiliza Dr Slaa. Hata hivyo, pungufu kubwa kabisa lililoonekana ni namna waandaaji walivyoandaa mdahalo wa upande mmoja bila kuwashirikisha wagombea wengine wa Urais waliopitishwa na NEC. Maana, ni vema pia tukatofautisha maana ya mdahalo na mahojiano. Kama yale ya jana yalikuwa ni mahojiano tu, hakuna tatizo kwa mgombea mmoja tu kuhojiwa. Lakini kama unaitwa mdahalo, basi, tujadili maana ya mdahalo.

Kama ni mdahalo, basi, ingekuwa ni vema na busara kwa wagombea wengine wa Urais kushiriki. Bila shaka, wagombea wengine nao wana haki za msingi za kupewa nafasi ya kuelezea sera zao na kujibu maswali ya wapiga kura. Hata kama chama tawala, CCM kimeweka wazi kuwa mgombea wao hatashiriki mdahalo, lakini hatujasikia vyama vingine vitoa misimamo kama hiyo.

Wengi wetu tungependa kuona wagombea wengine wa Urais nao wakialikwa, hivyo basi, kupewa fursa ya kuelezea sera za vyama vyao na kuulizwa maswali. Kungetoa fursa ya wagombea hao kushindana kwa hoja pia. Labda kama kuna maelezo ya kuwa wagombea hao walialikwa lakini hawakuitikia mwaliko wa kwenda studioni. Au kuwa gharama za muda wa kurusha hewani mdahalo ziligharamiwa na chama cha mgombea aliyefika kwenye mdahalo/mahojiano. Kama sivyo, basi, waandaaji watakuwa hawakuwatendea haki wagombea na wapiga kura kwa ujumla wao.

Maana, tukianza sasa kujenga tabia ya kubagua wagombea itakuwa ni jambo la hatari sana. Ikumbukwe, tangu Uchaguzi Mkuu wa 1995, tulianza kujenga misingi mizuri ya wagombea kupewa fursa sawa. Kwenye uchaguzi wa mwaka 1995 wagombea wote wa Urais walialikwa kwenye mdahalo uliofanyika kwenye iliyokuwa Kilimanjaro Hotel. Kama inavyoonekana pichani, kulikuwa na Profesa Lipumba, Augustino Mrema, Benjamin Mkapa na Bwana Cheyo. Historia ni mwalimu mzuri. Tujifunze.

Maggid,
Iringa, Jumapili, Oktoba, 24, 2010

Ndugu Maggid,siamini kama unaweza kuanzisha mjadala wenye lengo la upotoshaji kama huu....MAZINGIRA yote ya uchaguzi wa mwaka huu unayaelewa,CCM hawataki midahalo ya mojakwamoja jukwaani na wagombea wa UPINZANI, hilo ni MOJA...la pili, kina MWAKITWANGE wameamua kuandaa midahalo kwa mtindo wa mgombea MMOJAMMOJA, na vyama vyote vimekaribishwa,CCM tu hawajajibu kama watashiriki....LIPUMBA ni wiki ijayo,huna hizo taarifa??? Kuna thread ambayo kuna namba ya simu ya dada Mwakitwange, labda umpigie atakupa sababu zaidi...
 
Ndugu Zangu,
Jana tumesikiliza mdahalo, au labda mazungumzo au mahojiano kati ya Dr Slaa ( CHADEMA) na Rosemary Mwakitwange. Mahojiano yaliyoruhusu wengine kuchangia kwa njia ya simu pia.
Tunawapongeza walioshiriki kufanya jitihada zile. Ilitoa fursa kwa sisi wapiga kura kumsikiliza Dr Slaa. Hata hivyo, pungufu kubwa kabisa lililoonekana ni namna waandaaji walivyoandaa mdahalo wa upande mmoja bila kuwashirikisha wagombea wengine wa Urais waliopitishwa na NEC. Maana, ni vema pia tukatofautisha maana ya mdahalo na mahojiano. Kama yale ya jana yalikuwa ni mahojiano tu, hakuna tatizo kwa mgombea mmoja tu kuhojiwa. Lakini kama unaitwa mdahalo, basi, tujadili maana ya mdahalo.

Kama ni mdahalo, basi, ingekuwa ni vema na busara kwa wagombea wengine wa Urais kushiriki. Bila shaka, wagombea wengine nao wana haki za msingi za kupewa nafasi ya kuelezea sera zao na kujibu maswali ya wapiga kura. Hata kama chama tawala, CCM kimeweka wazi kuwa mgombea wao hatashiriki mdahalo, lakini hatujasikia vyama vingine vitoa misimamo kama hiyo.

Wengi wetu tungependa kuona wagombea wengine wa Urais nao wakialikwa, hivyo basi, kupewa fursa ya kuelezea sera za vyama vyao na kuulizwa maswali. Kungetoa fursa ya wagombea hao kushindana kwa hoja pia. Labda kama kuna maelezo ya kuwa wagombea hao walialikwa lakini hawakuitikia mwaliko wa kwenda studioni. Au kuwa gharama za muda wa kurusha hewani mdahalo ziligharamiwa na chama cha mgombea aliyefika kwenye mdahalo/mahojiano. Kama sivyo, basi, waandaaji watakuwa hawakuwatendea haki wagombea na wapiga kura kwa ujumla wao.

Maana, tukianza sasa kujenga tabia ya kubagua wagombea itakuwa ni jambo la hatari sana. Ikumbukwe, tangu Uchaguzi Mkuu wa 1995, tulianza kujenga misingi mizuri ya wagombea kupewa fursa sawa. Kwenye uchaguzi wa mwaka 1995 wagombea wote wa Urais walialikwa kwenye mdahalo uliofanyika kwenye iliyokuwa Kilimanjaro Hotel. Kama inavyoonekana pichani, kulikuwa na Profesa Lipumba, Augustino Mrema, Benjamin Mkapa na Bwana Cheyo. Historia ni mwalimu mzuri. Tujifunze.

Maggid,
Iringa, Jumapili, Oktoba, 24, 2010
Bw. Majjid,

Ngoja nikuambie hivi; hii kasumba uliyonayo inanifanya nijaribu kukufikiria ni mtu wa aina gani ina maana pamoja na kuwa mtu wa vyombo vya habari huna taarifa kuwa Prof. Lipumba ana siku yake pia? au huna usmati wa kufuatilia hilo? au ndo wale ndugu zetu walio na chokochoko wakati woote bila kufanya uchunguzi na kinachoendelea? ningependa pia washirikishwe woote kwa pamoja ikiwemo Prof. Lipumba na Kikwete (na sio Dr Kikwete) ila inaelekea kuna conflict of interests hapa! vyama vilivyobaki nathani haviko tayari kwa hilo...na pia kuna uwezekano wa mwenzetu Prof. Lipumba kuwa anamsaidia Kikwete kisirisiri si unajua tena itikadi zetu....
 
Ndugu Zangu,
Jana tumesikiliza mdahalo, au labda mazungumzo au mahojiano kati ya Dr Slaa ( CHADEMA) na Rosemary Mwakitwange. Mahojiano yaliyoruhusu wengine kuchangia kwa njia ya simu pia.
Tunawapongeza walioshiriki kufanya jitihada zile. Ilitoa fursa kwa sisi wapiga kura kumsikiliza Dr Slaa. Hata hivyo, pungufu kubwa kabisa lililoonekana ni namna waandaaji walivyoandaa mdahalo wa upande mmoja bila kuwashirikisha wagombea wengine wa Urais waliopitishwa na NEC. Maana, ni vema pia tukatofautisha maana ya mdahalo na mahojiano. Kama yale ya jana yalikuwa ni mahojiano tu, hakuna tatizo kwa mgombea mmoja tu kuhojiwa. Lakini kama unaitwa mdahalo, basi, tujadili maana ya mdahalo.

Kama ni mdahalo, basi, ingekuwa ni vema na busara kwa wagombea wengine wa Urais kushiriki. Bila shaka, wagombea wengine nao wana haki za msingi za kupewa nafasi ya kuelezea sera zao na kujibu maswali ya wapiga kura. Hata kama chama tawala, CCM kimeweka wazi kuwa mgombea wao hatashiriki mdahalo, lakini hatujasikia vyama vingine vitoa misimamo kama hiyo.

Wengi wetu tungependa kuona wagombea wengine wa Urais nao wakialikwa, hivyo basi, kupewa fursa ya kuelezea sera za vyama vyao na kuulizwa maswali. Kungetoa fursa ya wagombea hao kushindana kwa hoja pia. Labda kama kuna maelezo ya kuwa wagombea hao walialikwa lakini hawakuitikia mwaliko wa kwenda studioni. Au kuwa gharama za muda wa kurusha hewani mdahalo ziligharamiwa na chama cha mgombea aliyefika kwenye mdahalo/mahojiano. Kama sivyo, basi, waandaaji watakuwa hawakuwatendea haki wagombea na wapiga kura kwa ujumla wao.

Maana, tukianza sasa kujenga tabia ya kubagua wagombea itakuwa ni jambo la hatari sana. Ikumbukwe, tangu Uchaguzi Mkuu wa 1995, tulianza kujenga misingi mizuri ya wagombea kupewa fursa sawa. Kwenye uchaguzi wa mwaka 1995 wagombea wote wa Urais walialikwa kwenye mdahalo uliofanyika kwenye iliyokuwa Kilimanjaro Hotel. Kama inavyoonekana pichani, kulikuwa na Profesa Lipumba, Augustino Mrema, Benjamin Mkapa na Bwana Cheyo. Historia ni mwalimu mzuri. Tujifunze.

Maggid,
Iringa, Jumapili, Oktoba, 24, 2010

Ndugu Maggid nakubaliana na maoni yako lakini nadhani swali lingekuwa "Mdahalo bila Jakaya Kiwete kwanini? Kwa ninavyojua Profesa Lipumba atapata nafasi pia ya kufanya mahojiano kama yale ya Dr. Slaa kama sikosei siku ya Tarehe 29/10/2010. Kwa hiyo bado wananchi watapata fursa ya kumsikia. Mimi naona kama kimkakati Profesa Lipumba atakuwa na bahati zaidi kwani atafanya mahojiano siku mbili tu kabla ya wananchi upiga kura.

Nina uhakika kuwa unafahamu msimamo wa CCM kupitia kwa katibu wao Mkuu Mr. Makamba kuhusu midahalo. Wao walishasema kuwa wana utaratibu wao wa kuomba kura kwa wananchi na hauhusishi midahalo/mahojiano ya moja kwa moja na wananchi kama ilivyokuwa jana. Lakini pia Makamba alisema kuwa midahalo haitamnufaisha sana mgombea wa CCM kwa sababu anajulikana tayari badala yake inawanufaisha zaidi wagombea wa upinzani wasiojulikana kama yule wa kwao.

Kwa mtazamo wangu huu msimamo wa CCM umewanyima haki ya kimsingi wananchi ya kumsikia mgombea wa CCM akijibu maswali na hoja mbalimbali za wagombea wenzake na wananchi kwa ujumla. Msimamo huu umejengeka katika mtazamo wa kujihami (defensive) ambao umepitwa na wakati kwani zama za wananchi kusikiliza tu wagombea bila kupata fursa za kuuliza maswali zimepitwa na wakati.
 
nasikia hapa JF sasa hizi ukiandika neno CRAP unaweza kula ban, ila kitu kama mtu kamwaga CRAP sijui itabidi tutumie neno gani tena manake ukiandika neno CRAP unaweza ukawa na hali mbaya

CRAP = Pumba, upuuzi, upupu, porojo zisizo na mantiki na mambo yanayofanana na hayo.
 
Maggid!!

Najua na ninaamini hizi habari za huu mdahalo ulishaziona hapa JF siku nne kabla.

Set up yake ilijulikana Tangu Mwanzo, Kwanini hukukosoa Set up yake kabla ya Mdahalo wenyewe.

Umekosa La kukukosoa Katika yale aliyoyaongea Slaa ukaamua Kukosoa Set up ya ule mdahalo.

But nashukuru Nimejua wewe ni m2 wa aina Gani. Hongera sana, nimeona kule kwenye Kablogu kako kuwa jana Kikwete alikupungia mkono Pale Mikumi. I really dont think wheather this is such an important information.
 
mengi in nature mbaguzi na hakuna sumu mbaya kwa taifa kuliko ubaguzi
watu wengine bwana! wa kwanza kuita wenzao wapumbavu halafu wako tayari kwenda off topic kwa mambo yasiyohusu

Mada inahusiana na mdahalo wa mtu mmoja, wewe unakuja na mengi... really sad and poor analysis, ndio maana tupo hapa tulipo

@Maggid... nini maana ya mdahalo kwa kiswahili sanifu??
 
Maggid!!

Najua na ninaamini hizi habari za huu mdahalo ulishaziona hapa JF siku nne kabla.

Set up yake ilijulikana Tangu Mwanzo, Kwanini hukukosoa Set up yake kabla ya Mdahalo wenyewe.

Umekosa La kukukosoa Katika yale aliyoyaongea Slaa ukaamua Kukosoa Set up ya ule mdahalo.

But nashukuru Nimejua wewe ni m2 wa aina Gani. Hongera sana, nimeona kule kwenye Kablogu kako kuwa jana Kikwete alikupungia mkono Pale Mikumi. I really dont think wheather this is such an important information.
Mkuu what happened yesterday ni mdahalo period, soma definition kwenye kamusi

Ukitaka dhana ya debate, basi huwa ni for and against hoja na si maswali na majibu kutoka watu wenye sera tofauti
 
Jamani tusimlaumu wala kumtukana Maggid, yuko Sahihi anaposema kuwa ule SIYO MDAHALO, na kwa kusema vile hamaanishi kwamba Slaa hakuongea mambo ya msingi, mdahalo ni baina ya pande mbili au zaidi ambazo zinapambana kwa hoja, sasa ukiangalia setup ile, ni dhahiri kwamba yale ni mahojiano.

Tusivikwe na upofu wa Mapenzi kwa Slaa hata tukasahau ukweli wa mambo na matumizi ya kweli ya maneno, kama kitu ni tunakiita mdahalo, basi kiwe mdahalo kweli, kama ni Mahojiano basi tuyaite mahojiano, otherwise tutaonekana hatukijui Kiswahili chetu vizuri halafu tuendelee kutamba kuwa ni lugha ya taifa.

Maggid ana hoja pale. tusimchukie kwa sababu ya kasumba tu ambayo tumeishaijenga hapa JF.
Watu wanaweza kudhani kwamba hili si jambo la msingi. lakini Matumizi ya maneno sahihi ni muhimu sana.
 
Majid hivi unatazo gani, na slaa amekufanya nini?, maanake labla unabifu naye ndo maana kila wakati we nimkosoaji , mkosoe mkwere unone habari yake
 
maggid,

nadhani nafasi zilikuwa wazi kwa wagombea wote ila hakuna alothubutu kwenda kupambana na shujaa wetu DK SLAA maana walielewa fika kwamba ni mtu wa facts na anjua anachokifanya sasa nashindwa kukuelewa wahts ur real point,go rest and come back with something else
 
Na mahojiano maanake nini?
thansk Maggid mdogo... i would appreciate an answere from Maggid but at the same time kwa maana fupi mahojiano ni maongezi ya hoja yanayojumuisha mhoji na mhojiwa with focus on specific hojas
 
Back
Top Bottom