Lady doctor mimi hapana sitaki kwa sasa ninaye
hata jina nashindwa kulitaja kwa kuwa tupo wengi kama chuo.
Kama vipi mwambie akungojee.
There are currently 6 users browsing this thread. (5 members and 1 guests)
Twende zetu home mpenzi Lady doctor.
Sifazangu ni:-
1-Makengeza
2-Pua ka ngumi
3-Nywele ka mkutano wa nzi
4-Maskio ka bakuli
5-Meno ka reki (gaucho)
6-Mdomo unaharufu ka tundu la choo
7-Sura ka nimenusa harufu mbaya
8-Kikwapa ka fagio la choo
9-Mweusi ka masizi
10-Sija ta..riwa (nina mkono wa sweta)
Mamndenyi.Lady doctor mimi hapana sitaki kwa sasa ninaye
hata jina nashindwa kulitaja kwa kuwa tupo wengi kama chuo.
Kama vipi mwambie akungojee.