luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,797
KwendraaaNina Range Rover ya Rohoni na kitandani...!!
Kama vipi nitakuganda wewe tafadhali
❤️❤️❤️
Halafu mi mtu mzima mwenzio.
#YNWA
KwendraaaNina Range Rover ya Rohoni na kitandani...!!
Kama vipi nitakuganda wewe tafadhali
❤️❤️❤️
Halafu mi mtu mzima mwenzio.
#YNWA
kua na mwanamke haimaanishi uamchezea unaweza ukawa nae lakini usiwe na lengo la kuishi nae kwa muda huo"Nilikua sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa"
Kwa kauli hiyo ina maana huyo mwanamke ulikua unamchezea tuu na kumpotezea muda wake? ulimfanya kua yeye ni wamajaribio? kwanini hukumwambia toka mwanzo? anakuganda coz umempotezea muda wake,
Pambana na hali yako jomba ila usirudie kabisa kucheza na hisia za mtu.
Acha tu. Kapasua vitu vyangu ndan. TV inchi 32. Meza ya kioo. Katoa vitu vyangu vyote nje anataka abebe aondoke navyo.Ana-force Ndoa!
Ni kweli mkuu. Tabia zake zilinishinda. Kavunja Vitu vyangu ndan. Kapasua T.V, kapasua Meza ya kioo katoa vitu nje vyote anataka abebe aondoke navyo.kua na mwanamke haimaanishi uamchezea unaweza ukawa nae lakini usiwe na lengo la kuishi nae kwa muda huo
Aliondolewa na balozi na wanafamilia mkuu. Ila alinivunjia vyombo ndan. TV inchi 32, na meza. Akatoa vitu vya ndan vyote anataka abebe aondoke navyo.Jitahidi kula mayai ya kuchemsha kila siku usiku, kula maharage yale mekundu, nyama choma na vitu vya kuleta gesi tumboni.
Hii itakusaidia kutoa harufu ksli usiku.
Kwa muda wa wiki moja atachoka kwa harufu na kuondoka
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mkuu acha tu. Mdogo wangu mabangi ndo alikuja kumuamshia vagi. Ikabid wanafamilia waje, mabalozi, na marafiki waje pia. Alishanivunjia vyombo ndan akatoa vyombo nje vyote anataka abebe aondoke navyo.Unaonekana ni kijana mpoleeeeee.Yamkini hujawahi hata kumkemea kwa lolote,jambo ambalo hata yeye analijua fika na mbaya zaidi anatake advantage ya hulka yako hiyo ya upole.Jifunze kuonesha hisia zako wazi wazi(epuka kuigiza).
Sikuoa mkuu. Mahusiano tu. Ila tabia yake imenishinda kabisa. Mwanamke Wa kuoa kweli anakunjia vyombo ndan, anatoa nje vitu vyoote anataka abebe aondoke navyo utafikiri alisaidia kununuaMapenzi hayalazimishwi muda aliompotezea ni upi, mara zote yeye siyo wa kwanza. Hata kama angekuwa amemuoa kama hana mapenzi naye aachane naye
Mkuu, tabia zake zilinishinda. Ikabid niishie njiani. Kanitia hasara kweli. Kapigiza vitu ndan, kavunja vyombo vyangu ndan. Katoa vitu ili abebe aondoke navyo. Mkuu kaja tolewa na balozi.Mkuu uwe unawaambia mapema kuwa all I need is mgegedo,,.
Hayo umeyataka mwenyewe sasa..PAMBANA
Nilimpa ahadi. Lakin ilikuwa ni njia ya kuachana naye maana tabia zake zilishanishinda. Ningemuambia ukweli angeleta vurugu kama anazoleta sasa. Unaeza ukaingia kwenye mahusiano, lakin ukakuta kilichopo ni tofauti na unachotegemea. Akiwa kwangu amenivunjia vyombo ndan. Akatoa vitu vyangu vyote nje ili abebe aende navyo. Majirani ndo walirudisha. Huyo ni mwanamke Wa kuoa?Sijui kwanini namhurumie huyo demu?
Inaonekane mkuu ulimpa ahadi sio?
subiri...mod anakuaje banned?Ushampoteza direction mdada wa watu
Alafu unakuta mileage inasoma 26 kilometers daadeq
2 years now. Aliolewa akaachika. Nikakutana naye mtaani. Nikamtongoza akawa mpenzi. Lakin kwenye yale mahusiano alikuwa mtu Wa starehe, maigizo, mtu Wa kutaka kunichuna. Ananiambia ana mimba mwisho Mara imetoa. Nilichoka. Mwishoni mwishoni wakati anakaa na marafiki zake wamepanga aliniabia ana mimba. Baada ya muda akaniambia mimba imetoka kisa nimemgombeza. Hapo ndo niliamua kuacha kabisa kutaka kuwa naye. Nilitaka kumuacha kimya kimya. Ilibidi aende kwao. Nikaanza kupunguza mawasiliano. Nikakata kabisa. Karud bila taarifa sasa ndo mtiti. Juzi kavunja vyombo ndan. Katoa vitu vyangu nje anataka abebe. Ilibidi niite balozi ndugu na jamaa. Balozi ilibidi amtoe mwenyewe. Popote anisamehe maana nilishamshindwa. Alikuwa hanipendi bali alikuwa kwangu kimasalahiMahusiano yenu yana muda gani? Na huyo mwanamke ana miaka mingapi? Katika muda wa hayo mahusiano yenu ni kipindi gani uligundua kua humpendi?
Maswali yamekua mengi lakini point yangu hapa n kuona scenario ipo vp lazima kuna sababu kwanini huyo mwanamke hataki kukuacha, na hio sababu inaweza kua makosa ni yake au yako. Ukinijibu hapa nitapata cha kukushauri.
Mkuu, Mimi kavunja vyombo ndan, katoa vitu vyangu vyote nje anataka abebe aondoke navyo. Dah, ilibidi niite balozi ndugu na jamaa aiseNimeshakutana na visanga kadhaa vya demu kuniganda kama ccm alivyoiganda Tz we acha tu inahitaji akili ya ziada
Mkuu upo mkoa ganiMkuu, Mimi kavunja vyombo ndan, katoa vitu vyangu vyote nje anataka abebe aondoke navyo. Dah, ilibidi niite balozi ndugu na jamaa aise
KaskaziniMkuu upo mkoa gani