Mdada unaogaje?!

Mdada unaogaje?!

Safi mkuu kumbe hili jambo wengi wanalijua kwa undani hivi🤔
Ukiwa umeoga hujaweka chochote kile mwilini nanyonya mwili wako wote Tena nakuwa nameza na Yale mate Mana hayana kemikali yoyote labda kajasho kadogo Nako sio shida Mana ni ka asili , Sasa unalamba paja ama Tako mara unakutana na malosheni sijui ma perfume akina kuluthum ya nini
 
Ukiwa umeoga hujaweka chochote kile mwilini nanyonya mwili wako wote Tena nakuwa nameza na Yale mate Mana hayana kemikali yoyote labda kajasho kadogo Nako sio shida Mana ni ka asili , Sasa unalamba paja ama Tako mara unakutana na malosheni sijui ma perfume akina kuluthum ya nini
Mimi mwanaume mkuu ila kwao umenena ukweli asee
 
Mwanamke unakuwaje na kiharufu
Osha hizo nywele zisinuke,usikae na nywele miezii hadi zianze kutoa harufu
Safisha uso huo usiwe kama umemwagiwa pumba, ukiweza tafuta face wash uso uwe na nuru

Shingo hiyo isugue vizuri isiwe nyeusi kama ya mbuzi
Shuka kwenye manyonyo hayo sugua chini ya ziwa kuna tabia ya kutengeneza weusi, sugua vizuri katikati ya ziwa hapo pasiwe peusi

Sugua mgongo huo,shuka hadi mstari wa ikweta huo jasho la huko linatoa harufu si mchezo,sugua na unyoe hivyo vidaka ushuzi

Sugua wowowo hilo fanyia scrub hivyo vipele vinaisha, hakikisha linakuwa soft jamani sio gumu kama tairi 🤣
Ukimaliza lipake body oil lilainikeee

Sugua kwapa,nyoa hizo nywele za kwapa ndo maana kiharufu hakiishi,tumia limao kutoa harufu ya kwapa kama deodorant ya afu tatu imekushinda

Huko kwa bibi nyoa, safisha mashavu ya bibi nje na ndani, ukitoka period fanya steaming kutoa hiko kiharufu cha period.
Ukiweza kufanya waxing fresh!ukiweza kunyoa kwa shaving cream sawa,mradi tu usiwe na manywele huko

Sugua ulimi huo usinuke mdomo ni kero sana,meno yawe safi tumia mouth wash msichana unanukaje mdomo

Kucha zako hakikisha ni safi kama unafuga hakikisha ni safi kama ni fupi hewalaaaa, kama rangi paka ijulikane

Acha kutumia mkorogo
Acha kubadilisha wanaume nayo ni uchafu
Kunywa sana mtindi
Kula matunda
Acha kunywa energy drinks sio nzuri kiafya
Ukiweza nunua sunscreen jua sio zuri kwa ngozi
Hakikisha unanukia vizuri
Hakikisha una chupi nzuri

Mengine ongezeeeni...I come in peace ✌️View attachment 3287037
Sugua na unyoe hivo vidaka ushuzi; Kuna Dem alitudanganya wanawake hawana mavuzi mkundu......ni.

Nlimwangalia mara mbili mbili nkasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, haaaaaaaa
 
Sugua na unyoe hivo vidaka ushuzi; Kuna Dem alitudanganya wanawake hawana mavuzi mkundu......ni.

Nlimwangalia mara mbili mbili nkasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, haaaaaaaa
Zipo na tunazo
 
Mwachiluwi

Asante Bro, nimeona PM yako ila nashindwa kukujibu nama sipati option ya kureply, afu nilikuwa na namba yako ila nachek sasa hv naona sina, em naomba unitumie namba ako PM.
 
Back
Top Bottom