Mdada, ukipata mpenzi Mgande

Mdada, ukipata mpenzi Mgande

hapa ndo tutakapogandwa kama ruba hata ufanye vituko vipi mtu akuachi ng'o
 
Duh poleni mnaoachwa mi huwa nabembelezwa na kupigiwa magoti, kote ninakopita ila bado huwa nawapa vibuti, sipendi usumbufu kabisa
 
Bro namtaka boss wa PSG na shemeji kiranga kasema swahiba ake ko nishindwe mimi tu

Sasa ndio nataka tukionana nimshawishi aje anunue na makolo fc kina Mbappe waje wacheze msimbazi
Make kwanza ncheke mie Niko paleeee
 
Duh poleni mnaoachwa mi huwa nabembelezwa na kupigiwa magoti, kote ninakopita ila bado huwa nawapa vibuti, sipendi usumbufu kabisa
Dem ukimwambia unamwacha atavimba kichwa dawa ni kimya kimya tu😂
 
Udugu nati hazikazi, unajambaje sasa?!!

Mimi shem kashanihakikishia yule boss swahiba wake na mimi swagger zangu hachomoki lazima nimpate tu

Aje awekeze Makolo fc na kina Mbappe wote waje kucheza msimbazi eboooh!!!
nyokoooo zakoo wee
 
Bas sitaki teena, kwanza nna mume miye namuachia nani huku!!!?

Aende tu cocastic
Tulikutuma uanzishe mjadala wakuleta hao wa mtu uko na mme badala ya kumpa mbususu mda huu uko unachati🤣🤣hii ichi inamahusiano ya ajabu kwer
 
Back
Top Bottom