Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,577
NimefikaUmefika laaziz![]()
NimefikaUmefika laaziz![]()
atake asitakee atarogwaa tyuuh, kwa sauti ya Ndugai.



Umeshakua manyakuuu nawee,?? Sitaki mambo ya nakaaya na Nancy kumgombania Luca![]()





Nimefika




Mmmh tusikitike kwanzaBaby udugu kapata bwana anaitwa Kiranga hivyo tuna safari ya kwenda USA![]()
Weuweeeeee hapooo sasa, nasemajeee huyu ni wangu pekee angu.Kwako sina zipu, nina kufuli.
Halafu funguo unazo mwenyewe.![]()






Udugu tutakosa magari we haya![]()



sasa tukimrogaa tutapewa na Helicopter kila mtu yakee.Akhu ni furaha za ndinga emoji ikajichanganya
Mimi si nishakwambia namtaka boss wa PSG aje aiokoe team yenu ya makolo fc isishuke daraja![]()




uduguu nimechekaa nimejambaa "mbuuuu"Hahah unaona kwanza wanataka kukuletea uswahili wa ulozi wakati hizo zama ushatoka kitambo.Fitna kumbe hatujazimaliza?

Dah,Hahah unaona kwanza wanataka kukuletea uswahili wa ulozi wakati hizo zama ushatoka kitambo.
Inabidi apambane na hawa waswahili wa huku.
sasa tukimrogaa tutapewa na Helicopter kila mtu yakee.







uduguu nimechekaa nimejambaa "mbuuuu"









Mmmh tusikitike kwanza



tusikitike nini sasa?? Wakati udugu anaolewa mji upumue na sisi ndio wasimamizi wao wa harusi🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dah umenifanya nicheke kwa sauti wachumba wenyew wanabaguliwa 🙄Aah mwanangu mwenyewe wa magurudumu
Sema nin, me skuharibii bana, ngoja nikuwekee mazingira sawa.
Oya cocastic mwamba mwenyewe huyu hapa, achana na kiranga.
Penda vya nyumbani![]()
Mipira ten ya nini hiyo🤣Udugu nati hazikazi, unajambaje sasa?!!
Mimi shem kashanihakikishia yule boss swahiba wake na mimi swagger zangu hachomoki lazima nimpate tu
Aje awekeze Makolo fc na kina Mbappe wote waje kucheza msimbazi eboooh!!!![]()
Hahaha njoo nikutengeneze utumbo huo maana utaacha kamwe🤣Ndoo ntakua naenda hapo kwa Rulengee![]()
Ushaanza kulogeka 🤣Fitna tumezimaliza, asante dada mkubwa.
Sasa naomba nisaidie nimesikia wadogo zako wananifanyia ulozi.
Mimi sipendi mambo hayo, wajiamini tu, tunajenga udugu piga ua galagaza.
Ulozi sipendi.
Mipira ten ya nini hiyo![]()









Mimi kitakachoniloga nakijua mwenyewe.Ushaanza kulogeka![]()