Mdada kaniganda...

Mdada kaniganda...

Sikia mkuu endesha maisha yako kwa mipango bila hivyo utapata shida sana

ukipata milioni 10 sio lazima ununue gari na sio lazima ujenge
nazani umenielewa
Umeniacha kidogo hapa mkuu. Naomba unipe somo kidogo kuhusu hii uliosema na connection kwa yaliyonitokea
 
Umeniacha kidogo hapa mkuu. Naomba unipe somo kidogo kuhusu hii uliosema na connection kwa yaliyonitokea
Ni kuwa kila kitu kina muda wake na muda ukiwadia vitakuja vyenyewe ila kama uta force kuvipata kuna hasara kubwa utapata hata ukifanikiwa
 
Nenda dawati la jinsia pale polisi, mtafute wadada wa lile dawati huwa ni waelewa sana mpe mkanda mzima then wao watamwita waongee nae ikiwezekana wampige mkwara kidogo kuja hapo home, nshawahi tumia hii njia maana mtu alikuwa geto na hataki kuondoka plus anasema ukizingua najiua
Duuh aisee!! Kumbe yale madawati yanawateja
 
2 years now. Aliolewa akaachika. Nikakutana naye mtaani. Nikamtongoza akawa mpenzi. Lakin kwenye yale mahusiano alikuwa mtu Wa starehe, maigizo, mtu Wa kutaka kunichuna. Ananiambia ana mimba mwisho Mara imetoa. Nilichoka. Mwishoni mwishoni wakati anakaa na marafiki zake wamepanga aliniabia ana mimba. Baada ya muda akaniambia mimba imetoka kisa nimemgombeza. Hapo ndo niliamua kuacha kabisa kutaka kuwa naye. Nilitaka kumuacha kimya kimya. Ilibidi aende kwao. Nikaanza kupunguza mawasiliano. Nikakata kabisa. Karud bila taarifa sasa ndo mtiti. Juzi kavunja vyombo ndan. Katoa vitu vyangu nje anataka abebe. Ilibidi niite balozi ndugu na jamaa. Balozi ilibidi amtoe mwenyewe. Popote anisamehe maana nilishamshindwa. Alikuwa hanipendi bali alikuwa kwangu kimasalahi
Achana nae mkuu why akupe stress wakati wanawake wanaojielewa wapo wengi tu
 
Wanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.

Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.

Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.

Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
Mwambie umeathirika
 
Basi itakua alizaliwa na gundi...😇😇
 
Na akugande hivyo hivyo furushi wewe.
 
Mwanakulifaindi mwanakuligeti. Baharia naona umepatikana

Anzia hapa: Ungekuwa wewe ndiye yeye ungependa nini kifanyike katika hali hii? Jibu utakalolipata ndilo hilo litekeleze

Furushi kuna muda ninakuelewa.
 

Furushi kuna muda ninakuelewa.

tumblr_noznjmAjeE1rvcjd7o1_400.gif
 
2 years now. Aliolewa akaachika. Nikakutana naye mtaani. Nikamtongoza akawa mpenzi. Lakin kwenye yale mahusiano alikuwa mtu Wa starehe, maigizo, mtu Wa kutaka kunichuna. Ananiambia ana mimba mwisho Mara imetoa. Nilichoka. Mwishoni mwishoni wakati anakaa na marafiki zake wamepanga aliniabia ana mimba. Baada ya muda akaniambia mimba imetoka kisa nimemgombeza. Hapo ndo niliamua kuacha kabisa kutaka kuwa naye. Nilitaka kumuacha kimya kimya. Ilibidi aende kwao. Nikaanza kupunguza mawasiliano. Nikakata kabisa. Karud bila taarifa sasa ndo mtiti. Juzi kavunja vyombo ndan. Katoa vitu vyangu nje anataka abebe. Ilibidi niite balozi ndugu na jamaa. Balozi ilibidi amtoe mwenyewe. Popote anisamehe maana nilishamshindwa. Alikuwa hanipendi bali alikuwa kwangu kimasalahi
Mkuu kwa POST hii ina maanisha ashaondoka kwako?

Mkuu huyu mwanamke anaonekana ni kahaba wa uswahilini hivyo kaa naye mbali kabisa anakupotezea muda wako na kukufilisi.
Pia nakushauri badilisha ulinzi wa mlango wa nyumba yako au hama kabisa ili asije kukutime akabeba kila kitu ndani.
 
Wanawake jamani, kuna Dada nilikuwa naye kwenye mahusiano. Alinisumbua sana. Kuachana naye direct nilishindwa. Ila niliamua niachane naye indirect Nilimpa nauli nikamwambia aende nyumbani kwao lakini sikumwambia namuacha. Alivyoenda akafika kwao nikaanza punguza mawasiliano mwisho nikamblock. Nikajua hapa nimeondokana naye na haezi kurudi tena.

Nimekaa miezi karibu 6 Nishasahau kabisa Sina hili wala lile huyu hapa mlangoni usiku Kufungua mlango ni yeye Nikakosa pozi Akaingia kwa vurugu kweli kweli. Anataka kuvunja vitu Ikabid niwe mpole maana hawachelewi kukutengenezea case Sasa aliendelea kuniganda mwishowe nikamwambia Mimi siwez kukuoa tena Siwezi mahusiano tena Nilishakushindwa Kakataa kata kata Kuondoka.

Nimeenda kazin nimerud nimekuta yupo tena kaleta na begi lake kabisa. Nitamtoa je kwangu maana sina mpango naye kabisa. Yeye hataki kuelewa wakati alishanisumbua sana Mpaka mimba alishazitoa. Ananiharibia mipango yote maana nilikuwa sijajipanga kuishi na mwanamke kabisa.

Wakuu hamuwez kunipa mawazo kuhusu jinsi ya kumuondoa hapa kwangu?
Hama hapo kwako kwa muda chukua vitu muhimu sepa navyo

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom